Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Popote pale China ilipo inaweka mazingira mazuri kwa ajili ya watu wake. Hivyo hujitahidi sana kukamata Serikali iliyopo Madarakani kwa kui support kwa hali na mali ili Serikali hiyo iendelee kuwanyonya wananchi na China ifaidike kwa maslahi ya nchi yake.
China ya sasa siyo China ya Ujamaa. Hii ni China ya Utamaa. Inayoangalia namna ya kujitanua zaidi kiuchumi. Angalia mikataba ya ki Chief Mangungo wa Msovero ambayo China imeingia na mataifa mengi ya kiafrika. Nenda kafuatilie kinachowapata Zambia sasa.
Waulize Kenya. Kaulize mkataba ambao ilikuwa tuingie kuhusiana na Bandari ya Bagamoyo. Ni Mkataba wa kihuni kupata kuwekwa na hili sina budi kumpongeza Magufuli.
Lakini kuna madudu mengi ambayo bado China inayafanya kwa nchi zetu za Kiafrika.
Mi sijui.
China ya sasa siyo China ya Ujamaa. Hii ni China ya Utamaa. Inayoangalia namna ya kujitanua zaidi kiuchumi. Angalia mikataba ya ki Chief Mangungo wa Msovero ambayo China imeingia na mataifa mengi ya kiafrika. Nenda kafuatilie kinachowapata Zambia sasa.
Waulize Kenya. Kaulize mkataba ambao ilikuwa tuingie kuhusiana na Bandari ya Bagamoyo. Ni Mkataba wa kihuni kupata kuwekwa na hili sina budi kumpongeza Magufuli.
Lakini kuna madudu mengi ambayo bado China inayafanya kwa nchi zetu za Kiafrika.
Mi sijui.