yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,906
Mnae wewe na nani semea nafsi yako , hiyo ya mnae ni maoni yako mzeeKwa 2020 rais tayari tunaye, labda kama ni 2025
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kwa uchaguzi wa 2020, kwa mujibu wa utaratibu wao CCM, tayari tunaye mgombea wa urais ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Swali la kujiuliza kwa huu upinzani uliopo Tanzania kwa sasa, jee kwa uchaguzi wa 2020 mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ana...www.jamiiforums.com
P
Sent using Jamii Forums mobile app