Urembo wa huyu dada umeniponza, naombeni ushauri

Wadau wa JF habarini za siku natumaini muko poa na mnaendelea vema na majukum ya kila siku kama binadamu katika kujitengenezea mazingira ya mkono kwenda Kinywani yaani i mean mambo ya Diko

Wadau kama mnavyojua katika stage ya binadam kukua tunakutana na mambo mengi katika relationships, sex stuffs na some stuff like that ( cheating + uasherati) ambayo mengine ni mabaya na mengine ni mazuri na pia mengine ni mabaya lakin kwa upande wa family Rituals inakua ni mazuri, okay let me go straight

Few days past kama kijana nilikutana na pisi kali inshort mtoto ni mzuri amebarikiwa kila kona ya mwili wake ambapo hakuna mwanaume ambaye atamtia machoni akaacha kushangaa maajabu coz her body is too romantic Sensitive sijawah ona.

Sasa me kama mwanaume niliuelewa mchezo sikuhofia kuucheza basi nikamchombeza mtoto akakubari. Siku ya mgegedo dem akaniletea Tunda kiRoho safi but hapo sikua najua kitu km yuko fresh. Sasa katika kuendelea kula tunda kama kawaida yetu wanaume tunaonesha ufundi kwenye mwili wa mrembo ili umfurahshe ardhike mwishon nakuja shtuka naona damu zinatoka kwenye tunda

Heee!!! Nikastuka dem akajielezea kwamba alikua period lakini ndo ilikua siku ya mwisho kumalizia period na vitu kama hvo ambavyo wanaume wengi hatuelewi, basi mimi nikakubal nikaacha kumega mchezo nikaosha lungu langu nikatulia

MATATIZO SASA YA KAANZA
Wadau wangu wa JF baada ya tukio hilo niliona nikae bila kusex kwa wik kadhaa ili nione kama nitakua sawa sexually imean lkn baada ya hizi wiki mbili nahisi mambo ambayo siyaelewi kabisa inshort nahis Lungu linawasha sio kawaida afu kama nikitaka kukojoa kunakua na vimaumicu kwa mbali daah hii hali inanitisha nahisi kama nimeukwaa

Naomba kujua kama kuna mtu ameshapitia hali kama hii ya Lungu kuwasha namna hii au hizi ni dalili za ugonjwa gani? Au ni hali ya kawaida?? Naombeni msaada wadau nasoma comment kwa moyo mkunjufu kabisa

Na kama unajua Dawa naomba unisaidie nisije nikabaki bila


PLEASE HELP ME GUYS
Jamani nimechekaa,mweee
 
Unajuaje yuko fresh? Kwa kumwangalia tu? Unafikiri na huo uzuri wake na ulivyompata kirahisi ni wangapi waliopita hapo? Siku hizi watu wanafakamia hizi ARVs wamenona wala huwezi kuhisi kitu!

Umefanya kosa sana kuuza mechi. Si ajabu umeishia kulikwaa gono. Na midamu hiyo UKIMWI ni nje nje yaani. Omba sana hilo gono lisiwe hili sugu linalosababishwa na super bugs lisilosikia antibiotics wala nini. Rungu lako litakongoroka na kuvuja mausaha yanayonuka non stop na hizo goroli zitaoza na kuporomoka huku ukiziona hivi hivi laivu bila chenga; na hakuna kitu utafanya mpaka unaRIP kwa maumivu makali sana!

Na ukibahatika kuchomoka basi hili liwe fundisho kwako. Kamwe usiuze mechi kizembe hata pisi iwe kali namna gani.

Na baada ya miezi mitatu nenda ukapime UKIMWI.

Pisi kali hizi ni target ya kila msuuza rungu halafu umejipeleka kizembe tu. Umeniudhi sana mkuu. Ungekuwa hapa karibu makofi yangekuhusu wallahi
Uko sahihi huwez kumpima mtu kwa kumwangalia
 
Wadau wa JF habarini za siku natumaini muko poa na mnaendelea vema na majukum ya kila siku kama binadamu katika kujitengenezea mazingira ya mkono kwenda Kinywani yaani i mean mambo ya Diko

Wadau kama mnavyojua katika stage ya binadam kukua tunakutana na mambo mengi katika relationships, sex stuffs na some stuff like that ( cheating + uasherati) ambayo mengine ni mabaya na mengine ni mazuri na pia mengine ni mabaya lakin kwa upande wa family Rituals inakua ni mazuri, okay let me go straight

Few days past kama kijana nilikutana na pisi kali inshort mtoto ni mzuri amebarikiwa kila kona ya mwili wake ambapo hakuna mwanaume ambaye atamtia machoni akaacha kushangaa maajabu coz her body is too romantic Sensitive sijawah ona.

Sasa me kama mwanaume niliuelewa mchezo sikuhofia kuucheza basi nikamchombeza mtoto akakubari. Siku ya mgegedo dem akaniletea Tunda kiRoho safi but hapo sikua najua kitu km yuko fresh. Sasa katika kuendelea kula tunda kama kawaida yetu wanaume tunaonesha ufundi kwenye mwili wa mrembo ili umfurahshe ardhike mwishon nakuja shtuka naona damu zinatoka kwenye tunda

Heee!!! Nikastuka dem akajielezea kwamba alikua period lakini ndo ilikua siku ya mwisho kumalizia period na vitu kama hvo ambavyo wanaume wengi hatuelewi, basi mimi nikakubal nikaacha kumega mchezo nikaosha lungu langu nikatulia

MATATIZO SASA YA KAANZA
Wadau wangu wa JF baada ya tukio hilo niliona nikae bila kusex kwa wik kadhaa ili nione kama nitakua sawa sexually imean lkn baada ya hizi wiki mbili nahisi mambo ambayo siyaelewi kabisa inshort nahis Lungu linawasha sio kawaida afu kama nikitaka kukojoa kunakua na vimaumicu kwa mbali daah hii hali inanitisha nahisi kama nimeukwaa

Naomba kujua kama kuna mtu ameshapitia hali kama hii ya Lungu kuwasha namna hii au hizi ni dalili za ugonjwa gani? Au ni hali ya kawaida?? Naombeni msaada wadau nasoma comment kwa moyo mkunjufu kabisa

Na kama unajua Dawa naomba unisaidie nisije nikabaki bila


PLEASE HELP ME GUYS
Yaani hata hujitambui?
Unakutana na msichana kwa mara ya kwanza bila kupima wala nini halafu unafanya BILA CONDOM?
Huogopi Kuambulizwa UKIMWI au magonjwa mengine ya ngono, Je akipata Mimba ulijiandaa KUOA?
Yaani mtu anakukubalia kwa haraka tu, Hakufaham na wewe unajiingiza bila KINGA? naona kama umeshaichoka DUNIA!
 
Yaani hata hujitambui?
Unakutana na msichana kwa mara ya kwanza bila kupima wala nini halafu unafanya BILA CONDOM?
Huogopi Kuambulizwa UKIMWI au magonjwa mengine ya ngono, Je akipata Mimba ulijiandaa KUOA?
Yaani mtu anakukubalia kwa haraka tu, Hakufaham na wewe unajiingiza bila KINGA? naona kama umeshaichoka DUNIA!
Msameheni. Inaonekana ni mara yake ya kwanza kupata pisi kali. Tena iliyomkubalia kirahisi rahisi tu na iko tayari kumegwa hata haijamaliza period sawasawa. Something is not right kabisa yaani!
 
Muwasho na kukojoa kwa shida unatokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa(STI's) nenda kapime, pia baada ya wiki tatu tangu ukutane nae kapime HIV, HIV huanza kwa maumivu ya kichwa, vimbe kwenye groin na tonsils, jasho usiku, kukohoa, n.k,

NAKUOMBEA UWE SALAMA ILI UKAWE BALOZI WA MATUMIZI YA #CONDOM KWA KILA TENDO LA NDOA, USIHADAIKE NA UMBO LA MWANAMKE, TANGULIZA MASLAHI YAKO KWANZA, KIUFUPI UWE MTU MWENYE CHA KUPOTEZA(like ukipata HIV je utakamilisha ndoto zako za miaka 30 ijayo?)
 
Mara nyingi huwa naamin mtu anaefanya ngono zembe ni kwamba amejiandaa kwa lolote...na hayo magonjwa ya zinaa wala hayaogopi kiviiile...
 
Unajuaje yuko fresh? Kwa kumwangalia tu? Unafikiri na huo uzuri wake na ulivyompata kirahisi ni wangapi waliopita hapo? Siku hizi watu wanafakamia hizi ARVs wamenona wala huwezi kuhisi kitu!

Umefanya kosa sana kuuza mechi. Si ajabu umeishia kulikwaa gono. Na midamu hiyo UKIMWI ni nje nje yaani. Omba sana hilo gono lisiwe hili sugu linalosababishwa na super bugs lisilosikia antibiotics wala nini. Rungu lako litakongoroka na kuvuja mausaha yanayonuka non stop na hizo goroli zitaoza na kuporomoka huku ukiziona hivi hivi laivu bila chenga; na hakuna kitu utafanya mpaka unaRIP kwa maumivu makali sana!

Na ukibahatika kuchomoka basi hili liwe fundisho kwako. Kamwe usiuze mechi kizembe hata pisi iwe kali namna gani.

Na baada ya miezi mitatu nenda ukapime UKIMWI.

Pisi kali hizi ni target ya kila msuuza rungu halafu umejipeleka kizembe tu. Umeniudhi sana mkuu. Ungekuwa hapa karibu makofi yangekuhusu wallahi
Mtukane mkuu tusi litamfikia alipo😂
 
Kweli blaza mwanaume inatakiwa Ujikubali
Wengi wanaanza kupoteza nguvu za kiume wakiskia mtu ana uume mkubwa akijiangalia anaona labda ndomanawanawake hawadumu nae kumbe sio hivyo hakuna tafiti za kisayansi zinazotoa suluhisho la kumfikisha mwanamke kilelen
 
Unajuaje yuko fresh? Kwa kumwangalia tu? Unafikiri na huo uzuri wake na ulivyompata kirahisi ni wangapi waliopita hapo? Siku hizi watu wanafakamia hizi ARVs wamenona wala huwezi kuhisi kitu!

Umefanya kosa sana kuuza mechi. Si ajabu umeishia kulikwaa gono. Na midamu hiyo UKIMWI ni nje nje yaani. Omba sana hilo gono lisiwe hili sugu linalosababishwa na super bugs lisilosikia antibiotics wala nini. Rungu lako litakongoroka na kuvuja mausaha yanayonuka non stop na hizo goroli zitaoza na kuporomoka huku ukiziona hivi hivi laivu bila chenga; na hakuna kitu utafanya mpaka unaRIP kwa maumivu makali sana!

Na ukibahatika kuchomoka basi hili liwe fundisho kwako. Kamwe usiuze mechi kizembe hata pisi iwe kali namna gani.

Na baada ya miezi mitatu nenda ukapime UKIMWI.

Pisi kali hizi ni target ya kila msuuza rungu halafu umejipeleka kizembe tu. Umeniudhi sana mkuu. Ungekuwa hapa karibu makofi yangekuhusu wallahi
Mtu anayetumia ARV Ana probability ndogo ya kuambukiza HIV sababu viral load inakua ndogo
 
Hatujapima lakini huyu hana ugonjwa wowote anaonekana yuko fresh
We Jamaa fala Sana unampima mtu kwa macho.

Stori za kula kimasihara zisiwatoe kwenye reli .

Matangazo ya kondomu huyasikii Wala kuyaona huko mitaaani na mtandaoni.

Ukifanya ngono bila ndomu kwa demu wa kuokoteza lazima Cha Moto ukipate

Hao wenzetu wanaweza kaa na magonjwa miezi na miezi bila kujishtukia ila wewe ukiweka tu kavu wiki mbili nyingi lazima uone mabadiliko mwilini .

Naamini kuanzia Sasa utakuwa mteja mzuri wa ndomu
 
Back
Top Bottom