Kwani
JF-Expert Member
- Jan 12, 2016
- 455
- 562
Leo nakiri wazi wazi bila kificho sijutii kuwa mtanzania mweusi hata kidogo
Kwa uroda tunaopata Tanzania sina shaka ni wa pekee na una utamu adimu.
Ukikaa kidogo utaona maajabu ya Bulembo,hujakaa sawa mara raisi kashindana na waziri wa India kupiga ngoma,hujanywa hata maji utasikia huyu kijana wa kuitwa Dimpoz mara kakimbia OPARESHENI ya makonda na la ajabu nchini mwangu wakati wa kuisoma namba wote umefika wakati wimbo ulikuwa kwa ajili ya wale wa vidole viwili
Mzee mwinyi Tanzania ni uroda tupu anaebisha na abishe tu
Kwa uroda tunaopata Tanzania sina shaka ni wa pekee na una utamu adimu.
Ukikaa kidogo utaona maajabu ya Bulembo,hujakaa sawa mara raisi kashindana na waziri wa India kupiga ngoma,hujanywa hata maji utasikia huyu kijana wa kuitwa Dimpoz mara kakimbia OPARESHENI ya makonda na la ajabu nchini mwangu wakati wa kuisoma namba wote umefika wakati wimbo ulikuwa kwa ajili ya wale wa vidole viwili
Mzee mwinyi Tanzania ni uroda tupu anaebisha na abishe tu