Urusi imeuvunja moyo wangu

Urusi imeuvunja moyo wangu

Russia umeuvunja Moyo wangu.

Utawala wa Western ambao unategemea uchumi wa kiunyonyaji chini ya kivuli cha demokrasia na ustaarabu wa kimangharibi.

Kumezifanya nchi nyingi kuwa tegemezi na sera za Magharibi na kuziacha nchi nyingi ambazo zinafuata mifumo yao wenyewe kuachwa solemba na kuwa na changamoto kubwa za kiuchumi.
Anguko la usoviet na nchi kama North Korea ni mifano.

Nilitegemea Urusi atakuwa ndio mkombozi wa kuitoa dunia katika wimbi hili la unyonyaji wa Magharibu kutokana na kwamba

1. Urusi imejijenga kiuchumi japo sio tishio huko duniani lakini uchumi wake ameuwekeza zaidi katika maswala ya kijeshi.

2. Kijeshi pia ipo vizuri huku akimkimbiza vizuri tu Mmarekani kwa ubunifu wa technologia za kibabe (kwa mujibu wa nilivyoamini mimi)

3. maswala ya intelijensia pia kwani majasusi wa russia ndio walio sambaza formula za kutengeneza Atomic bombs zikafika russia na nchi zingine pamoja na mafanikio lukuki

4. mengineyo Ongeza mwenyewe hapa na wewe kwa mujibu wa ulivyo aminishwa.

SASA URUSSI UMEUVUNJA SANA MOYO WANGU.

nitajikita tu katika uvamizi wa taifa la UKRAINE.

Urusi baada ya kuitwaa Krimea 2014 nilitegemea wangefanya ujasusi wa kutosha na kupiga gharama yakinifu kuliko kuingia kichwa kichwa na kupata athari zisizo tarajiwa ambazo ni mbaya

haikufanya intelijensia au ilifanya kwa uchache
matokeo yake sasa.

1. mageneral wake wengi wakafia vitani

2. vifaru vya kijeshi TANKS : zaidi ya 1500 kuangamizwa kabisa (irriperable)
ngaja nikupe hii thamani ya kifaru kimoja cha urusi aina ya T-90AM kinagharimu dola milion 4.27 sawa na bilion 9 tsh zaid ya vifaru 1500 kuangamizwa hio ni zaid ya dola 6000M zaid ya trilion 12 TSH.

3 Ndege za kivita Aircrafts 200
hapa tunaongelea ndege aina ya Sukhoi Su-35 flanker E ndege moja ya aina hii inagharimu dola milion 85 sawa na zaidi ya Tsh. 197+Bilion jumla ya hasara ya ndege hizi ni zaidi ya dola bilion 17 ( TSH 40+ trilion)

3 hasara ya Armoed vehicle 2500+ ,
troops 20000+ na helcopta Tusizipigie hesabu maana huko ni kuchoshana

4 hasara ya wanajesh zaid ya 23000+ pia tusipigie hesabu zao maana hata urusi hua haithamin sana vifo vya wanajeshi nafkiri historia ya vita wanavyo pigana urusi mnaijua hasa kwenye swala la kupoteza askari wengi tangu WW2. na mara nyingi rusia wanashinda vita kwa wingi wa Askari. tuachane na tathmin za vifo hivi kwanza nikiweka wengi mtasema ni propaganda. ila kwa faida tu ujue theluthi mbili ya jeshi la ardhini la russia lipo Ukraine na vita vinavyo endelea hakuna shabaha za kijeshi zinazo lengwa kwa sasa so ni mwendawazimu tu anayejua kua PUTIN atashinda hii vita.

5 gharama za uendeshaji wa vita mishahara ya wafanya kazi penshen za wanao kufa vitani kwa familia Nk nitazipiga kwenye uzi ujao baada ya kufanya utafiti wa kina

6 vikwazo na mali zikizokua freezed na zilizo taifishwa ni matrilion ya madolari

7 kupoteza ushawishi wa kikanda na soko la silaha na bidhaa zingine kwa washirika wake tu kama india ni ma matrilion ya madolari pia.

Russia umeyvunja sana moyo wangu
wao magharibi hawana vya kupoteza katika vita hivi maana hata vikwazo walivyo muwekea mrusi wanahakikisha ni vikwazo visivyo waathiri wao kwanza na wakipata mbadala wa gesi mbona naiona urusi ikiwa kama zimbabwe

kwanza hata Ardhi yaje imeanza kushambuliwa pia yan wauni wanijipigia hadi karibu na moscow halafu wanarudi. kesho tena

Ukraine imepoteza pia askari na miundombinu yenye thamani ya matrilion ya dola. lakini Mbwa kula mbuzi sio hadithi hadithi ni Mbuzi kula Mbwa.

Yani vikwazo vya urusi kwa magharibi vinatia Aibu vikwazo kama kumzuia Biden na Boris na maafisa wengine wa serikali kutembelea russia ndo nini sasa.

Nilijua kwa trend inavyo enda sasa Russia na china ndio watakua Super power ajae lakin sasa rusia kawa kama bata.

sasa Russia hana option zaid ya kuhakikisha anashinda hii vita na Nucklea ndio las hope kwa sasa
nasema bora atumie Nuclea angalau ataurudisha moyo wangu ulio jaa mahabbat juu ya urusi lakin kwa sasa dah umeyvunja sana miyo wangu

source
Normal Millitary critical analysis
Yaani ili MAHABA yako yarudi basi ni lazima atumie "NUCLEAR BOMB "?!!! 😲🤣🤣

Madhara ya hilo "dubwana" si kwa adui zake tu bali hata kwake kwani ataufungua mlango nchi za magharibi nao watumie silaha hizohizo....mwisho wa siku anaweza asitoboe hata na yeye.....

#Siempre JMT 🙏
 
Russia umeuvunja Moyo wangu.

Utawala wa Western ambao unategemea uchumi wa kiunyonyaji chini ya kivuli cha demokrasia na ustaarabu wa kimangharibi.

Kumezifanya nchi nyingi kuwa tegemezi na sera za Magharibi na kuziacha nchi nyingi ambazo zinafuata mifumo yao wenyewe kuachwa solemba na kuwa na changamoto kubwa za kiuchumi.
Anguko la usoviet na nchi kama North Korea ni mifano.

Nilitegemea Urusi atakuwa ndio mkombozi wa kuitoa dunia katika wimbi hili la unyonyaji wa Magharibu kutokana na kwamba

1. Urusi imejijenga kiuchumi japo sio tishio huko duniani lakini uchumi wake ameuwekeza zaidi katika maswala ya kijeshi.

2. Kijeshi pia ipo vizuri huku akimkimbiza vizuri tu Mmarekani kwa ubunifu wa technologia za kibabe (kwa mujibu wa nilivyoamini mimi)

3. maswala ya intelijensia pia kwani majasusi wa russia ndio walio sambaza formula za kutengeneza Atomic bombs zikafika russia na nchi zingine pamoja na mafanikio lukuki

4. mengineyo Ongeza mwenyewe hapa na wewe kwa mujibu wa ulivyo aminishwa.

SASA URUSSI UMEUVUNJA SANA MOYO WANGU.

nitajikita tu katika uvamizi wa taifa la UKRAINE.

Urusi baada ya kuitwaa Krimea 2014 nilitegemea wangefanya ujasusi wa kutosha na kupiga gharama yakinifu kuliko kuingia kichwa kichwa na kupata athari zisizo tarajiwa ambazo ni mbaya

haikufanya intelijensia au ilifanya kwa uchache
matokeo yake sasa.

1. mageneral wake wengi wakafia vitani

2. vifaru vya kijeshi TANKS : zaidi ya 1500 kuangamizwa kabisa (irriperable)
ngaja nikupe hii thamani ya kifaru kimoja cha urusi aina ya T-90AM kinagharimu dola milion 4.27 sawa na bilion 9 tsh zaid ya vifaru 1500 kuangamizwa hio ni zaid ya dola 6000M zaid ya trilion 12 TSH.

3 Ndege za kivita Aircrafts 200
hapa tunaongelea ndege aina ya Sukhoi Su-35 flanker E ndege moja ya aina hii inagharimu dola milion 85 sawa na zaidi ya Tsh. 197+Bilion jumla ya hasara ya ndege hizi ni zaidi ya dola bilion 17 ( TSH 40+ trilion)

3 hasara ya Armoed vehicle 2500+ ,
troops 20000+ na helcopta Tusizipigie hesabu maana huko ni kuchoshana

4 hasara ya wanajesh zaid ya 23000+ pia tusipigie hesabu zao maana hata urusi hua haithamin sana vifo vya wanajeshi nafkiri historia ya vita wanavyo pigana urusi mnaijua hasa kwenye swala la kupoteza askari wengi tangu WW2. na mara nyingi rusia wanashinda vita kwa wingi wa Askari. tuachane na tathmin za vifo hivi kwanza nikiweka wengi mtasema ni propaganda. ila kwa faida tu ujue theluthi mbili ya jeshi la ardhini la russia lipo Ukraine na vita vinavyo endelea hakuna shabaha za kijeshi zinazo lengwa kwa sasa so ni mwendawazimu tu anayejua kua PUTIN atashinda hii vita.

5 gharama za uendeshaji wa vita mishahara ya wafanya kazi penshen za wanao kufa vitani kwa familia Nk nitazipiga kwenye uzi ujao baada ya kufanya utafiti wa kina

6 vikwazo na mali zikizokua freezed na zilizo taifishwa ni matrilion ya madolari

7 kupoteza ushawishi wa kikanda na soko la silaha na bidhaa zingine kwa washirika wake tu kama india ni ma matrilion ya madolari pia.

Russia umeyvunja sana moyo wangu
wao magharibi hawana vya kupoteza katika vita hivi maana hata vikwazo walivyo muwekea mrusi wanahakikisha ni vikwazo visivyo waathiri wao kwanza na wakipata mbadala wa gesi mbona naiona urusi ikiwa kama zimbabwe

kwanza hata Ardhi yaje imeanza kushambuliwa pia yan wauni wanijipigia hadi karibu na moscow halafu wanarudi. kesho tena

Ukraine imepoteza pia askari na miundombinu yenye thamani ya matrilion ya dola. lakini Mbwa kula mbuzi sio hadithi hadithi ni Mbuzi kula Mbwa.

Yani vikwazo vya urusi kwa magharibi vinatia Aibu vikwazo kama kumzuia Biden na Boris na maafisa wengine wa serikali kutembelea russia ndo nini sasa.

Nilijua kwa trend inavyo enda sasa Russia na china ndio watakua Super power ajae lakin sasa rusia kawa kama bata.

sasa Russia hana option zaid ya kuhakikisha anashinda hii vita na Nucklea ndio las hope kwa sasa
nasema bora atumie Nuclea angalau ataurudisha moyo wangu ulio jaa mahabbat juu ya urusi lakin kwa sasa dah umeyvunja sana miyo wangu

source
Normal Millitary critical analysis

Tuliza wenge. Muache Jemedari Vladimiri Putin amalize kazi tukufu aliyoianza.

Majenerali kufia vitani ni tunu kwao na ni sehemu ya collateral damage. Ukraine ni taifa lenye jeshi hivyo isingewezekana eti vita viwe vya kindezi bila hasara kwa Urusi.

Pia ukiangalia Urusi imefungwa mikono kiuchumi ukiachilia mbali Ukraine kusaidiwa na nchi zaidi ya 40. Kimsingi mpaka kufika hapa, tumpe kongole Putin na vijana wake wanaoendeleza kichapo kwa wale mashoga!
 
Kwanza naomba niseme wazi kuwa mleta mada ni Mnafiki tena mwenye unafiki wa kiwango cha SGR, kajifanya mrusi kumbe ni mna NATO proMax.

Pili Uzi umejaa taarifa za propaganda kutoka blogs za Kyiv nation independence, BBC na CNN.

Tatu mleta mada inaonekana bado huijui urusi kiuchumi, kisiasa na kijeshi ndo maana unalialia.

Hebu ngoja tu assume hizo taarifa zako ni sahihi na Urusi kapata hiyo hasara.
Halafu turudi kwenye hesabu za mrusi upande wa Nishat tu aliyowauzia EU toka mwezi 2-3 ni zaidi ya $47B/month ukizileta kwa pesa za kibongo ni zaidi ya 100T.

Haya sasa chukua hiyo 100T toa hivo vi trillions vyako ulivyo mezeshwa, halafu uone mrusi anabaki na trillions ngapi kwenye wallets. Na hapo ni mauzo ya mwezi mmoja tu kwa nchi za EU hapo sijaweka sehemu nyingine kama USA, South America na ASIA.

Niliwahi kusema hapa kuwa, kwa jinsi EU na USA wanavyomtegemea Russia kuendesha maisha yao, basi Russia anaweza endesha hii operation hata kwa miaka 10 mfululizo bila kukata upepo kwa pesa hizo hizo za wanao chochea vita. Na kadiri hii operation inavyo endelea ndo Russia anazidi kuteka miji mhimu na zenye rasilimali nchi Ukraine ambazo ndo target za hao mabwana wa western na USA.

Russia siyo Madagascar.
Ndo maana mkifungua biashara zinakufa. Kwaiyo serekal ijichotee mahela tu.
 
Niliwahi kusema hapa kuwa, kwa jinsi EU na USA wanavyomtegemea Russia kuendesha maisha yao, basi Russia anaweza endesha hii operation hata kwa miaka 10 mfululizo bila kukata upepo kwa pesa hizo hizo za wanao chochea vita. Na kadiri hii operation inavyo endelea ndo Russia anazidi kuteka miji mhimu na zenye rasilimali nchi Ukraine ambazo ndo target za hao mabwana wa western na USA.

Russia siyo Madagascar.

Ingekuwa ni hivyo kuwa US/ EU wanamtegemea kwa kila kitu basi Urusi angekuwa kwa top 3 kwa Mataifa yenye nguvu zaidi kiuchumi Duniani,lakini lwa sasa hata kwa top 15 hayupo,hii kauli yako inakosa mashiko.
 
Russia umeuvunja Moyo wangu.

Utawala wa Western ambao unategemea uchumi wa kiunyonyaji chini ya kivuli cha demokrasia na ustaarabu wa kimangharibi.

Kumezifanya nchi nyingi kuwa tegemezi na sera za Magharibi na kuziacha nchi nyingi ambazo zinafuata mifumo yao wenyewe kuachwa solemba na kuwa na changamoto kubwa za kiuchumi.
Anguko la usoviet na nchi kama North Korea ni mifano.

Nilitegemea Urusi atakuwa ndio mkombozi wa kuitoa dunia katika wimbi hili la unyonyaji wa Magharibu kutokana na kwamba

1. Urusi imejijenga kiuchumi japo sio tishio huko duniani lakini uchumi wake ameuwekeza zaidi katika maswala ya kijeshi.

2. Kijeshi pia ipo vizuri huku akimkimbiza vizuri tu Mmarekani kwa ubunifu wa technologia za kibabe (kwa mujibu wa nilivyoamini mimi)

3. maswala ya intelijensia pia kwani majasusi wa russia ndio walio sambaza formula za kutengeneza Atomic bombs zikafika russia na nchi zingine pamoja na mafanikio lukuki

4. mengineyo Ongeza mwenyewe hapa na wewe kwa mujibu wa ulivyo aminishwa.

SASA URUSSI UMEUVUNJA SANA MOYO WANGU.

nitajikita tu katika uvamizi wa taifa la UKRAINE.

Urusi baada ya kuitwaa Krimea 2014 nilitegemea wangefanya ujasusi wa kutosha na kupiga gharama yakinifu kuliko kuingia kichwa kichwa na kupata athari zisizo tarajiwa ambazo ni mbaya

haikufanya intelijensia au ilifanya kwa uchache
matokeo yake sasa.

1. mageneral wake wengi wakafia vitani

2. vifaru vya kijeshi TANKS : zaidi ya 1500 kuangamizwa kabisa (irriperable)
ngaja nikupe hii thamani ya kifaru kimoja cha urusi aina ya T-90AM kinagharimu dola milion 4.27 sawa na bilion 9 tsh zaid ya vifaru 1500 kuangamizwa hio ni zaid ya dola 6000M zaid ya trilion 12 TSH.

3 Ndege za kivita Aircrafts 200
hapa tunaongelea ndege aina ya Sukhoi Su-35 flanker E ndege moja ya aina hii inagharimu dola milion 85 sawa na zaidi ya Tsh. 197+Bilion jumla ya hasara ya ndege hizi ni zaidi ya dola bilion 17 ( TSH 40+ trilion)

3 hasara ya Armoed vehicle 2500+ ,
troops 20000+ na helcopta Tusizipigie hesabu maana huko ni kuchoshana

4 hasara ya wanajesh zaid ya 23000+ pia tusipigie hesabu zao maana hata urusi hua haithamin sana vifo vya wanajeshi nafkiri historia ya vita wanavyo pigana urusi mnaijua hasa kwenye swala la kupoteza askari wengi tangu WW2. na mara nyingi rusia wanashinda vita kwa wingi wa Askari. tuachane na tathmin za vifo hivi kwanza nikiweka wengi mtasema ni propaganda. ila kwa faida tu ujue theluthi mbili ya jeshi la ardhini la russia lipo Ukraine na vita vinavyo endelea hakuna shabaha za kijeshi zinazo lengwa kwa sasa so ni mwendawazimu tu anayejua kua PUTIN atashinda hii vita.

5 gharama za uendeshaji wa vita mishahara ya wafanya kazi penshen za wanao kufa vitani kwa familia Nk nitazipiga kwenye uzi ujao baada ya kufanya utafiti wa kina

6 vikwazo na mali zikizokua freezed na zilizo taifishwa ni matrilion ya madolari

7 kupoteza ushawishi wa kikanda na soko la silaha na bidhaa zingine kwa washirika wake tu kama india ni ma matrilion ya madolari pia.

Russia umeyvunja sana moyo wangu
wao magharibi hawana vya kupoteza katika vita hivi maana hata vikwazo walivyo muwekea mrusi wanahakikisha ni vikwazo visivyo waathiri wao kwanza na wakipata mbadala wa gesi mbona naiona urusi ikiwa kama zimbabwe

kwanza hata Ardhi yaje imeanza kushambuliwa pia yan wauni wanijipigia hadi karibu na moscow halafu wanarudi. kesho tena

Ukraine imepoteza pia askari na miundombinu yenye thamani ya matrilion ya dola. lakini Mbwa kula mbuzi sio hadithi hadithi ni Mbuzi kula Mbwa.

Yani vikwazo vya urusi kwa magharibi vinatia Aibu vikwazo kama kumzuia Biden na Boris na maafisa wengine wa serikali kutembelea russia ndo nini sasa.

Nilijua kwa trend inavyo enda sasa Russia na china ndio watakua Super power ajae lakin sasa rusia kawa kama bata.

sasa Russia hana option zaid ya kuhakikisha anashinda hii vita na Nucklea ndio las hope kwa sasa
nasema bora atumie Nuclea angalau ataurudisha moyo wangu ulio jaa mahabbat juu ya urusi lakin kwa sasa dah umeyvunja sana miyo wangu

source
Normal Millitary critical analysis
Hiyo Urusi unavyoisifia au unayoidhania ilivyo basi elewa kuwa sivyo ilivyo. Urusi inaendeshwa kirushwa na wababe wachache wa magenge "Oligarchs" ya ufisadi wa hali ya juu.

"organized crime" ndiyo inaiendesha Urusi.
 
Kwanza naomba niseme wazi kuwa mleta mada ni Mnafiki tena mwenye unafiki wa kiwango cha SGR, kajifanya mrusi kumbe ni mna NATO proMax.

Pili Uzi umejaa taarifa za propaganda kutoka blogs za Kyiv nation independence, BBC na CNN.

Tatu mleta mada inaonekana bado huijui urusi kiuchumi, kisiasa na kijeshi ndo maana unalialia.

Hebu ngoja tu assume hizo taarifa zako ni sahihi na Urusi kapata hiyo hasara.
Halafu turudi kwenye hesabu za mrusi upande wa Nishat tu aliyowauzia EU toka mwezi 2-3 ni zaidi ya $47B/month ukizileta kwa pesa za kibongo ni zaidi ya 100T.

Haya sasa chukua hiyo 100T toa hivo vi trillions vyako ulivyo mezeshwa, halafu uone mrusi anabaki na trillions ngapi kwenye wallets. Na hapo ni mauzo ya mwezi mmoja tu kwa nchi za EU hapo sijaweka sehemu nyingine kama USA, South America na ASIA.

Niliwahi kusema hapa kuwa, kwa jinsi EU na USA wanavyomtegemea Russia kuendesha maisha yao, basi Russia anaweza endesha hii operation hata kwa miaka 10 mfululizo bila kukata upepo kwa pesa hizo hizo za wanao chochea vita. Na kadiri hii operation inavyo endelea ndo Russia anazidi kuteka miji mhimu na zenye rasilimali nchi Ukraine ambazo ndo target za hao mabwana wa western na USA.

Russia siyo Madagascar.
makampuni binafs ndo yanauza gesi na mafuta sio serikali , serikali inakusanya tu pesa

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
makampuni binafs ndo yanauza gesi na mafuta sio serikali , serikali inakusanya tu pesa

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Wewe usifikiri upuuzi unaofanywa nchini kwako ndo unaofanywa na urusi.

Urusi haina sera ya kipuuzi ya ubinafisishaji kama nchi yako, Rasilimali zote zipo under full control of government hayo makampuni unayosemea niya serikali ya urusi nasiyo ya Mtu.
 
Sisi hatuyajui hayo tuko byzy na operations



Islander imeshafanya yake huko magaidi wa Nazis wa Nato tunazidi kuwafukia kwenye vifusi


In one successful missile strike, Russian force bury 90 Ukrainian fighters under rubble in a school in the Belgorovka settlement in the Popasnaya district of LNR, where they were barracked, as reported by the Ukrainian head of the Lugansk region. https://t.co/KocrX8cRkY

Thirty bodies have been dug up so far, 60 more are being searched for2/2
20220508_071232.jpg
20220508_071227.jpg
 
Pia tukumbuke kuwa kwenda kumuondoa raisi aliyepo madarakani na tena aliyechaguliwa na wananchi ni kazi kubwa Sana...duniani kote tumeshuhudia Jambo hili linakuwa ngumu hata kama utafanikiwa kumwondoa huyo raisi bado utulivu hautatokea kamwe.

Hata kama leohii Russia atafanikiwa kumuondoa zelensky bado Hali ya usalama ndani Ukraine haitakuwepo na tutegemee vikundi Vingi vya wanamgambo vitaongezeka,Kwa kifupi kuendesha vita huku umepigwa vikwazo vya uchumi ni ngumu Sana kushinda
Keshashindwa labda kwa sasa ajimegee maeneo na hivyo kusababisha counter attack muda wowote
 
Back
Top Bottom