Urais wa TLS hauna impact ya maana!

Hicho ni chama Cha kufa na kuzikana
Ukiangalia ushauri walioutoa baada ya kifo Cha Magufuli,kwamba eti serikali mzima inapaswa kujiuzulu,halafu wakakaa kimya bila hata kutetea hoja yao,inatoa picha kwamba hilo ni genge tu halina impact yoyote
TLS haina tofauti na club ya Saigon kariakoo
 
Asante kwa maelezo yako ila ukweli utabaki kuwa taaaisi yenu haina impact na sijawahi ona impact yake kwa jamii pamoja na kuwa imeanzisha muda mrefu, yaani hata kama mpo au msiwepo hakuna madhara bora hata Wale watetezi wa haki za binadamu wakina enzi za kina Bisimba, hata Magoti anamzidi rais wa TLS
Wewe ni mwanasheria? Unaelewa maana ya professional body?
 
TLS is a professional body na siyo kigenge cha wanasiasa kama ambavyo wewe unafikiria kichwani kwako. Ile taasisi inaendeshwa kwa sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali siyo matakwa ya Raisi wa TLS kama ambavyo wanasiasa mnavyoamua kuendesha siasa za UVCCM na BAVICHA.

Pili, TLS ina chapters: Unazifahamu hata chapters wewe ??? Hivyo siyo lazima wote twende Arusha kuchagua Raisi. Hizi Chapters zinasaidia mambo mbalimbali ya wanasheria na jamii yote kwa ujumla, hasahasa utoaji wa bora wa haki na utawala bora wa sheria.

Tatu, TLS ina vyombo vyake vya kimaamuzi kama Annual General Meeting (AGM) ambavyo vina nguvu. Raisi wa TLS kazi yake ni kusimamia miongozo yote ambayo inatolewa na AGM hivyo hajiamulii tu, kama wewe ambavyo unataka aamue. Kile ni chombo cha kitaalamu (A Professional Body) siyo cha kisiasa, japo mara chache hufanya shughuli za kisiasa kwasababu haziepukiki.

Nne, dunia nzima kuanzia Uingereza Raisi wa The Law Society of England and Wales hukaa madarakani kwa mwaka mmoja tu. Raisi huwa kama CEO akifuata maelekezo ya AGM, na hajiamuliii tu vitu vyake kama wewe unavyofikiria kichwani mwako.

.....Kabla hujatushauri sisi wanasheria kuhusu sheria nakushauri kasome kwanza sheria......

Wewe Layman kutaka kutushauri sisi Professionals on how to do our jobs properly it's similar to a lowly Spartan trying to teach Ares (The god of war) basic combat skills. It's total baloney and a monkey business....

STOP IT BEFORE YOU EMBARRASS YOURSELF, TLS siyo BAVICHA au UVCCM..
Msomi hujaweka tu kilatini au wewe ni junia- mwambie sinia aongeze hapo ataelewa huyo layman hahahahaahh
 
Wewe ni mwanasheria? Unaelewa maana ya professional body?
Niwe najua au la lakini sisi wananchi wa kawaida hatuoni impact yenu yaani muwepo na msiwepo hatuoni madhara, Proffesional mngetulisha matango pori kuwa rais akifa na baraza la mawaziri linakoma, mmepigwa maswali mkaa kaa kimya, hamna kitu, uvunjifu wa haki za kibinadamu, haki za kisheria kwenye vyombo vya kutoa haki umekuwa mkubwa kuliko wakati wowote mmekaa kimya wakati huu ndiyo ulikuwa kipindi kizuri kwenu kuonyesha uhai kuwa mpo.

zaidi ya hii week mnakula bata na totozi Arusha kama jana mlifanya fujoo sana.

Badilisheni muundo, hivi lili jengo mlitaka kujenga mmelikamilisha?
 
Unachoandika hapa ni sawa na leo mimi kutoka hadharani na kusema sioni manufaa yoyote ya Medical Association of Tanzania (MAT) kwasababu huduma za afya bado ziko chini. Nitakuwa mpumbavu wa mwisho kwasababu kile ni chombo cha kitaalamu kimetengenezwa kusaidia tasnia husika, serikali, jamii na wadau mbalimbali.

Halafu wewe Tanganyika Law Society (TLS) si umeifahamu tu hivi karibuni baada ya kuja mjini na kununua simu janja (Smart-Phone) ??? Hebu tujaribu kwanza kuwa wakweli katika hili..

Nyie na MAT hamna tofauti yoyote hamna impact yoyote niwambie tu ukweli umjitathimini.

Ni vikundi kama vikundi vingine kama CWT, Bora hata chama cha wamiliki Mabasi tunaona impact yao.
 
Subiri siku uzingiziwe kesi ya kumpa mwanafunzi mimba ndio utaanza kuwaheshimu wanasheria
Sitaki kwenda deep , ila ninachowashauri Wanasheria (TLS) badilisheni katiba yenu/sheria at least Rais wa TLS akae madarakani kwa miaka 3. Urais wa TLS hauna impact ya maana kwenye Nchi.
Ni kama Urais wa DARUSO tu !
Wanasheria acheni mambo ya kitoto,onyesheni maturity kwenye projection zenu!
 
TLS is a professional body na siyo kigenge cha wanasiasa kama ambavyo wewe unafikiria kichwani kwako. Ile taasisi inaendeshwa kwa sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali siyo matakwa ya Raisi wa TLS kama ambavyo wanasiasa mnavyoamua kuendesha siasa za UVCCM na BAVICHA.

Pili, TLS ina chapters: Unazifahamu hata chapters wewe ??? Hivyo siyo lazima wote twende Arusha kuchagua Raisi. Hizi Chapters zinasaidia mambo mbalimbali ya wanasheria na jamii yote kwa ujumla, hasahasa utoaji wa bora wa haki na utawala bora wa sheria.

Tatu, TLS ina vyombo vyake vya kimaamuzi kama Annual General Meeting (AGM) ambavyo vina nguvu. Raisi wa TLS kazi yake ni kusimamia miongozo yote ambayo inatolewa na AGM hivyo hajiamulii tu, kama wewe ambavyo unataka aamue. Kile ni chombo cha kitaalamu (A Professional Body) siyo cha kisiasa, japo mara chache hufanya shughuli za kisiasa kwasababu haziepukiki.

Nne, dunia nzima kuanzia Uingereza Raisi wa The Law Society of England and Wales hukaa madarakani kwa mwaka mmoja tu. Raisi huwa kama CEO akifuata maelekezo ya AGM, na hajiamuliii tu vitu vyake kama wewe unavyofikiria kichwani mwako.

.....Kabla hujatushauri sisi wanasheria kuhusu sheria nakushauri kasome kwanza sheria......

Wewe Layman kutaka kutushauri sisi Professionals on how to do our jobs properly it's similar to a lowly Spartan trying to teach Ares (The god of war) basic combat skills. It's total baloney and a monkey business....

STOP IT BEFORE YOU EMBARRASS YOURSELF, TLS siyo BAVICHA au UVCCM..
Huo utopolo ndio unaozungumzwa hapa, the way mnajigamba ni kama nyie ndio mliosoma peke yenu na hakuna cha kuwashauri, kwa mfano mkichagua rais wa 3 years itasaidia kusave cost na usumbufu.

Halaf tutajie faidi hata tatu za TLS kwenye kusaidia nchi sio unabwabwaja tu hapa Profession Profession nani hana Profession?
Kuna wakati mtambue mnaonekana kama kikundi flani cha wapiga soga wameungana kuchangishana na kuchagua watu wa kuwalipa hela za michango yenu tu
 
Subiri siku uzingiziwe kesi ya kumpa mwanafunzi mimba ndio utaanza kuwageshimu wanasheria
Inazungumziwa TLS hapa, nawewe subiri uende ofisi ya watu wa taaluma nyingine ndo utajua uanasheria ni taalum isiyojitosheleza ndio maana tunategemeana
 
Ni kweli kuna haja ya kuongeza muda wa Rais wa TLS, mwaka mmoja hautoshi
Wenyewe wanakuja hapa wanatoa povu sio la nchi hii.
Wanabeza ushauri wa wananzengo kisa wao walisoma HKL wakaibukia kwenye sheria basi tulosoma kuchonga vinyago tunaonekana hatuna cha kuwashauri
 
Hizi professional bodies za Tanzania ni upuuzi mtupu. Wameshindwa kuwasaidia wanachama kwa kupigania haki zao za msingi na mazingira mazuri ya utendaji kazi. Uwakili umekua mzigo, town young lawyers wanasugua gaga mpaka juzi Kati ilibidi jamaangu mhitim wa Law school arudi Kilosa kulima Mahindi. Sometimes TLS wanajitahidi, kuna Professional bodies zingine Kama MAT ndo hazieleweki kabisa. Imagine professional Dr unaogopa kutaja COVID-19 na unashabikia majina ya wanasiasa eti changamoto za upumuaji. Ovyo kabisa
 
Niwe najua au la lakini sisi wananchi wa kawaida hatuoni impact yenu yaani muwepo na msiwepo hatuoni madhara, Proffesional mngetulisha matango pori kuwa rais akifa na baraza la mawaziri linakoma, mmepigwa maswali mkaa kaa kimya, hamna kitu, uvunjifu wa haki za kibinadamu, haki za kisheria kwenye vyombo vya kutoa haki umekuwa mkubwa kuliko wakati wowote mmekaa kimya wakati huu ndiyo ulikuwa kipindi kizuri kwenu kuonyesha uhai kuwa mpo.

zaidi ya hii week mnakula bata na totozi Arusha kama jana mlifanya fujoo sana.

Badilisheni muundo, hivi lili jengo mlitaka kujenga mmelikamilisha?
Sasa mkuu mbona hauelewi msingi mzima wa TLS ni ya wanasheria na mawakili kwa ajili ya taaluma yao ya sheria wewe unataka uone impact gani? Ni sawa sawa na baraza la madaktari linapokaa kuzungumzia maswala yao ya kitabibu...hii haiwahusu laymen ni learned brothers & sisters tuuu..mambo ya uvunjifu wa haki, mahakama etc hayo ni mambo ya kisiasa sio ya kitaaluma...
 
Huo utopolo ndio unaozungumzwa hapa, the way mnajigamba ni kama nyie ndio mliosoma peke yenu na hakuna cha kuwashauri, kwa mfano mkichagua rais wa 3 years itasaidia kusave cost na usumbufu.

Halaf tutajie faidi hata tatu za TLS kwenye kusaidia nchi sio unabwabwaja tu hapa Profession Profession nani hana Profession?
Kuna wakati mtambue mnaonekana kama kikundi flani cha wapiga soga wameungana kuchangishana na kuchagua watu wa kuwalipa hela za michango yenu tu
NI WIVU WA KIKE TU, HAKUNA JINGINE JIPYA.
 
Sitaki kwenda deep , ila ninachowashauri Wanasheria (TLS) badilisheni katiba yenu/sheria at least Rais wa TLS akae madarakani kwa miaka 3. Urais wa TLS hauna impact ya maana kwenye Nchi.

Ni kama Urais wa DARUSO tu!

Wanasheria acheni mambo ya kitoto, onyesheni maturity kwenye projection zenu!

TLS aka wazee wa uchaguzi.
Baada ya uchaguzi huu huta wasikia tena mpaka mwakani, kwenye uchaguzi tena.
 
Nyie na MAT hamna tofauti yoyote hamna impact yoyote niwambie tu ukweli umjitathimini.

Ni vikundi kama vikundi vingine kama CWT, Bora hata chama cha wamiliki Mabasi tunaona impact yao.
Wewe binafsi umeifanyia Tanzania jambo gani la maana ambalo tunaona impact yake ???
 
Back
Top Bottom