minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
miaka takribani 50 ya uhuru bado kuna wakuu wenye mawazo finyu kiasi hiki?
endapo hii miaka 50 chama chako kimeshindwa kuratibu nchi hii kujiletea maendeleo ya watu, je, hii miaka 5 ndio mtafanya miujizaa kama ya enzi za yesu.
huu ni wakati mwafaka wa kuiingiza chadema madarakani ili kupata
endapo hii miaka 50 chama chako kimeshindwa kuratibu nchi hii kujiletea maendeleo ya watu, je, hii miaka 5 ndio mtafanya miujizaa kama ya enzi za yesu.
huu ni wakati mwafaka wa kuiingiza chadema madarakani ili kupata
- demokrasia
- maendeleo