Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Naomba kama kuna mtu yuko karibu na Vodacom anifikishie ujumbe kwamba mtandao wao sasa unazidi kukera wateja.
Nimeweka pesa muda mfupi uliopita na kununua bundle ya Tsh 4200 kwa ajili ya kupiga mitandao yote. Jambo la kusikitisha ni kwamba siwezi kupiga simu kwa sababu naambiwa sina salio wakati nikiangalia balance ya bundle ninazo sekunde 10,035, SMS 9255 na MB 3294.
Nikijaribu kupiga customer care simu yao haipatikani.
Ahsante sana kwa yeyote atakayeweza kunisaidia.
Nimeweka pesa muda mfupi uliopita na kununua bundle ya Tsh 4200 kwa ajili ya kupiga mitandao yote. Jambo la kusikitisha ni kwamba siwezi kupiga simu kwa sababu naambiwa sina salio wakati nikiangalia balance ya bundle ninazo sekunde 10,035, SMS 9255 na MB 3294.
Nikijaribu kupiga customer care simu yao haipatikani.
Ahsante sana kwa yeyote atakayeweza kunisaidia.