Urithi wa akili, siyo mali

Urithi wa akili, siyo mali

Alloyce PR

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2020
Posts
590
Reaction score
706
"Kijana mwenye akili muhimu kwake ni amani na upendo tu kutoka kwa wazazi/walezi. Mengine yote hujipambania mwenyewe. Mzazi anayehangaika kumrithisha mali mtoto ni kiherehere cha uzeeni ambacho kitaamua aidha ni mtoto awe mzazi na mzazi awe mtoto, hapo mzazi lazima aondoke haraka sana kwenye ramani ya dunia. Sawa na mwanasiasa aliyenaswa kwenye mtego wa tamaa kabla ya muda wake."— Alloyce, P.R. 😂😂😂
 
Toa neno kwa wazee ambao wenyewe wanazalisha tuuu alafu wanategemea watoto wasomeshwe na ndgu jamaa na marafiki
 
Toa neno kwa wababa wa kislam ambao wanaamini kila mtoto na ridhiki yake hvo wengi wao wanajua kufyatua tuu watoto alafu unakuta familia ni very poor
 
Mkuu tia neno mkuu nipo stressed kinoma noma navoona napigiwa simu naambiwa wadogo zako wa secondary ambao wapo kama watano hvi wanahitaji kaunta book kwaya 3 ambazo kila mmoja anataka saba na kaunta moja ni 2500 piga hesabu hapo bado uniform..

Mimi sio mfanya kazi ila ni mwanafunzi pia
 
Toa neno kwa wazee wanaoamini unaweza wajengea nyumba kwa boom la mama samia
 
"Kijana mwenye akili muhimu kwake ni amani na upendo tu kutoka kwa wazazi/walezi. Mengine yote hujipambania mwenyewe. Mzazi anayehangaika kumrithisha mali mtoto ni kiherehere cha uzeeni ambacho kitaamua aidha ni mtoto awe mzazi na mzazi awe mtoto, hapo mzazi lazima aondoke haraka sana kwenye ramani ya dunia. Sawa na mwanasiasa aliyenaswa kwenye mtego wa tamaa kabla ya muda wake."— Alloyce, P.R. 😂😂😂
Mithali 19:14.
 
"Kijana mwenye akili muhimu kwake ni amani na upendo tu kutoka kwa wazazi/walezi. Mengine yote hujipambania mwenyewe. Mzazi anayehangaika kumrithisha mali mtoto ni kiherehere cha uzeeni ambacho kitaamua aidha ni mtoto awe mzazi na mzazi awe mtoto, hapo mzazi lazima aondoke haraka sana kwenye ramani ya dunia. Sawa na mwanasiasa aliyenaswa kwenye mtego wa tamaa kabla ya muda wake."— Alloyce, P.R. 😂😂😂
Huo ni UONGO,,, Akili si urithi ... mali ndo urithi.. ila bila akili hizo mali zitapotea....
Kizazi chako lazima ukiridhishe MALI huku unakipa akili za kumudu hizo mali...
Wanaojilewa haswa watu wa ASIA watoto wanaingizwa kwenye mifumo inayotengeneza mali za kifamilia mapema wapate ufahamu wa kuendeleza huko mbele wakiwa wenyewe...
Mizee wa kiafrika inasema mali siyo urithi halafu ikishazeeka inataka ihudumiwe kwa mali zipi ulizorithisha? Halafu utakuta hizo mali kama ni viwanja au nyumba naye alirithishwa ndo maana alipata jeuri ya kuendelea.
 
Huo ni UONGO,,, Akili si urithi ... mali ndo urithi.. ila bila akili hizo mali zitapotea....
Kizazi chako lazima ukiridhishe MALI huku unakipa akili za kumudu hizo mali...
Wanaojilewa haswa watu wa ASIA watoto wanaingizwa kwenye mifumo inayotengeneza mali za kifamilia mapema wapate ufahamu wa kuendeleza huko mbele wakiwa wenyewe...
Mizee wa kiafrika inasema mali siyo urithi halafu ikishazeeka inataka ihudumiwe kwa mali zipi ulizorithisha? Halafu utakuta hizo mali kama ni viwanja au nyumba naye alirithishwa ndo maana alipata jeuri ya kuendelea.
Weka neno kwa wazee ambao wenyewe wanategemea warithi mali kwa watoto wao
 
Back
Top Bottom