Mmmakikupa tu utashangaa vishetani vinakukaribia kukushawishiMimi mtumishi wa Umma ukinipa Udas au Uras sihangaiki na kitu kingine
Wanasiasa ni watu waroho sana
Rais anipe uone nitakavyotulia kama sipo vile
Kakabidhiwa na shoka kabisa,yuko hapa anachanja kuni.Hivi Bashite kashafika Msibani.!??
Ni hiviMtiririko wa tamaa ya Kafulila ni kama ifuatavyo:- NCCR--CHADEMA---CCM---AIBU
Na uhamini kwamba mwenye elimu kubwa anaweza kufiti mahali popoteHuyu Mashinji sijawahi kumuelewa tangia akiwa KM Chadema, sijui mbowe alimuokotea wapi maana hata uteuzi wake wengi sana walitilia shaka.
Ogopa sana watu wakina John kisomo walebunakuta ana CV ndefu kasoma degree kama 4, Diploma 3, mara PHd etc hawa wengi wao huwa ni wasaka fursa, mara nyingi hutamani kupata fursa kupitia elimu yao
Hivi unawajua wajumbe wanavyojua kupamba.Ujue mimi nimejiuliza mpaka nashindwa kuelewa hawa wateule wa Rais huwa wanafikiria nini. Hivi kweli mtu inaacha u RAS unaenda kupata kura 64? Serious kabisa unaenda kuwa mshindi wa nne, RAS...
yani hata kufanya tathmini ndogo umeshindwa? Yupo aliyeacha u DC kaenda kupata kura 12
Umenisaidia kushangaa piaUjue mimi nimejiuliza mpaka nashindwa kuelewa hawa wateule wa Rais huwa wanafikiria nini. Hivi kweli mtu inaacha u RAS unaenda kupata kura 64? Serious kabisa unaenda kuwa mshindi wa nne, RAS...
yani hata kufanya tathmini ndogo umeshindwa? Yupo aliyeacha u DC kaenda kupata kura 12
Sitaki kuamini kama Kafulila alishindwa uchaguzi wa 2015 kwenye box la kura,Habari wana JF,
Kwa awamu nyingi Kigoma imekuwa miongoni mwa Mikoa michache inayozalisha wabunge wengi vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hatimaye kujipatia umaarufu mkubwa nchi nzima.
Baadhi yao huanza kuwa na kiburi Mara wanapojihisi wamefanikiwa zaidi kisiasa na kuanza kuwakejeli waliowafanya wafike hapo walipofika.
Uroho wa madaraka pia imekuwa kikwazo kwa viongozi wengi Vijana, Hutamani kufanikiwa zaidi kisiasa kuliko kufanya kazi walizoagizwa na wananchi Bungeni,Kafulila ni mmoja kati ya vijana walioingia Bungeni (2010-2015) kwa kasi na kupata umaarufu wa haraka kwa umahiri wake wa kufichua maovu mbali mbali katika Serikali hadi kufikia hatua ya kuitwa "tumbili".
Aliwahi kumkashifu ZZK aliyemshika mkono na kufanikiwa kuwa Mbunge wa JMT.
Licha ya kuwa mwanasiasa mzuri Amekuwa kijana mwenye Kiburi kwa viongozi wake na mwenye uroho wa madaraka vilivyompelekea kutimuliwa na Chama chake Cha Awali Cha CHADEMA na kutimkia NCCR-MAGEUZI ambako alipewa nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho katika ngazi ya ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini na Kushinda, Alihudumu kwa Kipindi Kimoja na hatimaye katika Uchaguzi wa mwaka 2015 akashindwa na Mwana-mama Hasna Mwilima. Alikimbilia mahakani na kushindwa Mara kadhaa.
Akahamia CCM, Mheshimiwa Rais akamteua kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe kutokana na utendaji Kazi wake wa Awali... 2020 akajivua cheo Cha U-RAS na kutia Nia ya kuteuliwa na Chama chake kugombea nafasi ya Ubunge na Akapigwa kipigo Cha mbwa Koko.
MH. Rais aliwaonya wateuliwa wake na kuwakumbusha kuhusu Kisa Cha Mwananzila aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye alipotea Kisiasa kutokana na uroho wa madaraka. Kafulila amepotea tayari, Kafulila tumsahau Kabisa,Kapewa nafasi na mheshimiwa Rais kaona haifai asitarajie miujiza yoyote ya kupata nafasi ya Kuteuliwa na Mh. Rais.
Vipi Makonda naye ni mwananzila?Habari wana JF,
Kwa awamu nyingi Kigoma imekuwa miongoni mwa Mikoa michache inayozalisha wabunge wengi vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hatimaye kujipatia umaarufu mkubwa nchi nzima.
Baadhi yao huanza kuwa na kiburi Mara wanapojihisi wamefanikiwa zaidi kisiasa na kuanza kuwakejeli waliowafanya wafike hapo walipofika.
Uroho wa madaraka pia imekuwa kikwazo kwa viongozi wengi Vijana, Hutamani kufanikiwa zaidi kisiasa kuliko kufanya kazi walizoagizwa na wananchi Bungeni,Kafulila ni mmoja kati ya vijana walioingia Bungeni (2010-2015) kwa kasi na kupata umaarufu wa haraka kwa umahiri wake wa kufichua maovu mbali mbali katika Serikali hadi kufikia hatua ya kuitwa "tumbili".
Aliwahi kumkashifu ZZK aliyemshika mkono na kufanikiwa kuwa Mbunge wa JMT.
Licha ya kuwa mwanasiasa mzuri Amekuwa kijana mwenye Kiburi kwa viongozi wake na mwenye uroho wa madaraka vilivyompelekea kutimuliwa na Chama chake Cha Awali Cha CHADEMA na kutimkia NCCR-MAGEUZI ambako alipewa nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho katika ngazi ya ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini na Kushinda, Alihudumu kwa Kipindi Kimoja na hatimaye katika Uchaguzi wa mwaka 2015 akashindwa na Mwana-mama Hasna Mwilima. Alikimbilia mahakani na kushindwa Mara kadhaa.
Akahamia CCM, Mheshimiwa Rais akamteua kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe kutokana na utendaji Kazi wake wa Awali... 2020 akajivua cheo Cha U-RAS na kutia Nia ya kuteuliwa na Chama chake kugombea nafasi ya Ubunge na Akapigwa kipigo Cha mbwa Koko.
MH. Rais aliwaonya wateuliwa wake na kuwakumbusha kuhusu Kisa Cha Mwananzila aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye alipotea Kisiasa kutokana na uroho wa madaraka. Kafulila amepotea tayari, Kafulila tumsahau Kabisa,Kapewa nafasi na mheshimiwa Rais kaona haifai asitarajie miujiza yoyote ya kupata nafasi ya Kuteuliwa na Mh. Rais.
Ametimba kinyooooongeHivi Bashite kashafika Msibani.!??
Aende Iramba kusaidia Kampeni Jesca!Habari wana JF,
Kwa awamu nyingi Kigoma imekuwa miongoni mwa Mikoa michache inayozalisha wabunge wengi vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na hatimaye kujipatia umaarufu mkubwa nchi nzima.
Baadhi yao huanza kuwa na kiburi Mara wanapojihisi wamefanikiwa zaidi kisiasa na kuanza kuwakejeli waliowafanya wafike hapo walipofika.
Uroho wa madaraka pia imekuwa kikwazo kwa viongozi wengi Vijana, Hutamani kufanikiwa zaidi kisiasa kuliko kufanya kazi walizoagizwa na wananchi Bungeni,Kafulila ni mmoja kati ya vijana walioingia Bungeni (2010-2015) kwa kasi na kupata umaarufu wa haraka kwa umahiri wake wa kufichua maovu mbali mbali katika Serikali hadi kufikia hatua ya kuitwa "tumbili".
Aliwahi kumkashifu ZZK aliyemshika mkono na kufanikiwa kuwa Mbunge wa JMT.
Licha ya kuwa mwanasiasa mzuri Amekuwa kijana mwenye Kiburi kwa viongozi wake na mwenye uroho wa madaraka vilivyompelekea kutimuliwa na Chama chake Cha Awali Cha CHADEMA na kutimkia NCCR-MAGEUZI ambako alipewa nafasi ya kupeperusha bendera ya chama hicho katika ngazi ya ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini na Kushinda, Alihudumu kwa Kipindi Kimoja na hatimaye katika Uchaguzi wa mwaka 2015 akashindwa na Mwana-mama Hasna Mwilima. Alikimbilia mahakani na kushindwa Mara kadhaa.
Akahamia CCM, Mheshimiwa Rais akamteua kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe kutokana na utendaji Kazi wake wa Awali... 2020 akajivua cheo Cha U-RAS na kutia Nia ya kuteuliwa na Chama chake kugombea nafasi ya Ubunge na Akapigwa kipigo Cha mbwa Koko.
MH. Rais aliwaonya wateuliwa wake na kuwakumbusha kuhusu Kisa Cha Mwananzila aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambaye alipotea Kisiasa kutokana na uroho wa madaraka. Kafulila amepotea tayari, Kafulila tumsahau Kabisa,Kapewa nafasi na mheshimiwa Rais kaona haifai asitarajie miujiza yoyote ya kupata nafasi ya Kuteuliwa na Mh. Rais.
Hapa ndipo kwenye tatizo, vijana tutawalaumu bure ! Lkn tatizo ni wamepata wapi malezi!Mimi mtumishi wa Umma ukinipa Udas au Uras sihangaiki na kitu kingine
Wanasiasa ni watu waroho sana
Rais anipe uone nitakavyotulia kama sipo vile
Hivi hawa wanakuwa na helaa eeh?????Mimi mtumishi wa Umma ukinipa Udas au Uras sihangaiki na kitu kingine
Wanasiasa ni watu waroho sana
Rais anipe uone nitakavyotulia kama sipo vile
Ujue mimi nimejiuliza mpaka nashindwa kuelewa hawa wateule wa Rais huwa wanafikiria nini. Hivi kweli mtu inaacha u RAS unaenda kupata kura 64? Serious kabisa unaenda kuwa mshindi wa nne, RAS...
yani hata kufanya tathmini ndogo umeshindwa? Yupo aliyeacha u DC kaenda kupata kura 12
Au unamuongelea Asumpta shana??Ninani aliacha udc kapata kura 12? Kuna mama mmoja alikuwa dc mahala namtafuta kweli simuoni nataka nijue, nitajie hata initials zake tu ndugu
Au unamuongelea Asumpta shana??