Urais wa TLS hauna impact ya maana!

Kufanya uchaguzi kila mwaka ni kupoteza muda na hamasa ya uchaguzi wenyewe.Fanyeni kila baada ya miaka 3
 
Nilitaka kuandika hapa Ila naona unemuelezea huyu mtu asipoelewa basi utakuwa wivu wa kike tu
Kama kwi Kuna hiyo imapct Mbona hamjitokezi kwenda kuchangia viongozi? Mpo zaidi ya 10000 ila wanaoenda kupiga kura hawazidi 700
 
Kama kwi Kuna hiyo imapct Mbona hamjitokezi kwenda kuchangia viongozi? Mpo zaidi ya 10000 ila wanaoenda kupiga kura hawazidi 700
Hata kura za nchi zinapigwa na watu wachache acha kuweka vigezo visivyo na misingi. Pia kuna mambo mengi yanachangia kuna watu wamekosa hela ya kusafiri pia maana unajisafirisha na unajilipia, pia kuna sababu nyingi sana usiwe mfinyu wa kufikiri.

Halafu why mnahangaika na TLS as if ni chama cha siasa? TLS haina tofauti na chama cha walimu, madaktari, engineers etc.
 
Unaambiwa Tanzania ndio nchi pekee katika uchaguzi unaoshirikisha mawakili wasomi tu huwa na kura zilizoharibika
 
Asante kwa maelezo yako ila ukweli utabaki kuwa taaaisi yenu haina impact na sijawahi ona impact yake kwa jamii pamoja na kuwa imeanzisha muda mrefu, yaani hata kama mpo au msiwepo hakuna madhara bora hata Wale watetezi wa haki za binadamu wakina enzi za kina Bisimba, hata Magoti anamzidi rais wa TLS
Unachoandika hapa ni sawa na leo mimi kutoka hadharani na kusema sioni manufaa yoyote ya Medical Association of Tanzania (MAT) kwasababu huduma za afya bado ziko chini. Nitakuwa mpumbavu wa mwisho kwasababu kile ni chombo cha kitaalamu kimetengenezwa kusaidia tasnia husika, serikali, jamii na wadau mbalimbali.

Halafu wewe Tanganyika Law Society (TLS) si umeifahamu tu hivi karibuni baada ya kuja mjini na kununua simu janja (Smart-Phone) ??? Hebu tujaribu kwanza kuwa wakweli katika hili..
 
Unachoandika hapa ni sawa na leo mimi kutoka hadharani na kusema sioni manufaa yoyote ya Medical Association of Tanzania (MAT) kwasababu huduma za afya bado ziko chini. Nitakuwa mpumbavu wa mwisho kwasababu kile ni chombo cha kitaalamu kimetengenezwa kusaidia tasnia husika, serikali, jamii na wadau mbalimbali.

Halafu wewe Tanganyika Law Society (TLS) si umeifahamu tu hivi karibuni baada ya kuja mjini na kununua simu janja (Smart-Phone) ??? Hebu tujaribu kwanza kuwa wakweli katika hili..
Mfano halisi kabisa sitarajii ataendelea kuuliza pumba zake
 
Nahisi TLS ndicho chama cha kitaaluma cha hovyo kabisa Tanzania. Kinazidiwa hata na CWT ambacho ingawa sio cha kitaaluma, angalau kinatoa t-shirts siku za Mei Mosi kwa wanachama wake wakiwemo akina tindo na Mmawia! Ahahahahahahahaha!
Mdogo wangu Mmawia kuna mtu anakuletea kashfa huku....
 
TLS is a professional body na siyo kigenge cha wanasiasa kama ambavyo wewe unafikiria kichwani kwako. Ile taasisi inaendeshwa kwa sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali siyo matakwa ya Raisi wa TLS kama ambavyo wanasiasa mnavyoamua kuendesha siasa za UVCCM na BAVICHA.

Pili, TLS ina chapters: Unazifahamu hata chapters wewe ??? Hivyo siyo lazima wote twende Arusha kuchagua Raisi. Hizi Chapters zinasaidia mambo mbalimbali ya wanasheria na jamii yote kwa ujumla, hasahasa utoaji wa bora wa haki na utawala bora wa sheria.

Tatu, TLS ina vyombo vyake vya kimaamuzi kama Annual General Meeting (AGM) ambavyo vina nguvu. Raisi wa TLS kazi yake ni kusimamia miongozo yote ambayo inatolewa na AGM hivyo hajiamulii tu, kama wewe ambavyo unataka aamue. Kile ni chombo cha kitaalamu (A Professional Body) siyo cha kisiasa, japo mara chache hufanya shughuli za kisiasa kwasababu haziepukiki.

Nne, dunia nzima kuanzia Uingereza Raisi wa The Law Society of England and Wales hukaa madarakani kwa mwaka mmoja tu. Raisi huwa kama CEO akifuata maelekezo ya AGM, na hajiamuliii tu vitu vyake kama wewe unavyofikiria kichwani mwako.

.....Kabla hujatushauri sisi wanasheria kuhusu sheria nakushauri kasome kwanza sheria......

Wewe Layman kutaka kutushauri sisi Professionals on how to do our jobs properly it's similar to lowly Spartan trying to teach Ares (The god of war) basic combat skills. It's total abalone and a monkey business....

STOP IT BEFORE YOU EMBARRASS YOURSELF, TLS siyo BAVICHA au UVCCM..
Mimi nimewadharau juzi juzi walipotoa tamko eti Katiba inamlazimisha Rais Samia kuvunja Baraza la Mawaziri na kuteua Waziri Mkuu mpya na kumwaapisha!! Nikaamini kumbe TLS ni kikundi cha Wanaharakati wala si wanasheria waliobobea kwenye mambo ya sheria za TZ.
 
Mimi nimewadharau juzi juzi walipotoa tamko eti Katiba inamlazimisha Rais Samia kuvunja Baraza la Mawaziri na kuteua Waziri Mkuu mpya na kumwaapisha!! Nikaamini kumbe TLS ni kikundi cha Wanaharakati wala si wanasheria waliobobea kwenye mambo ya sheria za TZ.
Congratulations, you're the first person to have made it to my ignore list......
 
Haya ndiyo madhara ya darasa la Saba kuwaacha tu washauri vitu vya kisomi

Unataka TLS iwe Kama chama cha SIASA mkuu

Haya wewe professional yako uliyosomea ni ipi na imeleta impact gani hapa nchini

Acha kuingilia taasisi za watu ambazo zina miongozo yake

Haya tueleze CHAMA CHENU CHA WANASAYANSIKIMU mmeisaidia nini nchi hii?
 
Kufanya uchaguzi kila mwaka ni kupoteza muda na hamasa ya uchaguzi wenyewe.Fanyeni kila baada ya miaka 3
Uchaguzi wenyewe nasikia huwa na Rushwa nyingi, Mfano sasa Hosea katumia mabilioni kununua huo Urais wa TLS usio na Tija yeyote
 
TLS is a professional body na siyo kigenge cha wanasiasa kama ambavyo wewe unafikiria kichwani kwako. Ile taasisi inaendeshwa kwa sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali siyo matakwa ya Raisi wa TLS kama ambavyo wanasiasa mnavyoamua kuendesha siasa za UVCCM na BAVICHA.

Pili, TLS ina chapters: Unazifahamu hata chapters wewe ??? Hivyo siyo lazima wote twende Arusha kuchagua Raisi. Hizi Chapters zinasaidia mambo mbalimbali ya wanasheria na jamii yote kwa ujumla, hasahasa utoaji wa bora wa haki na utawala bora wa sheria.

Tatu, TLS ina vyombo vyake vya kimaamuzi kama Annual General Meeting (AGM) ambavyo vina nguvu. Raisi wa TLS kazi yake ni kusimamia miongozo yote ambayo inatolewa na AGM hivyo hajiamulii tu, kama wewe ambavyo unataka aamue. Kile ni chombo cha kitaalamu (A Professional Body) siyo cha kisiasa, japo mara chache hufanya shughuli za kisiasa kwasababu haziepukiki.

Nne, dunia nzima kuanzia Uingereza Raisi wa The Law Society of England and Wales hukaa madarakani kwa mwaka mmoja tu. Raisi huwa kama CEO akifuata maelekezo ya AGM, na hajiamuliii tu vitu vyake kama wewe unavyofikiria kichwani mwako.

.....Kabla hujatushauri sisi wanasheria kuhusu sheria nakushauri kasome kwanza sheria......

Wewe Layman kutaka kutushauri sisi Professionals on how to do our jobs properly it's similar to a lowly Spartan trying to teach Ares (The god of war) basic combat skills. It's total baloney and a monkey business....

STOP IT BEFORE YOU EMBARRASS YOURSELF, TLS siyo BAVICHA au UVCCM..
Haaahaaaa imeisha hiyooo!!
 
Haya ndyo madhara ya darasa la Saba kuwaacha tu washauri vitu vya kisomi

Unataka TLS iwe Kama chama cha SIASA mkuu

Haya wewe professional yako uliyosomea n ipi na imeleta impact gan hapa nchini

Acha kuingilia taasisi za watu ambazo zna miongozo yake

Haya tueleze CHAMA CHENU CHA WANASAYANSIKIMU mmeisaidia nn nchi hii?
Kwa Tanzania darasa la saba huwa na uelewa kuliko kiumbe anayejiita Msomi kwani wanaojiita wasomi 80%si wasomi Halisia ni wasomi feki, wengine wamesoma kiujanja janja kuiba mitihani, kununua majawabu, kununua vyeti, hawana Taaluma halisi vichwani, huendesha kazi zao kiujanja janja ndiyo maana kuna uhaba wa mawakili mahili wa wakweli baada ya kusalia wachache sana Tanzania, Kuchagua mtu awaongoze miezi 12 kwa kutumia gharama kubwa kusafiri kwenda Arusha ni matumizi mabaya ya pesa na kukosa maarifa, Kwanza TLS yafaa ipewe heshima na Bunge na uchaguzi wake ufanyike kila baada ya miaka 5 na Rais wa TLS apewe hadhi ya Balozi na ubunge kama alivyokuwa mwenyekiti wa UWT, uchaguzi wa mwaka mwaka ni sawa na uchaguzi kiranja chuoni mashuleni
 
Uraisi wa TLS unaweza kuwa na maana kwa sasa baada ya yule mnyonga sheria na demokrasia kutokomea!

Mkuu marehemu bado anakusumbua. Sheria gani aliinyonga. Maandamano. Wewe Mwananchi wa kawaida. Sheria gani ya nchi ilivunjwa ambayo ilikufanya usile na usiny... mnabeba ajenda za kipumbavu sana. Lini aliwagusa hao. TLS hukuisema ilipotekwa na uharakati wa kijinga kabisa. Ukiona kila mada unatafuta sababu ya kumtaja JPM ujue alifanya mazuri kwa watu. Mtu mwenye mabaya kwa watu wa kawaida hutahitaji kuyataja wala kuwakumbusha wengine kila wakati. Those actions will in either way speak for themselves. It’s good for your Health. Live your life.
 
Haya ndyo madhara ya darasa la Saba kuwaacha tu washauri vitu vya kisomi

Unataka TLS iwe Kama chama cha SIASA mkuu

Haya wewe professional yako uliyosomea n ipi na imeleta impact gan hapa nchini

Acha kuingilia taasisi za watu ambazo zna miongozo yake

Haya tueleze CHAMA CHENU CHA WANASAYANSIKIMU mmeisaidia nn nchi hii?
Anafikiri TLS ni Umoja wa Madereva wa Daladala. Sisi wenye profession hiyo ndio wafaidika wa hicho chama yeye atafute umoja wa machangudoa awapelekee malalamiko yake.
 
Mkuu marehemu bado anakusumbua. Sheria gani aliinyonga. Maandamano. Wewe Mwananchi wa kawaida. Sheria gani ya nchi ilivunjwa ambayo ilikufanya usile na usiny... mnabeba ajenda za kipumbavu sana. Lini aliwagusa hao. TLS hukuisema ilipotekwa na uharakati wa kijinga kabisa. Ukiona kila mada unatafuta sababu ya kumtaja JPM ujue alifanya mazuri kwa watu. Mtu mwenye mabaya kwa watu wa kawaida hutahitaji kuyataja wala kuwakumbusha wengine kila wakati. Those actions will in either way speak for themselves. It’s good for your Health. Live your life.
Povu la nini?
Take Easy!!!🤣
 
Back
Top Bottom