Urais 2015 tusimlaumu Zitto: Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa?

Ala kumbe nimegundua hiyo ndo politicaltrick ya mh.Zitto kulazimisha nafasi za juu ktk uongoz,yaani anagombea au anatishia kugombea nafasi ya juu katika uongozi afu ili apewe nafasi inayofuatia,nakumbuka alifanya hivyo pale keys hotel mwaka 2009 alipoanza kudai ukatibu mkuu wa chama eti ni mbadala wa Uenyekiti alioutaka.ETI KAMA SLAA AKIGOMBEA YEYE NDO ANAFAA UWAZIRI MKUU,N ANI KAKUDANGANYA?Labda unakijua chama kwa nje tu na wanasiasa wetu wa CDM
 
Sijaelewa ni kwanini Pasco amemrukia Dr Slaa? Ni kitu gani hasa kilichomsukama Pasco aone Dr Slaa is fair game kwenye mjadala wa urais toka upande wa Zitto? Why Dr Slaa?
 
Last edited by a moderator:
mkuu pasco unataka tumuunge mkono zitto kwa siasa zake za fujo.? Pamoja na misukosuko yote ya chadema sijawai kumsikia zitto akikitetea chama. Mara nyingi utakuta anajiongelea yeye binafsi, hakisaidii chama ila anataka chama kimbebe kwe maslai yake.
 
Wanabodi,

Mara baada ya mazishi ya Mhe. Regia, (RIP), on route back to Dar, nilibahatika kukutana mahali na Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Wibroad Slaa akiwa na wife wake, Fina, tuliendesha mazungumzo mafupi, informal, na miongoni mwa maswali niyomuuliza, ni hili la iwapo atagombea tena nafasi ya urais kwa tiketi ya Chadema katika uchaguzi wa 2015!.

Nayakumbuka vizuri sana majibu ya Dr. Slaa kuhusu swali hilo!. Kwa vile mazungumzo yale hayakuwa rasmi, kuna uwezekano mkubwa, Dr. Slaa alizungumza "off the record", sio busara kuyaleta mazungumzo ya "off the record" kwenye public na kuyaweka "on the record" bila "idhini" ya msemaji.

Kwa vile msimamo wa "Dr. Slaa kuhusu kugombea urais 2015, mimi naujua!, nawashauri, wale wote wanaumlaumu au kumshutumu Zitto, kuonyesha nia ya kuwania urais wa 2015 kwa tiketi ya Chadema, kwa kujenga mazingira "impliedly" not "expressly"!, wasimlaumu bali wamsupport!.

Hivi kuna ubaya gani, kuonyesha nia ya kuwania the highest office?. Wote wanaoutaka urais, huitwa "presidential hopeful", hivi kuna ubayo wowote to aim high?!.

My Take.
Kwa vile mchakato wa kuwania urais wa 2015 bado haujaanza rasmi kwa vyama vyovyote, lakini tunashuhudia "presidential hopefuls" wa vyama mbalimbali wakijenga mazingira kupitia mikakati mbalimbali, nawaombeni wapenda demokrasia ya kweli, tuwe open minded kuhusu watu hawa, tusianze kuwanyooshea vidole vya kuwashutumu bali tunapaswa kuwaunga mkono kwa nguvu zote ili at the end of the day, tumpate mgombea bora kabisa!,

Mfano hakuna ubishi kuhusu uwezo wa Zitto katika masuala ya organization na mass mobilization!, hakuna ubishi kuhusu nguvu ya Zitto katika ushawishi na kujenga hoja na kusimamia utekelezaji. Kama ni kweli Zitto ni "presidential hopeful" ndani ya Chadema na sasa anajenga mtandao wa kuandaa mazingira hayo, this is very healthy kwa Chadema, kwa sababu by the time muda wa mchakato rasmi unawadia, na Chadema ikampitisha Dr. Slaa kupeperusha tena bendera ya Chadema, huo mtandao wa Zitto ndio utakuwa an added advantage kwa ushindi wa kishindo wa Chadema, na Zitto ndio atafaa zaidi kwa post ya Waziri Mkuu, kama alivyofanya Obama na Hillary Clinton!.

Kufuatia mimi kuufahamu msimamo wa Dr. Slaa, lets support Zitto or anybody else!,

Mhe. Zitto, just follow your dreams, "Sky is the limit!".

I wish Zitto all the best!.

Wasalaam.

Pasco. (wa jf).

NB. Pasco wa jf, sio mwanachama, mshabiki au mkereketwa wa chama chochoite cha siasa, bali ni muumini wa demokrasia ya kweli.

Pasco,

Mimi ni muumini wa Demokrasia ya Kweli. Ni kweli CHADEMA haina mgombea urais hadi 2015.

Dr. Slaa hajatangaza nia ya kugombea urais.Mwaka 2010 hakuna aliyemjua mgombea urais wa CHADEMA hadi Dakika za mwisho. Jambo la msingi ni kwamba chama chetu kinatakiwa kuendelea kujenga umoja.

Pasco,Mara kadhaa hapa umehusishwa kuwa Mfuasi wa aspirant mmoja ndani ya CCM.Unadhani kama chadema itagawanyika itakuwa easy ride kwa huyo aspirant?

Muumini mzuri wa demokrasia ni mfuasi mzuri wa nadharia za siasa na hasa demokrasia yenyewe.Mchakato wa kumpata mgombea urais unaratibiwa na Taasisi ambayo ni chama cha siasa.Taasisi hiyo ni lazima iwe Imara ili ipate mgombea bora na ilani bora itakayoshindanishwa na wagombea kutoka vyama vingine

CHADEMA kina kazi nzito zaidi kuliko CCM.Kwanza inacheza siasa kama mchezaji tegemeo(Rooney/Messi) ambaye anapata pressure ya mashabiki kuivusha timu to the next level.Tunahitaji kuweka nyumba yetu in order.Watanzania wana matumaini makubwa na CHADEMA.Mbiyo za Urais hazitakiwi kutugawa,tumeshavuka level hiyo.

Pasco,Kutangaza nia ya Urais siyo jambo baya lakini ni lazima tuli-handle in a very smart way.Siasa zetu ni tofauti na Kenya.Raila Odinga amezindua kampeni zake late kwa kuwa alitaka kufanyia kazi mgawanyiko ndani ya chama chake na pia kuunda aliiance kulingana na weakness za aspirant wengine

Binafsi napenda mchakato wa Urais 2015 ndani ya chadema uwe na mchuano.Lakini ni lazima tuaandae mazingira ya kujenga chama kwanza.Tujenge taasiasi imara kwanza ili tupate mgombea imara na ilani bora.

Wale wanaotegemea kuona migogoro waendele kusubiri.We'll defeat you

Abraham Lincolin alisema 'you can not make a man strong by weakening another man'. na pia huwezi kuongeza kiwango cha utajiri wa maskini kwa kumuangamiza Tajiri'
 
Pasco,

Mimi ni muumini wa Demokrasia ya Kweli. Ni kweli CHADEMA haina mgombea urais hadi 2015.

Dr. Slaa hajatangaza nia ya kugombea urais.Mwaka 2010 hakuna aliyemjua mgombea urais wa CHADEMA hadi Dakika za mwisho. Jambo la msingi ni kwamba chama chetu kinatakiwa kuendelea kujenga umoja.

Pasco,Mara kadhaa hapa umehusishwa kuwa Mfuasi wa aspirant mmoja ndani ya CCM.Unadhani kama chadema itagawanyika itakuwa easy ride kwa huyo aspirant?

Muumini mzuri wa demokrasia ni mfuasi mzuri wa nadharia za siasa na hasa demokrasia yenyewe.Mchakato wa kumpata mgombea urais unaratibiwa na Taasisi ambayo ni chama cha siasa.Taasisi hiyo ni lazima iwe Imara ili ipate mgombea bora na ilani bora itakayoshindanishwa na wagombea kutoka vyama vingine

CHADEMA kina kazi nzito zaidi kuliko CCM.Kwanza inacheza siasa kama mchezaji tegemeo(Rooney/Messi) ambaye anapata pressure ya mashabiki kuivusha timu to the next level.Tunahitaji kuweka nyumba yetu in order.Watanzania wana matumaini makubwa na CHADEMA.Mbiyo za Urais hazitakiwi kutugawa,tumeshavuka level hiyo.

Pasco,Kutangaza nia ya Urais siyo jambo baya lakini ni lazima tuli-handle in a very smart way.Siasa zetu ni tofauti na Kenya.Raila Odinga amezindua kampeni zake late kwa kuwa alitaka kufanyia kazi mgawanyiko ndani ya chama chake na pia kuunda aliiance kulingana na weakness za aspirant wengine

Binafsi napenda mchakato wa Urais 2015 ndani ya chadema uwe na mchuano.Lakini ni lazima tuaandae mazingira ya kujenga chama kwanza.Tujenge taasiasi imara kwanza ili tupate mgombea imara na ilani bora.

Wale wanaotegemea kuona migogoro waendele kusubiri.We'll defeat you

Abraham Lincolin alisema 'you can not make a man strong by weakening another man'. na pia huwezi kuongeza kiwango cha utajiri wa maskini kwa kumuangamiza Tajiri'

From my heart, Hili linaweza kuwa bandiko bora kuliko yote leo nzima!
 
huu ndio upuuzi tusioutaka humu ndan...wewe peke yako ndio unajua ukweli juu ya dr slaa na hutaki kuusema hapa na wakati huo huo unasema kwa kuwa unaujua ukweli wa dr slaa juu ya hatima ya urais basi tumsapot zitto bila kutwambia hicho unachokijua juu ya dr slaa!!!!......sasa kwa nini umeleta uzi huu hapa? unataka kutuaminisha nini?.....halafu usinikumbush kabisa siku ya mazishi ya regia mtema maana uliharibu kaburi lake kwa kupanda juu eti ukitafuta kupiga picha kama dr slaa atashikana na mkono na kikwete wakati wa kusalmiana.....

wewe ulishasema kuwa uko kwenye Eliairline na juzi hapa membe aliosema ana maadui 11 na watahamia kenya 2016 kama ataoteshwa na wewe ulionekana kumuunga mkono kama ataoteshwa...sasa unakuja na matango pori tena juu ya zitto......huyu zitto tunamdai video aliyosema ataweka humu tangu jana..sasa na wewe usitichanganyie habari sisi...wewe na ramadhani semtawa mko kundi moja!!!

Dude, if the Devil contested against some aspirants in Tanzania, the devil will win.

There are sections in Tanzania that are so blinded by hate . I just don't understand it. Is it illiteracy? Is it ignorance? What is it that would make a people look at evil dead in the face, accept it, then convince themselves, while suffering, that they've made the right choice? If we are not carefully opposition will lose again because there's a section of Tanzania that is opposed to change.

They claim to want it, but they're always on deck to do everything in their power to avert it each time it (change) rears its head. On their Coattails CCM will ride to victory again.
 
Kwa hiyo tuendelee kulea kahaba wa kisiasa. Kwa nini asiwe na ushirikiano na wenzake wa CHADEMA. Je Zitto anajua adhabu ya kuwa double agent?
 
zitto kabwe tafadhali leta hiyo video ,, alafu na pasco nyosha maelezo ,, be smart n specific
 
Sijaelewa ni kwanini Pasco amemrukia Dr Slaa? Ni kitu gani hasa kilichomsukama Pasco aone Dr Slaa is fair game kwenye mjadala wa urais toka upande wa Zitto? Why Dr Slaa?

Pasco,anajua sana anchokifanya......Anatafuta easy ride kwa aspirant wake wa ccm mwaka 2015.Anaelewa tishio la chadema kuwa na unity.CHADEMA itavuka salama.Tutashinda uchaguzi mkuu 2015.

Like a compass that always points in the direction of the magnetic north after every disturbance, so the attitude of its members always assumes the poise of unity after every episode of unrest.

We cannot beat our chests and pride ourselves on the party. We should not rest content with this height that we have been able to carry the party to. The room for self improvement is the largest room in life.

There is ever room for improving ourselves and by extension, our party. I do not believe that what we have attained today is the picture that the founding fathers of our great party projected when they rallied round for its establishment.
 
Pasco,

Mimi ni muumini wa Demokrasia ya Kweli. Ni kweli CHADEMA haina mgombea urais hadi 2015.

Dr. Slaa hajatangaza nia ya kugombea urais.Mwaka 2010 hakuna aliyemjua mgombea urais wa CHADEMA hadi Dakika za mwisho. Jambo la msingi ni kwamba chama chetu kinatakiwa kuendelea kujenga umoja.

Pasco,Mara kadhaa hapa umehusishwa kuwa Mfuasi wa aspirant mmoja ndani ya CCM.Unadhani kama chadema itagawanyika itakuwa easy ride kwa huyo aspirant?

Muumini mzuri wa demokrasia ni mfuasi mzuri wa nadharia za siasa na hasa demokrasia yenyewe.Mchakato wa kumpata mgombea urais unaratibiwa na Taasisi ambayo ni chama cha siasa.Taasisi hiyo ni lazima iwe Imara ili ipate mgombea bora na ilani bora itakayoshindanishwa na wagombea kutoka vyama vingine

CHADEMA kina kazi nzito zaidi kuliko CCM.Kwanza inacheza siasa kama mchezaji tegemeo(Rooney/Messi) ambaye anapata pressure ya mashabiki kuivusha timu to the next level.Tunahitaji kuweka nyumba yetu in order.Watanzania wana matumaini makubwa na CHADEMA.Mbiyo za Urais hazitakiwi kutugawa,tumeshavuka level hiyo.

Pasco,Kutangaza nia ya Urais siyo jambo baya lakini ni lazima tuli-handle in a very smart way.Siasa zetu ni tofauti na Kenya.Raila Odinga amezindua kampeni zake late kwa kuwa alitaka kufanyia kazi mgawanyiko ndani ya chama chake na pia kuunda aliiance kulingana na weakness za aspirant wengine

Binafsi napenda mchakato wa Urais 2015 ndani ya chadema uwe na mchuano.Lakini ni lazima tuaandae mazingira ya kujenga chama kwanza.Tujenge taasiasi imara kwanza ili tupate mgombea imara na ilani bora.

Wale wanaotegemea kuona migogoro waendele kusubiri.We'll defeat you

Abraham Lincolin alisema 'you can not make a man strong by weakening another man'. na pia huwezi kuongeza kiwango cha utajiri wa maskini kwa kumuangamiza Tajiri'

Ben leo umesema. May be umejifunza kitu?
 
Si takikuamini kilakitu kinacho semwa na mabloga wakati mwingine napata wakati mgum pale kuamin pale ninapo gundua kuwa kunawatu wanatumiwa na viongozi wakubwa.
Anyway tuyaache hayo nadhan kwa busara za Dr Slaa ya paswa chadema wawe makin katika maamuzi yao na nina liamini hilo kwan kinawasomi wa kutosha kama uraisi 2015 Mh Zitto bado anahitaji kujipanga kwa maon yangu kutokana na muda sito yapost hapa na kwa Mh MBOWE tujiulize kapatanafas hiyo marangap? Na je mwitikio ulikuwaj? Tuache propaganda za kisias na uchu wa madalaka.
 
Kwa nini mpaka utuletee mfano wa demokrasia za nchi za maghalibi ili uharalishe hoja yako. huwezi kulinganisha Siasa za nchi za magharibi (Marekani) na siasa za Tanzania. sorry, unaonyesha bado fikra zako zimetawaliwa na dhana ukoloni mamboleo.
Ndiyo, Zitto ana uhuru wa kikatiba kusema kile anachokisema na lakini siyo welevu kuiambia jamii imuunge mkono kwa sababu ambayo hutaki kuiambia.
 
Wakati anagombea Urais Dr. Slaa alisema akishinda hatagombea awamu ya pili. Sababu aliyoitoa ilikuwa umri, alisema baada ya kutumikia kwa muhula mmoja atakuwa na miaka 67 na angehitaji kupumzika nyumbani. Kwa kigezo hicho nadhani kigezo cha umri hakijabadilika baada ya kura za 2010 kubainika kuwa hazijatosha kumfanya awe Rais. Kwa lugha ya picha hicho ndicho alichosema Pasco.
Kinachonishangaza ni kwamba washabiki wa CHADEMA ambao hata CHADEMA yenyewe hawaijui vizuri ndio wako active kumpiga vita Zitto, wakati wanaoifahamu CHADEMA haswa kama kina Mbowe wako cool tu!
 
Bado namuunga mkono Zitto kwa hili. Kwasababu tunataka upinzani kwenye mbio za urais chadema. Asipite Slaa peke yake tu, kuwe na movement hii ndio itakuwa ukomavu wa kisiasa. Tukubali chama kimekua na wengine pia wanaotaka urais waruhusiwe hiyo ndio demokrasia. Nashangazwa sana na wanaompinga Zitto eti kwa miaka hii Slaa apite tu bila kupingwa khaaa. Zitto aachwe wapiga kura wataamua.

pengine huelewi kinacho ongelewa! Tatizo sio kugombea urais tatizo ni kwamba kwa nini haya mambo yana fanywa sasa na njia anazo zitumia wakati kuna muda na utaratibu.

Anacho fanya zitto ni kuropoka na kutaka kutuvuruga wakati tuko katika kipindi cha kujenga chama wala sio mbio za urais.

Najua magamba wanataka zitto apite iwe njia yao, lakini huu sio muda wake.

Zitto ni mnafiki hasiye weza kujificha, yeye mwenyewe alikanusha na leo kala matapishii yake.
 
Pasco,

Mimi ni muumini wa Demokrasia ya Kweli. Ni kweli CHADEMA haina mgombea urais hadi 2015.

Dr. Slaa hajatangaza nia ya kugombea urais.Mwaka 2010 hakuna aliyemjua mgombea urais wa CHADEMA hadi Dakika za mwisho. Jambo la msingi ni kwamba chama chetu kinatakiwa kuendelea kujenga umoja.

Pasco,Mara kadhaa hapa umehusishwa kuwa Mfuasi wa aspirant mmoja ndani ya CCM.Unadhani kama chadema itagawanyika itakuwa easy ride kwa huyo aspirant?

Muumini mzuri wa demokrasia ni mfuasi mzuri wa nadharia za siasa na hasa demokrasia yenyewe.Mchakato wa kumpata mgombea urais unaratibiwa na Taasisi ambayo ni chama cha siasa.Taasisi hiyo ni lazima iwe Imara ili ipate mgombea bora na ilani bora itakayoshindanishwa na wagombea kutoka vyama vingine

CHADEMA kina kazi nzito zaidi kuliko CCM.Kwanza inacheza siasa kama mchezaji tegemeo(Rooney/Messi) ambaye anapata pressure ya mashabiki kuivusha timu to the next level.Tunahitaji kuweka nyumba yetu in order.Watanzania wana matumaini makubwa na CHADEMA.Mbiyo za Urais hazitakiwi kutugawa,tumeshavuka level hiyo.

Pasco,Kutangaza nia ya Urais siyo jambo baya lakini ni lazima tuli-handle in a very smart way.Siasa zetu ni tofauti na Kenya.Raila Odinga amezindua kampeni zake late kwa kuwa alitaka kufanyia kazi mgawanyiko ndani ya chama chake na pia kuunda aliiance kulingana na weakness za aspirant wengine

Binafsi napenda mchakato wa Urais 2015 ndani ya chadema uwe na mchuano.Lakini ni lazima tuaandae mazingira ya kujenga chama kwanza.Tujenge taasiasi imara kwanza ili tupate mgombea imara na ilani bora.

Wale wanaotegemea kuona migogoro waendele kusubiri.We'll defeat you

Abraham Lincolin alisema 'you can not make a man strong by weakening another man'. na pia huwezi kuongeza kiwango cha utajiri wa maskini kwa kumuangamiza Tajiri'

Ben,
Kwa vile umeshawahi kugombea nafasi za kisiasa unafahamu kuwa mikakati ya kuwania nafasi hiyo ni lazima ianza mara unapoamua kwa dhati kuiwania nafasi hiyo.
Odinga kuwa hajatangaza hadharani haimaanishi kuwa hakuwa anafanya mikakati ya chinichini. Raila akiwa Afrika Kusini aliulizwa kama atagombea Urais akasema hatagombea, kumbe alidanganya!
Unaposhauri Zitto afanye mikakati ya chinichini kwa siri unaamanisha kuwa Zitto asiwe mkweli kwa watanzania. Na pia unapendekeza watanzania wafichwe juu ya habari muhimu kama mtu anayetaka kugombea Urais, just kwa manufaa ya CHADEMA. Kwako wewe CHADEMA ni muhimu kuliko watanzania.
Watanzania wakijua mapema watapata muda wa kutosha kuchuja Zitto. Wanasiasa jengeni tabia ya kupenda wananchi kuwa na taarifa sahihi kwa muda wa kutosha ili wafanya maamuzi sahihi yanayoongozwa na taarifa walizopata.

Mwisho kabisa: Ben ukiwa kama insider wa CHADEMA unadhihirisha kuwa huko CHADEMA hamfanyi mambo kwa maslahi ya taifa ila ni kwa maslahi binafsi. Hii imedhihirishwa na kauli yako kuwa mtu kutangaza kutaka kugombea Urais kunavunja umoja wenu. Ina maana huko kuna watu wapo just because wanajua fulani hatakuwa Rais lakini sio kwa kuiamini ideology ya Chama. Sasa anzeni kujenga chama kinachounganishwa na ideology. Acheni tabia ya kuunganishwa na matumaini ya kuwa karibu na mtu atakayeingia Ikulu.
 
Ben,
Kwa vile umeshawahi kugombea nafasi za kisiasa unafahamu kuwa mikakati ya kuwania nafasi hiyo ni lazima ianza mara unapoamua kwa dhati kuiwania nafasi hiyo.
Odinga kuwa hajatangaza hadharani haimaanishi kuwa hakuwa anafanya mikakati ya chinichini. Raila akiwa Afrika Kusini aliulizwa kama atagombea Urais akasema hatagombea, kumbe alidanganya!
Unaposhauri Zitto afanye mikakati ya chinichini kwa siri unaamanisha kuwa Zitto asiwe mkweli kwa watanzania. Na pia unapendekeza watanzania wafichwe juu ya habari muhimu kama mtu anayetaka kugombea Urais, just kwa manufaa ya CHADEMA. Kwako wewe CHADEMA ni muhimu kuliko watanzania.
Watanzania wakijua mapema watapata muda wa kutosha kuchuja Zitto. Wanasiasa jengeni tabia ya kupenda wananchi kuwa na taarifa sahihi kwa muda wa kutosha ili wafanya maamuzi sahihi yanayoongozwa na taarifa walizopata.

Mwisho kabisa: Ben ukiwa kama insider wa CHADEMA unadhihirisha kuwa huko CHADEMA hamfanyi mambo kwa maslahi ya taifa ila ni kwa maslahi binafsi. Hii imedhihirishwa na kauli yako kuwa mtu kutangaza kutaka kugombea Urais kunavunja umoja wenu. Ina maana huko kuna watu wapo just because wanajua fulani hatakuwa Rais lakini sio kwa kuiamini ideology ya Chama. Sasa anzeni kujenga chama kinachounganishwa na ideology. Acheni tabia ya kuunganishwa na matumaini ya kuwa karibu na mtu atakayeingia Ikulu.
Wewe ndiye hukumuelewa Ben.
 
Upuuzi mtupu lakini mwisho wa siku Zitto na kundi lako hamtamuweza hata kidogo Dr.slaa wa ukweli.

Chezea slaa weye................
Peoples...............
 
Ben,
Kwa vile umeshawahi kugombea nafasi za kisiasa unafahamu kuwa mikakati ya kuwania nafasi hiyo ni lazima ianza mara unapoamua kwa dhati kuiwania nafasi hiyo.
Odinga kuwa hajatangaza hadharani haimaanishi kuwa hakuwa anafanya mikakati ya chinichini. Raila akiwa Afrika Kusini aliulizwa kama atagombea Urais akasema hatagombea, kumbe alidanganya!
Unaposhauri Zitto afanye mikakati ya chinichini kwa siri unaamanisha kuwa Zitto asiwe mkweli kwa watanzania. Na pia unapendekeza watanzania wafichwe juu ya habari muhimu kama mtu anayetaka kugombea Urais, just kwa manufaa ya CHADEMA. Kwako wewe CHADEMA ni muhimu kuliko watanzania.
Watanzania wakijua mapema watapata muda wa kutosha kuchuja Zitto. Wanasiasa jengeni tabia ya kupenda wananchi kuwa na taarifa sahihi kwa muda wa kutosha ili wafanya maamuzi sahihi yanayoongozwa na taarifa walizopata.

Mwisho kabisa: Ben ukiwa kama insider wa CHADEMA unadhihirisha kuwa huko CHADEMA hamfanyi mambo kwa maslahi ya taifa ila ni kwa maslahi binafsi. Hii imedhihirishwa na kauli yako kuwa mtu kutangaza kutaka kugombea Urais kunavunja umoja wenu. Ina maana huko kuna watu wapo just because wanajua fulani hatakuwa Rais lakini sio kwa kuiamini ideology ya Chama. Sasa anzeni kujenga chama kinachounganishwa na ideology. Acheni tabia ya kuunganishwa na matumaini ya kuwa karibu na mtu atakayeingia Ikulu.

sasa hujamuelewa Ben kitu gani?

THINK BIG
 
vijana wengi humu si wapiga kura niwenye mawazo mpindo.... lets wait and see. meanwhile Zitto keep silent. tupo vijana wa kazi tunaku-support!
 
From my heart, Hili linaweza kuwa bandiko bora kuliko yote leo nzima!
Yeah, this deserves! Pasco anakuja na approach za kizamani kweli! Na mara zote huwa anaanza kwa kujihami kuwa "kabla ya yote mimi si mfuasi wa chama chochote cha siasa" ! Ni kweli inawezekana akawa si mwanachama wa chama cha siasa, lakini kila mtu anajua Eduadi wa Pasco ni mfuasi wa CCM, so ni vigumu ukampigia debe Eduadi bila kukipigia debe chama chake, kwa kuwa kuna wapiga kura wengi tu wanaokipigia chama kura, bila kujali mgombea!
 
Back
Top Bottom