Hicho ni chama Cha kufa na kuzikana
Ukiangalia ushauri walioutoa baada ya kifo Cha Magufuli,kwamba eti serikali mzima inapaswa kujiuzulu,halafu wakakaa kimya bila hata kutetea hoja yao,inatoa picha kwamba hilo ni genge tu halina impact yoyote
TLS haina tofauti na club ya Saigon kariakoo
Ukiangalia ushauri walioutoa baada ya kifo Cha Magufuli,kwamba eti serikali mzima inapaswa kujiuzulu,halafu wakakaa kimya bila hata kutetea hoja yao,inatoa picha kwamba hilo ni genge tu halina impact yoyote
TLS haina tofauti na club ya Saigon kariakoo