Elections 2010 Urais sio rahisi mnafahamu wanajamii forum?

miaka takribani 50 ya uhuru bado kuna wakuu wenye mawazo finyu kiasi hiki?
endapo hii miaka 50 chama chako kimeshindwa kuratibu nchi hii kujiletea maendeleo ya watu, je, hii miaka 5 ndio mtafanya miujizaa kama ya enzi za yesu.


huu ni wakati mwafaka wa kuiingiza chadema madarakani ili kupata

  • demokrasia
  • maendeleo
 
DHANA YA KWAMBA URAIS NI RAHISI NI KUWATANIA WATANZANIA!


  • Wapinzani wakiongozwa na Chadema wanachotaka ni Urais basi!
  • Tena Urais wa kipindi kimoja tu cha miaka mitano!
  • Halafu wawapishe wenyewe waliowatuma ndio maana yake!
  • Suala la kuleta nafuu kwa maisha ni ghilba ambayo itaishia kupigiwa makofi kwenye viwanja vya kampeni halafu Watanzania wataachwa na ujaka wao kama sio solemba!
  • Ahadi za CCM ni za uhakika zinatekelezwa katika mchakato unaoeleweka,’ wahenga wanasema kawia ufike!


Ninapoandika makala hii najisikia vibaya na kujiuliza inakuwaje wanasiasa kwa namna moja au nyingine waliowahi kuwa Wabunge katika Bunge la Jamhuri watakuwa mabingwa wa kutumia falsafa ya kulenga kufikia malengo ya kisiasa kwa njia yoyote hata kama itasambaratisha amani na utangamano wa nchi.

Kitu gani hasa kimewakumba je ni uchungu kweli wa kutaka kuwahudumia Watanzania vyema zaidi au njama za kuwataka kuwatumia kama ngazi ya kupata madaraka kiurahisi tu!


Kama uchungu kweli kwa nini wasifuate utaratibu wa kawaida kwa kutumia lugha za kistaarabu waliozozoweya Watanzania. Kule Kenya ukiwa baa unapiga mluzi fyee..! au unaita kwa makeke ..’ weye muhudumu lete kinywaji..’ na lazima alete! Lakini Mtanzania atasema..’ tafadhali muhudumu naomba unipatie kinywaji fulani! Kwa hiyo basi tuwakane na tusiwape kura zetu Wapinzani wanaopiga miluzi ya uchochezi, makwenzi, mapanga na bakora na kulazimisha tuwape kura zetu! Sasa lugha za kebehi , dharau na uchochezi lengo nini kama si ushawishi wa watu wapigane na kuvunja amani hapa uzalendo wa hawa Wapinzani bila ya shaka una mushkeli tena mkubwa na tahadhari ichukulie haraka! Wanasema akumulikaye mchana usiku atakuunguza! Mfano halisi kilichotokea kule Maswa hawa jamaa wamekusudia na kwa maana nyingine hii ni changamoto ya wazi kwa Vyombo vyetu vya Usalama visiwalazie damu! Mzaha mzaha mwisho utatumbuka usaha!

Ahadi zinazovutia za Mgombea wa Chadema za kutoa elimu bure na kupunguza gharama za vifaa ujenzi zinaweza kutekelezeka kwa mikakati ya muda mrefu kama ya CCM na sio kipindi cha miaka 5 hii dhahiri huyu Mzee anawafanya Watanzania mabwege mtozeni na mazumbukuku , jamani tumsitukieni! Tunajua kwa rasilimali zinazokuwa chini ya uangalizi wa Rais Mgombea a upinzani akipata bingo hiyo kwa miaka 5 ataweza kukidhi uchu wa utajiri na kuwaondolea umasikini jamaa zake na wale waliomuunga mkono kuipata nafasi hiyo tu lakini sio Watanzania zaidi ya milioni 40! Awadanganye wale wanaotaka kudanganywa lakini ukeli unabakia hivyo maendeleo ya nchi ni mchakato wa muda mrefu sana hadi leo taifa tajrii la Marekani lina zaidi ya miaka 234 asilimia 11 ya raia wake ni masikini kuliko Watanzania sasa kwa miaka zaidi ya 234 Marekani haijaweza kufuta umasikini sasa huyu Mnafiki anasema ataweza kufanya hivyo kwa miaka mitano anamdanganya nani? Na hakika watanzania makini somo wamehslielwa msimamo Wapinzania warejeshwe darasani wakajifunze kutengeneza mtandao wa kisiasa kuandaa viongozi wenye maadali na wajidunze lugha ya staha, kutumia nguvu za hoja na kuwa sera zinazotekelezeka na endelevu! Huu utani wa mwaka huu uchukuliwe kama utani ambao mahala pake mwafaka ni katika vipindi vya ’ ze orijino komedi! Wakati fulani nilimsikia Mgombea wa rais wa Chadema anajigamba atapambana na EPA kwa nguvu zake zote lakini labda tumkumbushe huko nyuma wakati akiwa katika utumishi wa kiroho alikumbana na kashfa zinazofanana na EPA EPA hali iliyomfanya aache uchungaji wa kondoo wa Bwana bila ya kupenda , swali kama EPA katika utumishi wa Mungu ilimshinda ataweza kweli kushindana na EPA ya kidunia ama anatakuwa kuwa mshiriki wake kinamna na hasa anaposema atatua matatizo yetu kwa kasi ya ajabu ndan ya kipindi kifupi cha miaka mitano tu! Watanzania mambo hayo!

Gharama za kutoa elimu bora, ujenzi wa miundombinu yake na kuwa na fungu la kutoa motisha kwa walimu ni mipango ya muda mrefu haiwezi kukamilika kwa kipindi kifupi cha miaka 5! Halikadhalika mpango wa viwanda vya kuzalisha vifaa vya ujenzi ni wa muda mrefu pia.

Mchakato wa kubadilisha katiba sio lelema tunawasifia jirani zetu Kenya walioisimika hivi karibuni , ukweli mchakato wa kuiasisi na kuiandika katiba hiyo na kujiadili kwa kina umechukua takriban miaka 20 ya vute ni kuvute! Sasa huyu Mwenzetu anasema ataifanya kwa siku 100 hali hii na ahadi nyingine ndio zinazoleta dhana kuwa Urais ni rahisi jambo ambalo sio kweli hata kidogo!
Mgombea huyu Watanzania anataka kutuuza tena kwa mkopo. Ukichunguza anataka kuweka rehani tunu zetu kuu yaani Amani , Utulivu, Usalama na Mshikamano! Tusithubutu kufanyia mzaha tunu zetu hizo kama ule msemo ‘bura yangu sibadili na rehani! Hata ulichonacho kinaonekana ni hafifu ni bora mara 100 kuliko pepo ya ahadi isio na ithibati!

Halafu ahadi ya muungwana ndio ya kuenziwa kwa sababu kwa muungwana ahadi ni deni kama nilivyosema katika makala zilizopita Kwa kumnukuu hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa Mgombea Bora wa Urais nchini atatoka CCM kwa sababu ya umakini na bila ya shaka yeyote huyu ndio Muungwana tunaye mtafuta na ahadi zake anaziheshimu! Katika mikutano Mgombea wake amerejea zile ahadi zilizomo katika Ilani ya 2005 zilizotekelezwa na zile zinazoendelea kutekelezwa na hizi mpya za Ilani ya 2010! Hoja kwa wale wasiofahamu ahadi za 2005 utekelezaji wake ni endelevu kama ilivyo jamii ni dainamiki haisimami kama nukta sasa ni dhahiri Ilani ya 2010 inaendeleza utekelezaji wa Ilani ya 2005 kwa maana hakuna mpaka wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ni kama mto unaotiririka maji! Sio ajabu katika ahadi za Mgombea wa Upinzani anakuja na dhana ya kubeza kwa hiyo ana nia ya kusitisha harakati za maendeleo halafu wasimike mauzauza yao! Watanzania wapenzi tusithubutu kubadilsha rubani wakati ndege ya maendeleo ikiwa angani atatubwaga huyu na imeshatokea katika nchi kadhaa duniani na hivi sasa wanajuta kuzaliwa!

Kuna msemo kabla hujafa haujaumbika! Methali ambayo ina tafsiri nyingi mojawapo ni kuwa usicheke kilichomkuta mwenzio huenda kabla hujafa na wewe kikakukuta! Kumetokea dhihaka kutoka takriban kwa wasomi, Asasi za kuetetea wanawake na baadhi ya vyombo vya habari kujizuia kutoona mkanganyiko wa kimaadili kwa mgombea wa Chadema ambaye bila ya kuwa na haya wala soni ! Hata baada ya mwenye mke kujitokeza mimi nilifikiri kuwa kingelikuwa kitendo cha uungwana Mgombea huyu angejitokeza hadharani na kuungama na kisha kuomba msamaha kwa Watanzania na pia kwa Mume halisi wa ‘mchumba’ wake!( na mambo yangeisha hapo!) Lakini kama jogoo amekuwa akiranda na huyu shemeji yetu nchi nzima! Hapa tumepata somo gani na kwa wale wanaoshabikia au kufumbia macho ahli hiyo kweli ni haki hiyo! Kwa zile asasi za kutetea haki na vyombo vya habari vimejidhihirisha ndumila kuwili kwamba pale maslahi yataathirika kwa ‘Mgombea’ wao wako tayari kuwa kinyonga na kujifanya wameghaflika na kugeuza kichwa na kuangalia pembeni! Kwa Hali halisi lazima Watanzania wafahamu kama tutafanya makosa sio ajabu tukajikuta wake zetu na wapenzi wetu wako hatarini kuporwa! Maana kama hivi sasa Mheshimiwa huyu hajakuwa Rais anapora namna hii bila woga fikiria akichanganya na nguvu za dola tutakuwa tumekwisha!

Shime Watanzania tusipandikize hofu katika jamii yetu ya kuporwa wake zetu na wapenzi wetu na kutapeliwa tusipate hata kidogo tunachopata sasa na wakati huo huo tusije kupata dhahama ya kukabiliwa na vipigo na kuuawa kupitia vyombo vya dola! ( Bila ya shaka Wasaidizi wa Mheshimiwa nao wataiga tabia ya bosi wao ya kuporapora na ndio itakuwa kasheshe kweli Tanzania)!
Hivi sasa katika kampeni hawa jamaa wanatembeza kipigo na mauaji kama kazi je wakipata dola tutakuwa tumekwisha. Nawasihi Watanzania tusibahatishe tuchague chama makini ambaco ni CCM!

Tathmini ya kawaidia inadhihirisha wapinzani wanacheza na hisia za watanzania na huu ni utapeli wa kisiasa wa aina yake Kuna msemo wa busara zimwi likujualo halikuli likakwisha. Hawa wapinzani chondechonde wataumaliza moja kwa moja, ya dhana ya uzimwi maana yake ni yale mapungufu ya utekelezaji ilani ambayo huweko sababu kadhaa mojawapo ni kwamba Watanzania ni binaadamu ambao hawajakamilika na pia huuchagua madiwani wa vyama tofauti hatimaye halmashauri zinatumia muda mrefu kulumbana! Sasa ili kuipa nafasi CCM kutimiza ahadi zao nzuri wapatieni uwezo usiokuwa na mashaka yaani mafiga matatu Rais , Wabunge na Madiwani kutoka CCM. Bila ya kusahau tamko la Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa abadan Rais bora Tanzania bila shaka yeyote atatoka kutoka Chama cha Mapinduzi ! Na kwa mantiki hiyo basi wabunge na Madiwani bora watatoka CCM. Chagua Amani, Utulivu , Usalama, Mshikamano na Maendeleo , chagua CCM!

Mungu Ibariki Tanzania !
Mungu Ibariki Afrika!
Tehe tehe...hata mimi nlizimiss sana hizi pumba!! nakushauri mtafute mtu anaejiita MS (mgonjwa pekee wa malaria kali humu JF) ili walau akufundishe vizuri jinsi ya kuandika pumba kama hizi...na ndo mana nkaona nkugongee japo thanks ya kukukaribisha tu jamvini manake kwanza umeingia bila hodi...husalimii...!!!sjui wa wapi wewe!?? anagalia usije ukapotea njia afu ukashindwa kwa kwenda kwas kujifanya mjuaji!!??
 
Kweli wewe ndio mkata miti kuhujumu rasimali zetu, uchumi wetu, pamoja na maisha yetu...! Hili na mshindwe na mlegee kabisa....!

DHANA YA KWAMBA URAIS NI RAHISI NI KUWATANIA WATANZANIA!

  • Wapinzani wakiongozwa na Chadema wanachotaka ni Urais basi!
  • Tena Urais wa kipindi kimoja tu cha miaka mitano!
  • Halafu wawapishe wenyewe waliowatuma ndio maana yake!
  • Suala la kuleta nafuu kwa maisha ni ghilba ambayo itaishia kupigiwa makofi kwenye viwanja vya kampeni halafu Watanzania wataachwa na ujaka wao kama sio solemba!
  • Ahadi za CCM ni za uhakika zinatekelezwa katika mchakato unaoeleweka,’ wahenga wanasema kawia ufike!


Ninapoandika makala hii najisikia vibaya na kujiuliza inakuwaje wanasiasa kwa namna moja au nyingine waliowahi kuwa Wabunge katika Bunge la Jamhuri watakuwa mabingwa wa kutumia falsafa ya kulenga kufikia malengo ya kisiasa kwa njia yoyote hata kama itasambaratisha amani na utangamano wa nchi.

Kitu gani hasa kimewakumba je ni uchungu kweli wa kutaka kuwahudumia Watanzania vyema zaidi au njama za kuwataka kuwatumia kama ngazi ya kupata madaraka kiurahisi tu!


Kama uchungu kweli kwa nini wasifuate utaratibu wa kawaida kwa kutumia lugha za kistaarabu waliozozoweya Watanzania. Kule Kenya ukiwa baa unapiga mluzi fyee..! au unaita kwa makeke ..’ weye muhudumu lete kinywaji..’ na lazima alete! Lakini Mtanzania atasema..’ tafadhali muhudumu naomba unipatie kinywaji fulani! Kwa hiyo basi tuwakane na tusiwape kura zetu Wapinzani wanaopiga miluzi ya uchochezi, makwenzi, mapanga na bakora na kulazimisha tuwape kura zetu! Sasa lugha za kebehi , dharau na uchochezi lengo nini kama si ushawishi wa watu wapigane na kuvunja amani hapa uzalendo wa hawa Wapinzani bila ya shaka una mushkeli tena mkubwa na tahadhari ichukulie haraka! Wanasema akumulikaye mchana usiku atakuunguza! Mfano halisi kilichotokea kule Maswa hawa jamaa wamekusudia na kwa maana nyingine hii ni changamoto ya wazi kwa Vyombo vyetu vya Usalama visiwalazie damu! Mzaha mzaha mwisho utatumbuka usaha!

Ahadi zinazovutia za Mgombea wa Chadema za kutoa elimu bure na kupunguza gharama za vifaa ujenzi zinaweza kutekelezeka kwa mikakati ya muda mrefu kama ya CCM na sio kipindi cha miaka 5 hii dhahiri huyu Mzee anawafanya Watanzania mabwege mtozeni na mazumbukuku , jamani tumsitukieni! Tunajua kwa rasilimali zinazokuwa chini ya uangalizi wa Rais Mgombea a upinzani akipata bingo hiyo kwa miaka 5 ataweza kukidhi uchu wa utajiri na kuwaondolea umasikini jamaa zake na wale waliomuunga mkono kuipata nafasi hiyo tu lakini sio Watanzania zaidi ya milioni 40! Awadanganye wale wanaotaka kudanganywa lakini ukeli unabakia hivyo maendeleo ya nchi ni mchakato wa muda mrefu sana hadi leo taifa tajrii la Marekani lina zaidi ya miaka 234 asilimia 11 ya raia wake ni masikini kuliko Watanzania sasa kwa miaka zaidi ya 234 Marekani haijaweza kufuta umasikini sasa huyu Mnafiki anasema ataweza kufanya hivyo kwa miaka mitano anamdanganya nani? Na hakika watanzania makini somo wamehslielwa msimamo Wapinzania warejeshwe darasani wakajifunze kutengeneza mtandao wa kisiasa kuandaa viongozi wenye maadali na wajidunze lugha ya staha, kutumia nguvu za hoja na kuwa sera zinazotekelezeka na endelevu! Huu utani wa mwaka huu uchukuliwe kama utani ambao mahala pake mwafaka ni katika vipindi vya ’ ze orijino komedi! Wakati fulani nilimsikia Mgombea wa rais wa Chadema anajigamba atapambana na EPA kwa nguvu zake zote lakini labda tumkumbushe huko nyuma wakati akiwa katika utumishi wa kiroho alikumbana na kashfa zinazofanana na EPA EPA hali iliyomfanya aache uchungaji wa kondoo wa Bwana bila ya kupenda , swali kama EPA katika utumishi wa Mungu ilimshinda ataweza kweli kushindana na EPA ya kidunia ama anatakuwa kuwa mshiriki wake kinamna na hasa anaposema atatua matatizo yetu kwa kasi ya ajabu ndan ya kipindi kifupi cha miaka mitano tu! Watanzania mambo hayo!

Gharama za kutoa elimu bora, ujenzi wa miundombinu yake na kuwa na fungu la kutoa motisha kwa walimu ni mipango ya muda mrefu haiwezi kukamilika kwa kipindi kifupi cha miaka 5! Halikadhalika mpango wa viwanda vya kuzalisha vifaa vya ujenzi ni wa muda mrefu pia.

Mchakato wa kubadilisha katiba sio lelema tunawasifia jirani zetu Kenya walioisimika hivi karibuni , ukweli mchakato wa kuiasisi na kuiandika katiba hiyo na kujiadili kwa kina umechukua takriban miaka 20 ya vute ni kuvute! Sasa huyu Mwenzetu anasema ataifanya kwa siku 100 hali hii na ahadi nyingine ndio zinazoleta dhana kuwa Urais ni rahisi jambo ambalo sio kweli hata kidogo!
Mgombea huyu Watanzania anataka kutuuza tena kwa mkopo. Ukichunguza anataka kuweka rehani tunu zetu kuu yaani Amani , Utulivu, Usalama na Mshikamano! Tusithubutu kufanyia mzaha tunu zetu hizo kama ule msemo ‘bura yangu sibadili na rehani! Hata ulichonacho kinaonekana ni hafifu ni bora mara 100 kuliko pepo ya ahadi isio na ithibati!

Halafu ahadi ya muungwana ndio ya kuenziwa kwa sababu kwa muungwana ahadi ni deni kama nilivyosema katika makala zilizopita Kwa kumnukuu hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa Mgombea Bora wa Urais nchini atatoka CCM kwa sababu ya umakini na bila ya shaka yeyote huyu ndio Muungwana tunaye mtafuta na ahadi zake anaziheshimu! Katika mikutano Mgombea wake amerejea zile ahadi zilizomo katika Ilani ya 2005 zilizotekelezwa na zile zinazoendelea kutekelezwa na hizi mpya za Ilani ya 2010! Hoja kwa wale wasiofahamu ahadi za 2005 utekelezaji wake ni endelevu kama ilivyo jamii ni dainamiki haisimami kama nukta sasa ni dhahiri Ilani ya 2010 inaendeleza utekelezaji wa Ilani ya 2005 kwa maana hakuna mpaka wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ni kama mto unaotiririka maji! Sio ajabu katika ahadi za Mgombea wa Upinzani anakuja na dhana ya kubeza kwa hiyo ana nia ya kusitisha harakati za maendeleo halafu wasimike mauzauza yao! Watanzania wapenzi tusithubutu kubadilsha rubani wakati ndege ya maendeleo ikiwa angani atatubwaga huyu na imeshatokea katika nchi kadhaa duniani na hivi sasa wanajuta kuzaliwa!

Kuna msemo kabla hujafa haujaumbika! Methali ambayo ina tafsiri nyingi mojawapo ni kuwa usicheke kilichomkuta mwenzio huenda kabla hujafa na wewe kikakukuta! Kumetokea dhihaka kutoka takriban kwa wasomi, Asasi za kuetetea wanawake na baadhi ya vyombo vya habari kujizuia kutoona mkanganyiko wa kimaadili kwa mgombea wa Chadema ambaye bila ya kuwa na haya wala soni ! Hata baada ya mwenye mke kujitokeza mimi nilifikiri kuwa kingelikuwa kitendo cha uungwana Mgombea huyu angejitokeza hadharani na kuungama na kisha kuomba msamaha kwa Watanzania na pia kwa Mume halisi wa ‘mchumba’ wake!( na mambo yangeisha hapo!) Lakini kama jogoo amekuwa akiranda na huyu shemeji yetu nchi nzima! Hapa tumepata somo gani na kwa wale wanaoshabikia au kufumbia macho ahli hiyo kweli ni haki hiyo! Kwa zile asasi za kutetea haki na vyombo vya habari vimejidhihirisha ndumila kuwili kwamba pale maslahi yataathirika kwa ‘Mgombea’ wao wako tayari kuwa kinyonga na kujifanya wameghaflika na kugeuza kichwa na kuangalia pembeni! Kwa Hali halisi lazima Watanzania wafahamu kama tutafanya makosa sio ajabu tukajikuta wake zetu na wapenzi wetu wako hatarini kuporwa! Maana kama hivi sasa Mheshimiwa huyu hajakuwa Rais anapora namna hii bila woga fikiria akichanganya na nguvu za dola tutakuwa tumekwisha!

Shime Watanzania tusipandikize hofu katika jamii yetu ya kuporwa wake zetu na wapenzi wetu na kutapeliwa tusipate hata kidogo tunachopata sasa na wakati huo huo tusije kupata dhahama ya kukabiliwa na vipigo na kuuawa kupitia vyombo vya dola! ( Bila ya shaka Wasaidizi wa Mheshimiwa nao wataiga tabia ya bosi wao ya kuporapora na ndio itakuwa kasheshe kweli Tanzania)!
Hivi sasa katika kampeni hawa jamaa wanatembeza kipigo na mauaji kama kazi je wakipata dola tutakuwa tumekwisha. Nawasihi Watanzania tusibahatishe tuchague chama makini ambaco ni CCM!

Tathmini ya kawaidia inadhihirisha wapinzani wanacheza na hisia za watanzania na huu ni utapeli wa kisiasa wa aina yake Kuna msemo wa busara zimwi likujualo halikuli likakwisha. Hawa wapinzani chondechonde wataumaliza moja kwa moja, ya dhana ya uzimwi maana yake ni yale mapungufu ya utekelezaji ilani ambayo huweko sababu kadhaa mojawapo ni kwamba Watanzania ni binaadamu ambao hawajakamilika na pia huuchagua madiwani wa vyama tofauti hatimaye halmashauri zinatumia muda mrefu kulumbana! Sasa ili kuipa nafasi CCM kutimiza ahadi zao nzuri wapatieni uwezo usiokuwa na mashaka yaani mafiga matatu Rais , Wabunge na Madiwani kutoka CCM. Bila ya kusahau tamko la Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa abadan Rais bora Tanzania bila shaka yeyote atatoka kutoka Chama cha Mapinduzi ! Na kwa mantiki hiyo basi wabunge na Madiwani bora watatoka CCM. Chagua Amani, Utulivu , Usalama, Mshikamano na Maendeleo , chagua CCM!

Mungu Ibariki Tanzania !
Mungu Ibariki Afrika!
 
maendeleo ya nchi ni mchakato wa muda mrefu sana hadi leo taifa tajrii la Marekani lina zaidi ya miaka 234 asilimia 11 ya raia wake ni masikini kuliko Watanzania sasa kwa miaka zaidi ya 234 Marekani haijaweza kufuta umasikini sasa huyu Mnafiki anasema ataweza kufanya hivyo kwa miaka mitano anamdanganya nani? Na hakika watanzania makini somo wamehslielwa msimamo Wapinzania warejeshwe darasani wakajifunze kutengeneza mtandao wa kisiasa kuandaa viongo



Mimi mkuu sikubaliani nawe juu ya usa na kumaliza umasikini,unaongelea nchi ambayo inauwezo wa kutoa ruzuku kwa wakulima wake,unaongelea nchi ambayo masikini wake ni sawa na mkuu wa shule ama waziri tz.ndugu yangu kuna nchi za kufananisha na wala sio usa,pia tambuwa kuwa usitegemee sana maneno ya wahenga hivyo ukayasubiri hayo maneno kuleta miujiza,hataunapomwomba mungu nawe pia ujisaidie,sio simba anakuja then unalala na kumwomba mungu utakufa,nachotaka kukueleza ndugu yangu ni kuwa nchi zilizo nyingi karne hii zinakimbizana kimaendeleo tukitaka kusubiri maneno ya wahenga kuwa "mwenda pole hajikwai na akijikwaa haanguki na akianguka haumii na akiumia basi ni kidogo tu" hatutafika na hicho ndicho kinacho tuumiza watz na viongozi wetu,kwanza wamekosa uadilifu wa kiuongozi pili wanadhani madaraka ni kwanza kwako pili kwa wenzako hawana utu wa kujitoa,kama kweli tunahitaji maendeleo kama wenzetu wa rwanda ni lazima tuwe na viongozi watakaojitoa kwa hali na mali pili tuwe na viongozi watakao kemea wizi na upolaji wa rasilimali za umma,nadhani kwa hilo twaweza fika,sijui mi nachelea kusema kuwa hii nchi inahitaji kiongozi kama fidel casto angalau kwa miezi 7 tu inatosha ama rais mao wa zamani china kwa miezi 9 tu inatosha.angalia kahama wana madini ya kufa mtu,north mara kinachotokea ni watu kuumia na tindikari na kansa,maji si salama maisha duni,sijui lakini hii ni tz zaidi uijuavyo
 
Broken News: Wakata miti waanza kuandika makala za ki-ccm
 
maendeleo ya nchi ni mchakato wa muda mrefu sana hadi leo taifa tajrii la Marekani lina zaidi ya miaka 234 asilimia 11 ya raia wake ni masikini kuliko Watanzania sasa kwa miaka zaidi ya 234 Marekani haijaweza kufuta umasikini sasa huyu Mnafiki anasema ataweza kufanya hivyo kwa miaka mitano anamdanganya nani? Na hakika watanzania makini somo wamehslielwa msimamo Wapinzania warejeshwe darasani wakajifunze kutengeneza mtandao wa kisiasa kuandaa viongo



Mimi mkuu sikubaliani nawe juu usa na kumaliza umasikini,unaongelea nchi ambayo inauwezo wa kutoa ruzuku kwa wakulima wake,unaongelea nchi ambayo masikini wake ni sawa na mkuu wa shule ama waziri tz.ndugu yangu kuna nchi za kufananisha na wala sio isa,pia tambuwa kuwa usitegemee sana maneno ya wahenga hivyo ukayasubiri hayo maneno kuleta miujiza,hataunapomwomba mungu nawe pia ujisaidie,sio simba anakuja then ulala na kumwomba mungu utakufa,nachotaka kukueleza ndugu yangu ni kuwa nchi zilizo nyingi karne hii zinakimbizana kimaendeleo tukitaka kusubiri maneno ya wahenga kuwa mwenda pole hajikwai n aakijikwaa haangiki na akianguka haumii n aakiumia basi ni kidogo tu hatutafika na hicho ndicho kinacho tuumiza watz na viongozi wetu,kwanza wamekosa uadilifu wa kiuongozi pili wanadhani madaraka ni kwanza kwako pili kwa wenzako hawana utu wa kujitoa,kama kweli tunahitaji maendeleo kama wenzetu wa rwanda ni lazima tuwe na viongozi watakaojitoa kwa hali na mali pili tuwe na viongozi watakao kemea wizi na upolaji wa rasilimali za umma,nadhani kwa hilo twaweza fika,sijui mi nachelea kusema kuwa hii nchi inahitaji kiongozi kam fidel casto angalau kwa miezi 7 tu inatosha ama rais mao wa zamani china kwa miezi 9 tu inatosha.angalia kahama wana madini ya kufa mtu,north mara kinachotokea ni watu kuumia na tindikari na kansa,maji si salama maish duni,sijui lakini hii ni tz zaidi uijuavyo

Kweli maandishi ya mtu yanazunguzia umakini na elimu ya mtu. Nikuulize unajua sababu za kwani maskini wanaendelea kuwapo Marekani? Unajua kwanini katika hao maskini wengi ni watu ambao ni hispanic origin, african america etc. Sasa unaelewa kinachopelekea wao kuendelea kuwa maskini? Mbona huko marekani elimu ni bure kwa level ya chini ukifika university level ndio unaanza kuchangia na huko pia university student wanapewa mikopo? Hebu fafanua zaidi tukuelewe unachokizungumza mkuu
 
nilifikiri wote watanijibu kwa kebehi ..tahadhari : katika siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu maslahi endelevu ndio ya kudumu! halafu siasa ni usanii na ubunifu wa kutenda ambalo linawezekana wakati husika...! teheheeee...! ngoja nikumininieni kigongo kingine nasikia wale watani zetu mlikuwa mnatesa sana....! tuvumiliane tanzania hii ni yetu sote baada ya Oktoba 31, 2010 bado tutaendelea kluasihi pamoja lugha za kuadui sio silka za watanzania....! tuwe na uvumilivu wa kisiasa...!:smile:
 
Hii makala ungeipeleka gazeti la RAI au AL HUDA ingefaa sana. Hapa sio sehemu yake mkuu.
 
Huu ni us****************e
Kweli wewe ni mkatamiti na wewe huelewi kwanini Tanzania ni masikini!! Watu wengine tuwasamehe tu hawajui watendalo kama angejua nchi ambazo tulikuwa sawa nao miaka hiyo 50 na leo wako wapi maneno haya wala mkatamiti usingesema.
 
Mipango ya muda mrefu ipi tena unayozungumzia ndugu? CCM tayari iko madarakani kwa miaka karibuni 50 sasa na hakuna mabadiliko ya maana tuliyoyaona. Nchi nyingine km Malasyia na Thailand katika kipindi hiki cha miaka 50 tayari wamepiga hatua kubwa sana CCM ndio chimbuko la umasikini uliokithiri miongoni mwa watanzania.

Kuhusu lugha chafu angalia kashfa kutoka kwenye chama chako kwenda vyama vingine. Acha ushabiki wa kichama chama kuwa mzalendo wa ukweli.tatizo la wana CCM wengi ni kutanguliza maslahi ya chama mbele ya maslahi ya Taifa na kujaribu kuupinga ukweli kwa kila namna ili kunusuru chama
 
  • Ahadi za CCM ni za uhakika zinatekelezwa katika mchakato unaoeleweka,’ wahenga wanasema kawia ufike!

Chagua Amani, Utulivu , Usalama, Mshikamano na Maendeleo , chagua CCM!

hata kama unakula kuku kwa mrija kwa sababu ya ccm

hata kama umefunika mawe ya dhahabu chini ya msingi wa nyumba yako kwa sababu ya ccm

hata kama unamiliki ndege kwa sababu ya CCM

hata kama una account ya benki ya mabilioni kwa sababu ya CCM

MAWAZO YAKO NI SAWA NA KINYESI!!!!! I SAY IT AGAIN, MAWAZO YAKO NI KINYESI!!!
 
DHANA YA KWAMBA URAIS NI RAHISI NI KUWATANIA WATANZANIA!

  • Wapinzani wakiongozwa na Chadema wanachotaka ni Urais basi!
  • Tena Urais wa kipindi kimoja tu cha miaka mitano!
  • Halafu wawapishe wenyewe waliowatuma ndio maana yake!
  • Suala la kuleta nafuu kwa maisha ni ghilba ambayo itaishia kupigiwa makofi kwenye viwanja vya kampeni halafu Watanzania wataachwa na ujaka wao kama sio solemba!
  • Ahadi za CCM ni za uhakika zinatekelezwa katika mchakato unaoeleweka,’ wahenga wanasema kawia ufike!


Ninapoandika makala hii najisikia vibaya na kujiuliza inakuwaje wanasiasa kwa namna moja au nyingine waliowahi kuwa Wabunge katika Bunge la Jamhuri watakuwa mabingwa wa kutumia falsafa ya kulenga kufikia malengo ya kisiasa kwa njia yoyote hata kama itasambaratisha amani na utangamano wa nchi.

Kitu gani hasa kimewakumba je ni uchungu kweli wa kutaka kuwahudumia Watanzania vyema zaidi au njama za kuwataka kuwatumia kama ngazi ya kupata madaraka kiurahisi tu!


Kama uchungu kweli kwa nini wasifuate utaratibu wa kawaida kwa kutumia lugha za kistaarabu waliozozoweya Watanzania. Kule Kenya ukiwa baa unapiga mluzi fyee..! au unaita kwa makeke ..’ weye muhudumu lete kinywaji..’ na lazima alete! Lakini Mtanzania atasema..’ tafadhali muhudumu naomba unipatie kinywaji fulani! Kwa hiyo basi tuwakane na tusiwape kura zetu Wapinzani wanaopiga miluzi ya uchochezi, makwenzi, mapanga na bakora na kulazimisha tuwape kura zetu! Sasa lugha za kebehi , dharau na uchochezi lengo nini kama si ushawishi wa watu wapigane na kuvunja amani hapa uzalendo wa hawa Wapinzani bila ya shaka una mushkeli tena mkubwa na tahadhari ichukulie haraka! Wanasema akumulikaye mchana usiku atakuunguza! Mfano halisi kilichotokea kule Maswa hawa jamaa wamekusudia na kwa maana nyingine hii ni changamoto ya wazi kwa Vyombo vyetu vya Usalama visiwalazie damu! Mzaha mzaha mwisho utatumbuka usaha!

Ahadi zinazovutia za Mgombea wa Chadema za kutoa elimu bure na kupunguza gharama za vifaa ujenzi zinaweza kutekelezeka kwa mikakati ya muda mrefu kama ya CCM na sio kipindi cha miaka 5 hii dhahiri huyu Mzee anawafanya Watanzania mabwege mtozeni na mazumbukuku , jamani tumsitukieni! Tunajua kwa rasilimali zinazokuwa chini ya uangalizi wa Rais Mgombea a upinzani akipata bingo hiyo kwa miaka 5 ataweza kukidhi uchu wa utajiri na kuwaondolea umasikini jamaa zake na wale waliomuunga mkono kuipata nafasi hiyo tu lakini sio Watanzania zaidi ya milioni 40! Awadanganye wale wanaotaka kudanganywa lakini ukeli unabakia hivyo maendeleo ya nchi ni mchakato wa muda mrefu sana hadi leo taifa tajrii la Marekani lina zaidi ya miaka 234 asilimia 11 ya raia wake ni masikini kuliko Watanzania sasa kwa miaka zaidi ya 234 Marekani haijaweza kufuta umasikini sasa huyu Mnafiki anasema ataweza kufanya hivyo kwa miaka mitano anamdanganya nani? Na hakika watanzania makini somo wamehslielwa msimamo Wapinzania warejeshwe darasani wakajifunze kutengeneza mtandao wa kisiasa kuandaa viongozi wenye maadali na wajidunze lugha ya staha, kutumia nguvu za hoja na kuwa sera zinazotekelezeka na endelevu! Huu utani wa mwaka huu uchukuliwe kama utani ambao mahala pake mwafaka ni katika vipindi vya ’ ze orijino komedi! Wakati fulani nilimsikia Mgombea wa rais wa Chadema anajigamba atapambana na EPA kwa nguvu zake zote lakini labda tumkumbushe huko nyuma wakati akiwa katika utumishi wa kiroho alikumbana na kashfa zinazofanana na EPA EPA hali iliyomfanya aache uchungaji wa kondoo wa Bwana bila ya kupenda , swali kama EPA katika utumishi wa Mungu ilimshinda ataweza kweli kushindana na EPA ya kidunia ama anatakuwa kuwa mshiriki wake kinamna na hasa anaposema atatua matatizo yetu kwa kasi ya ajabu ndan ya kipindi kifupi cha miaka mitano tu! Watanzania mambo hayo!

Gharama za kutoa elimu bora, ujenzi wa miundombinu yake na kuwa na fungu la kutoa motisha kwa walimu ni mipango ya muda mrefu haiwezi kukamilika kwa kipindi kifupi cha miaka 5! Halikadhalika mpango wa viwanda vya kuzalisha vifaa vya ujenzi ni wa muda mrefu pia.

Mchakato wa kubadilisha katiba sio lelema tunawasifia jirani zetu Kenya walioisimika hivi karibuni , ukweli mchakato wa kuiasisi na kuiandika katiba hiyo na kujiadili kwa kina umechukua takriban miaka 20 ya vute ni kuvute! Sasa huyu Mwenzetu anasema ataifanya kwa siku 100 hali hii na ahadi nyingine ndio zinazoleta dhana kuwa Urais ni rahisi jambo ambalo sio kweli hata kidogo!
Mgombea huyu Watanzania anataka kutuuza tena kwa mkopo. Ukichunguza anataka kuweka rehani tunu zetu kuu yaani Amani , Utulivu, Usalama na Mshikamano! Tusithubutu kufanyia mzaha tunu zetu hizo kama ule msemo ‘bura yangu sibadili na rehani! Hata ulichonacho kinaonekana ni hafifu ni bora mara 100 kuliko pepo ya ahadi isio na ithibati!

Halafu ahadi ya muungwana ndio ya kuenziwa kwa sababu kwa muungwana ahadi ni deni kama nilivyosema katika makala zilizopita Kwa kumnukuu hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa Mgombea Bora wa Urais nchini atatoka CCM kwa sababu ya umakini na bila ya shaka yeyote huyu ndio Muungwana tunaye mtafuta na ahadi zake anaziheshimu! Katika mikutano Mgombea wake amerejea zile ahadi zilizomo katika Ilani ya 2005 zilizotekelezwa na zile zinazoendelea kutekelezwa na hizi mpya za Ilani ya 2010! Hoja kwa wale wasiofahamu ahadi za 2005 utekelezaji wake ni endelevu kama ilivyo jamii ni dainamiki haisimami kama nukta sasa ni dhahiri Ilani ya 2010 inaendeleza utekelezaji wa Ilani ya 2005 kwa maana hakuna mpaka wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo ni kama mto unaotiririka maji! Sio ajabu katika ahadi za Mgombea wa Upinzani anakuja na dhana ya kubeza kwa hiyo ana nia ya kusitisha harakati za maendeleo halafu wasimike mauzauza yao! Watanzania wapenzi tusithubutu kubadilsha rubani wakati ndege ya maendeleo ikiwa angani atatubwaga huyu na imeshatokea katika nchi kadhaa duniani na hivi sasa wanajuta kuzaliwa!

Kuna msemo kabla hujafa haujaumbika! Methali ambayo ina tafsiri nyingi mojawapo ni kuwa usicheke kilichomkuta mwenzio huenda kabla hujafa na wewe kikakukuta! Kumetokea dhihaka kutoka takriban kwa wasomi, Asasi za kuetetea wanawake na baadhi ya vyombo vya habari kujizuia kutoona mkanganyiko wa kimaadili kwa mgombea wa Chadema ambaye bila ya kuwa na haya wala soni ! Hata baada ya mwenye mke kujitokeza mimi nilifikiri kuwa kingelikuwa kitendo cha uungwana Mgombea huyu angejitokeza hadharani na kuungama na kisha kuomba msamaha kwa Watanzania na pia kwa Mume halisi wa ‘mchumba’ wake!( na mambo yangeisha hapo!) Lakini kama jogoo amekuwa akiranda na huyu shemeji yetu nchi nzima! Hapa tumepata somo gani na kwa wale wanaoshabikia au kufumbia macho ahli hiyo kweli ni haki hiyo! Kwa zile asasi za kutetea haki na vyombo vya habari vimejidhihirisha ndumila kuwili kwamba pale maslahi yataathirika kwa ‘Mgombea’ wao wako tayari kuwa kinyonga na kujifanya wameghaflika na kugeuza kichwa na kuangalia pembeni! Kwa Hali halisi lazima Watanzania wafahamu kama tutafanya makosa sio ajabu tukajikuta wake zetu na wapenzi wetu wako hatarini kuporwa! Maana kama hivi sasa Mheshimiwa huyu hajakuwa Rais anapora namna hii bila woga fikiria akichanganya na nguvu za dola tutakuwa tumekwisha!

Shime Watanzania tusipandikize hofu katika jamii yetu ya kuporwa wake zetu na wapenzi wetu na kutapeliwa tusipate hata kidogo tunachopata sasa na wakati huo huo tusije kupata dhahama ya kukabiliwa na vipigo na kuuawa kupitia vyombo vya dola! ( Bila ya shaka Wasaidizi wa Mheshimiwa nao wataiga tabia ya bosi wao ya kuporapora na ndio itakuwa kasheshe kweli Tanzania)!
Hivi sasa katika kampeni hawa jamaa wanatembeza kipigo na mauaji kama kazi je wakipata dola tutakuwa tumekwisha. Nawasihi Watanzania tusibahatishe tuchague chama makini ambaco ni CCM!

Tathmini ya kawaidia inadhihirisha wapinzani wanacheza na hisia za watanzania na huu ni utapeli wa kisiasa wa aina yake Kuna msemo wa busara zimwi likujualo halikuli likakwisha. Hawa wapinzani chondechonde wataumaliza moja kwa moja, ya dhana ya uzimwi maana yake ni yale mapungufu ya utekelezaji ilani ambayo huweko sababu kadhaa mojawapo ni kwamba Watanzania ni binaadamu ambao hawajakamilika na pia huuchagua madiwani wa vyama tofauti hatimaye halmashauri zinatumia muda mrefu kulumbana! Sasa ili kuipa nafasi CCM kutimiza ahadi zao nzuri wapatieni uwezo usiokuwa na mashaka yaani mafiga matatu Rais , Wabunge na Madiwani kutoka CCM. Bila ya kusahau tamko la Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kuwa abadan Rais bora Tanzania bila shaka yeyote atatoka kutoka Chama cha Mapinduzi ! Na kwa mantiki hiyo basi wabunge na Madiwani bora watatoka CCM. Chagua Amani, Utulivu , Usalama, Mshikamano na Maendeleo , chagua CCM!

Mungu Ibariki Tanzania !
Mungu Ibariki Afrika!

Product ya kivukoni....:smile-big:
 
Nimepoteza time kusoma vapours tupu....p*m*a*u!!!

Hata mimi mkuu! Nimetoa mijicho nikadhani naweza grab point kumbe wapi. Mashudu matupu. Ila Mkatamiti kaza uzi, hata nduguyo MS na Zomba (the bug) walianzia huko huko.
 
hata pumba zinatofautiana maana zingine zinafaa kulishia mifugo na ikanenepa ili pumba za huyu jamaa hazitumiki na mifugo bali na za kuchomea matofali.
 
Kichwa cha habari ni sahihi lakini habari yenyewe n i@#$#$@@$. Kujua usahihi wa kichwa cha habari, mwulize Kikwete.
 
Ivi kuna mtu hapa jf ameweza kusoma ujinga wa mleta ukame/mkatamiti walau nusu ili niweze kumpa thanks. Naona wengi wanasoma mwanzo,kati na mwisho. Miradi ya ccm ya magari mwendo kasi ndo muibamiti anasifia. After all Jf is not for wakatamiti its for Great Thinkers!
 
Back
Top Bottom