Uchaguzi 2020 Urais ni taasisi na cheo cha hadhi kubwa sana, hatuwezi kukigawa kwa huruma wala kwa muongo

Uraisi wowote ule unamhitaji mtu ambaye ni jasiri, mwenye maamuzi mazito na mwenye maono positive kwa ajili ya kampuni/taifa/jamii husika

Kama hana hivyo vyote basi hastahili kuwa kiongozi katika level hiyo.

Kwa wagombea wote wanaowania kiti hicho Cha uraisi hapa Tanzania ni magufuli peke yake anayestahili hicho cheo kwa sasa
Wananchi wengine waliobaki uliwapima wapi?.au unawaza kwatumia akili za watu wengine.Aise kama wewe na ukoo wako wote hamuwezi kuongoza jisemee mwenyewe.
 
Acheni ujanja ccm! Eti nchi itauzwa! Eti wataleta vita! Eti wametumwa na mabeberu! Yote kwa ajili ya kutisha watu! Kwa zaidi ya miaka 50 mumewatisha watu!
This time your threats will be useless!!
 
Ni kweli Mkuu, tulikosea sana nchi kukabidhiwa WENDAWAZIMU. Tukajikuta tumepata Serikali ya WATEKA NYARA, Kubambikia watu kesi zisizo na dhamana, maiti kuokotwa kwenye VIROBA, kuchapa risasi wakosoaji kwa kutumia SILAHA ZA KIVITA, kuminya uhuru wa kupata habari na kujieleza na upuuzi mwingine mwingi tu.

Nani yuko tayari kuendelea tena na WAHALIFU wa namna hii?
 
Hivi ni Nani mwongo? Anayesema election will be free and fair halafu anaonea upande wa pili na kupitisha wagombea wenu bila kupingwa?
 
Mgombea kama lissu kwa ulimbukeni wake hawezi kuwa rais kwani hatauza nchi siku anaingia ikulu, naunga mkono hoja.
Nchi mlishaiuza siku nyingi kwamamikataba yenu ya ovyo mliyoingia.Au hebu niambie ni rasilimali gani kubwa inayomilikiwa na mtz nchi hii.Nyie wenyewe ndio mmeitia nchi umasikini wakutupa alafu mnajishaua.
 
Ifike mahali muache kuandika upumbavu na upuuzi...hofu ya nini ? Acheni box la kura liamue kwa haki...
Lissu ni tishio kwa mustakabali wa bwana yule ndio maaana hamuishi kumjadili

Hakuna shaka yoyote kwamba Lissu ni presidential material wa kiwango cha juu kabisa. Ili kujiridhisha ni nani presidrntial material vyombo vya habari viandae mdahalo wa wagombea urais. Mdahalo huu uandaliwe bila kujali kwamba kuna baadhi ya wagombea wataukimbia. Mdahalo wa 1995 ulidhihirisha nani alikuwa presidential material zaidi kati ya mgombea wa ccm na yule wa mccr!
 
Hakuna shaka yoyote kwamba Lissu ni presidential material wa kiwango cha juu kabisa. Ili kujiridhisha ni nani presidrntial material vyombo vya habari viandae mdahalo wa wagombea urais. Mdahalo huu uandaliwe bila kujali kwamba kuna baadhi ya wagombea wataukimbia. Mdahalo wa 1995 ulidhihirisha nani alikuwa presidential material zaidi kati ya mgombea wa ccm na yule wa mccr!
Brother trust me ...this will never happen. CCM wont allow this...never!!
 
Kuna watu wanadhani tz ni kama kiwanja cha kujenga kwamba ukiwa na hati miliki basi we ni mmliki halali, unaweza kifanyanyia matumizi yoyote utakayo,Ndugu hili ni taifa , mtu yoyote kupitia chama chochote ataliongoza taifa hili alihali wananchi wamemkubali basi , hakuna maneno mengine ,hili ni taifa la mungu na sio la mtu yoyote wala chama chochote , so ukisikia mtu anadiriki kusema eti hatwezi kuachia nchi maana tumerisishwa toka kwa wahasis wetu , huku ni kumkufuru mungu,kwamba taifa la watu wake ,unaweza kurilisisha kama shamba lako la ukoo , asira ya mungu itakapo wageukia msije sema hatukuwambia

tz itaongozwa na yoyote alihali wananchi wameamua kumhajili kwa hiali zao wenyewe kwa kumpa kura , hakuna matakwa ya mtu binafsi hapa ,
 
Korosho watu washalipwa kabisa labda na juzi Makamu alikuwa huko kusini na watu waliambiwa Kama Kuna mtu hajapokea malipo aende akalipwe au hukusikia ndg?
Sizungumzii korosho.nazungumziaa sisi tunaenda kujaza mikutano huwa tuna ahidiwa kulipwa posho lakini naona usunbufu umezidi kila siku unaambiwa kesho.tumechokaaaaa
 
Ubaya wake anatumika vibaya ... alikadhalika lisubana kundi la watu kubwa nyuma hii inadhihirisha baada ya madaraka lazma atatumika kulipa fadhila ... hatukotayar kukabizi nchi kwa mtu baki ... tunajua nini tunataka.
 
Hili swala watanzania tushalishtukia... lissu anatumika sana na mabeberu ... mtanzania anaeelewa vizuri hili swala ataelewa tu ... hatuwezi kumpa mtu nchi kwa ajili ya any sympathy.... tunaweka masilahi ya nchi mbele kwanza ...
 
Uraisi atauskia bombani ! Tunachokitaka ni sera zinazoeleweka! Ni raisi gani kwanza alikua anaponda lugha mama ya taifa? Lissu hatufai kiufupi ... asitegemee kura zetu kama advantage ya kupigwa risasi
 
Ungekuwa wewe umepigwa risasi usingelaani?ivi huoni kama maisha yamekua magumu ikilinganisha na kipindi cha mzee wa kucheka....birds alizonunua has nothing to do with human needs.. Mtu anapokua na uhakika wa kuishi na kula anakua na furaha sana lakin ww leo hii huoni gharama za maisha zilivyopanda, angalia bidhaa zilivyopanda mfano petrol na sukari wakati tuliambiwa sukari waliingiza tani sijui 40000 na shehena ya mafuta.

Haya tukija kwenye biashara ndo usiseme kabisa process za kufungua biashara zimekua ndefu mno. Haya tuje kwenye ushuru ndo usiseme
Unajua athari ya kuongezeka kwa ushuru lakini hii inathiri hadi wale wanyonge anaowatetea.

Haya wakulima leo trh 13 sept ndo wamelipwa deni lao la korosho bil 700

Haya tuje kwa wafanyakazi, waliopandishwa madaraja ni wangapi?
Na ameajiri wangapi?
Tukija kwenye vyeti feki, kwanza mimi naamin eperience ndo kila kitu elimu ya darasani hasi nothing to do with eperience.

Haya njoo kwenye mabenki makato pia yameongezeka unajua ni kwasababu gani? Ushuru
Term hii wanawakati mgum sana maana asilimia kubwa ya watanzai washaanza kuelimika sio kama zamani ulikua mwendo wa kofia, tisheti na chumvi.....

Haya endelea kuunga juhudii
 
Back
Top Bottom