DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,497
- 99,296
Habari za hivi punde no kwamba,
Shirika la habar la Serikali ya urusi RUSSIA TODAY (RT) limeripoti kwamba magaid hao wamekamtwa mkoani BRYANSKI walipokua katika juhudi za kutoroka kupitia mpaka wa Ukraine na wamebainika kua na mawasiliano na wenzao walioko Ukraine.
Pia ripoti kutoka shirika la intelijensia la urusi imesema kwamba magaid hao wanawashikiria na sasa wanasafirishwa kurudishwa moscow.
Source: Russia today (Rt)
Shirika la habar la Serikali ya urusi RUSSIA TODAY (RT) limeripoti kwamba magaid hao wamekamtwa mkoani BRYANSKI walipokua katika juhudi za kutoroka kupitia mpaka wa Ukraine na wamebainika kua na mawasiliano na wenzao walioko Ukraine.
Pia ripoti kutoka shirika la intelijensia la urusi imesema kwamba magaid hao wanawashikiria na sasa wanasafirishwa kurudishwa moscow.
Source: Russia today (Rt)