mwa 4
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,390
- 754
Endeleeni kujidanganya mtakuja kulia sana.Ccm haina right candidate..
HALAFU NENO 'USHINDI WA KISHINDO' limepitwa na kalenda na huwa limekaa kijomba jomba vile.
Endeleeni kujidanganya mtakuja kulia sana.Ccm haina right candidate..
HALAFU NENO 'USHINDI WA KISHINDO' limepitwa na kalenda na huwa limekaa kijomba jomba vile.
Pamoja na hii je.
Chama makini kwa kumwagia watu tindikali?Chadema ni chama makin na kila kitu kinafanywa kwa umakin, Ccm mnamakund kama 10 hv kila mtu anataka kuwa rais hata magaid sasa wanataka kuwa marais, ccm kwisha habar yenu mnashindwa kutatua masuala ya wafugaj na wakulima mnabak kupiga wanaondama kudai haki zao, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Wanababaika tu, sana watarudia reject zilizokataliwa miaka ya nyuma. Bora hata CUF walioamua kumtangaza profesa Lipumba,mgombea wao wa kudumu.
Natamani uchaguzi ufanyike kesho mgombea wa CCM atangazwe mshindi tena ushindi wa kishindo.
chademakwa tiketi ya chama gani?
Wahuni na wezi wapo hukuUkawa kunawahuni tu lakini hakuna viongozi.
Mada hii inazungumzia mgombea zero wa ukawaMACCM wanao wagombea kama 10 na bahati mbaya wote ni mafisadi na hajawafanya lolote katika kupambana na ufisadi nchini ambao unalitafuna Taifa kwa kasi ya kutisha.
Haya si maneno ya BAK, bali ni ya mkongwe ndani ya CCM ambaye kauli yake hii ilikuwa ni ukweli mtupu.
Kingunge: Waliojitokeza kuwania urais CCM hawana sifa - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Kweli akili kama huna huna tu, CCM kwani mgombea wenu ni nani? Hao walioko chini ya uangalizi? au Kikwete anaendelea. Hebu unapo toa uzi kama hu kuja na jina la Mgombea, kama hivi, sisi CCM mgombea wetu ni ............ Tutakuelewa, sasa CCM wenyewe kila mtu mgombea, hara huyu Jakaya kashusha kabisa heshima ya Uraisi kila mtu anaona ni kazi rahisi, inauma sana
Hii ndio dalili ya kufilisika kisiasa. Pilipili iliyoko shamba la jirani wewe inakuwashaje? Hivi bado unaweza kuamini kuwa UKAWA wanaweza kukosa mgombea mzuri leo hii? Labda TLP, NLD, ....!
Yuko na mkewe tatizo nini? Huwezi kulinganisha na hawa walio na machangu doa ndani ya chama chenu cha wahuni.
![]()
Mada hii inazungumzia mgombea zero wa ukawa
Wanababaika tu, sana watarudia reject zilizokataliwa miaka ya nyuma. Bora hata CUF walioamua kumtangaza profesa Lipumba,mgombea wao wa kudumu.
Natamani uchaguzi ufanyike kesho mgombea wa CCM atangazwe mshindi tena ushindi wa kishindo.
Wewe ni mpayukaji tu mkuu huna jipya, huna tofauti na mpiga keleleKwi kwi kwi kwi umeyaona maneno ya Kingunge ndiyo sababu huwezi kutia neno kwani unajua fika wagombea wenu waliojitokeza ni wahuni, wezi na mafisadi. Hebu kuwa mkweli kama Kingunge japo kwa siku moja tu kuhusu wagombea wenu wasio na sifa hata moja ya kutuongoza Watanzania.
Umeandika maneno meengi hakuna la maana hata moja.Sasa kama unajua kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo kwanini unaweweseka!? Unajitekenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe huu ni upumbafu! Mambo ya UKAWA yanakuwasha nini, kwako kunaungua unakimbilia kuzima kwa jirani huu ni zaidi ya uchizi!
Wewe ni mpayukaji tu mkuu huna jipya, huna tofauti na mpiga kelele