Mkuu Gag, jana niliisoma ile kitu, yale ni marudio tuu, iliishapishwa na Mwanahalisi!, kiukweli tuna genious wazuri wa fiction, wakiipika inaonekana kama non fiction!. Siiamini kama ni kweli, simply because the amount involved is too big kiasi cha kuwa unbelievable!.
Pasco.