Semeni People
Member
- Dec 26, 2019
- 35
- 16
Sifa zake zimejipambanua kwa kuleta Miradi ya umeme nchini, mtu wa watu anayependa kuboresha maisha baada ya story mtaani leo jamaa ana nafasi kubwa kuchukua mshale na SMG
Home sweet home2020 rais kila mtanzania mwenye akili timamu anamjua,nasema mwenye akili timamu anamjua.
Kwa kuwa tu ni suala la kikatiba otherwise ilikua tusonge mbele bila uchaguzi.
Achana na huyo mwamba, wa Mkoa wa MaraSifa zake zimejipambanua kwa kuleta Miradi ya umeme nchini, mtu wa watu anayependa kuboresha maisha baada ya story mtaani leo jamaa ana nafasi kubwa kuchukua mshale na SMG
Twende wapi wakati ni Michezo ya Kura yako Kura zetu
Hata wewe umoHivi wale waliokuwa wanamkwamisha mzee wetu walienda wapi
Tunaye kivipi!?sijakuelewa!una maana uchaguzi usiwepo mpaka 2025!?Kwa 2020 rais tayari tunaye, labda kama ni 2025
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kwa uchaguzi wa 2020, kwa mujibu wa utaratibu wao CCM, tayari tunaye mgombea wa urais ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Swali la kujiuliza kwa huu upinzani uliopo Tanzania kwa sasa, jee kwa uchaguzi wa 2020 mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ana...www.jamiiforums.com
P
Au zamu ya wanawake Urais WA mwanamke unatakiwa Kwa Udi na UVUMBATunaye kivipi!?sijakuelewa!una maana uchaguzi usiwepo mpaka 2025!?
Kuna wale waliotajwa na lile vuvuzela la mwibara kipindi kileHata wewe umo
Mengi yanaweza kutokea kati ya leo na october 2020. kuna mambo mengi uanayoweza kusababisha mtu asiendelee kushika ofisi.Kwa 2020 rais tayari tunaye, labda kama ni 2025
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kwa uchaguzi wa 2020, kwa mujibu wa utaratibu wao CCM, tayari tunaye mgombea wa urais ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Swali la kujiuliza kwa huu upinzani uliopo Tanzania kwa sasa, jee kwa uchaguzi wa 2020 mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ana...www.jamiiforums.com
P
Kwa vile kwa Tanzania hatujawahi, naomba usitukumbushe ile ndoto ya Lema.Mengi yanaweza kutokea kati ya leo na october 2020. kuna mambo mengi uanayoweza kusababisha mtu asiendelee kushika ofisi.
😛😛 Haya mkuu, 2025 sio mbali.Kwq vile kwa Tanzania hatujawahi, naomba usitukumbushe ile ndoto ya Lema.
Urais tuzungunzie 2025
P
Tunaye kivipi!?sijakuelewa!una maana uchaguzi usiwepo mpaka 2025!?