Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,623
- 112,696
- Thread starter
- #541
Hii ni kweli! Nimekuwa nikijiuluza hii kitu kwa wanyakyusa, sauti kama wanatukana halafu nzito balaa, kiongozi wao Bahati Bukuku
hahhaha huyu yeye amechika kwa bwana kisa sauti! hajui kubembeleaza au kuongea kawaida! yaan ukwel nachekaga sana sabab za yy kuachana!ukikaa nae hata hotel akiwa anaagiza msos utahis km anachamba kumbe ndo ongea yake hahahaahahah