URAIS 2015: Pinda Vs Lowassa

Wakuu, Pinda akiwa rais wa nchi hii, naihama. Huwezi kuwa na rais kikaragosi kama Pinda halafu useme nchi ina rais. Thubutuuuuu!
 
Rais ajae huenda akatokea mkoa wa Mara
Aidha kijana mmoja wa Mwl Nyerere
Ama awe Wasila
 
Wakuu, Pinda akiwa rais wa nchi hii, naihama. Huwezi kuwa na rais kikaragosi kama Pinda halafu useme nchi ina rais. Thubutuuuuu!

Hehehehehehehehehehehe apo vp?
 

Attachments

  • 1418445936134.jpg
    12.9 KB · Views: 264
tpaul safi sana kumbe mnajua rais anatoka chama cha mapinduzi ndio maana mnakata mauno sana kwenye huu uzi vipi kule UKAWA nani atasimama kuisindikiza CCM ikulu? :becky:
 
Last edited by a moderator:
"Bando kitita" ya Pinda imeexpire

Thats why your interest ni kwa mabinti na sio siasa hivo hujui chochote kuhusu siasa waachie wenyewe we endelea na vibinti vyako ndio interest yako
 
Wakuu, Pinda akiwa rais wa nchi hii, naihama. Huwezi kuwa na rais kikaragosi kama Pinda halafu useme nchi ina rais. Thubutuuuuu!

Mh mkuu unapiga debe, au upo kwenye mgao wa EL? maana uzi huu uliouweka unaupigia debe kweli kweli hata huwapi wenzio fursa ya kusema yao
 
Wahi Monduli ukachukue fedha ya sikukuu ya Xmass na Mwaka Mpya umejitahidi kujikomba

Ni kweli mkuu huyu mleta mada kaitoa wakati muafaka maana kipindi cha mgao kimefika, si unajua tena akishafika Monduli, utasikia "MH. UNAJUA NAFIGHT SANA HADI KULE JF NIMEFANIKIWA KUWA-CONVINCE WATU NA SASA UPO JUU" then anapewa bahasha ya X-mas
 
Wapigwe tu atang'oa watu miguu, maana ana hasira ya kufa mtu. Lowassa ni mtetezi wa watu hivyo anafaa kuwa Rais wa nchi hii. CCM tufanye uamuzi makini 2015.
 
Wote waliotajwa hawafai ebu nipeni ulinganisho na pombe magufuli kama shida sio njaa ktk wadau hawa.wanaowatetea
 
Wote waliotajwa hawafai ebu nipeni ulinganisho na pombe magufuli kama shida sio njaa ktk wadau hawa.wanaowatetea

Aka Pombe, ya aina gani hiyo? Gongo, chimpumu, kangara, uyoga, mbege, mtama, chibuku, ni ipi hiyo?
 
lowasa ni moja kat ya mawzir wakuu wajasir waliowah kutokea katk nchi hii,binafs najivunia yeye kwa uamuz wake na usimamiz uliotukuka katka shule za kata japo naamin kuwa lait angekuwa wazir mkuu had leo shule za kata zingekuwa mbali pia uwepo wa chuo cha udom alifanya maamuz magum hadi kfikia pale,kiukwel siwez kumlinganisha na mtu yeyote na anafaa kupeperusha bendera ya chama chetu tukufu@kila la kher katka nia yako sis tuko nyuma yako kuhakikisha ndoto yako inatimia
 
Mh mkuu unapiga debe, au upo kwenye mgao wa EL? maana uzi huu uliouweka unaupigia debe kweli kweli hata huwapi wenzio fursa ya kusema yao

mkuu mimi sina mgao kutoka popote bali nausema ukweli bila kumumunya maneno. kama CCM mtateua Pinda, UKAWA tutashinda misa ya kwanza.
 

Inaonekana anawatikisa
 

Pinda ni Rais 2015 piga ua hapatoshi.
 

Pinda Rais 2015 mtashangazwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…