Upweke Utaniua

Waislam bwana sasa miaka 21 unatafuta majukumu kazi ya udereva unamuendesga Kanji Bhai. Tulia tafuta hela na ujijenge kimaisha. umenunua sabufa tayari akili imeoza na nyege.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu jana ulisemajee? Afu muambie CW asijisahaulishe nasubiri mie hapa.

Hivi nilitaka kukwambia unitumie namba nikurushie udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sina longolongo

CW aje atupe pesa ya saloon kwanza mwanamke matunzo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa totoo kwa umri huo ushaanza kuteswa na upweke, unaona shida n nn
 
Hivi nilitaka kukwambia unitumie namba nikurushie udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sina longolongo

CW aje atupe pesa ya saloon kwanza mwanamke matunzo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muitee harakaa CW akujee, anatuachajee tudodee weekend km hiviii??
 
Una kitu mkuu, utafika mbali
Tushapitia hayo, kipindi niko o'level nilikua kijana mpole sana.
Binafsi sikua naupenda ule upole wangu, nikihisi nakosa vitu adhim aloo kumbe huko watu mimi ndio role model wao. Wanatamani kua kama mimi, mimi najion mpole kumbe wenyewe wanaona huyu jamaa hachngii hoja kizembe, ni jamaa mmoja makini sana na uzuri class nilikua njema.

Na madem ni wananikubali ila ndo ivo mm ni domo zege na wao wananigwaya, kumbe hata kuongea nao walikua wanafarihika.
Sasa tushakua watu wazima ndo wananipasua ukweli jinsi wao walivyokua wananiona, tunaishia kucheka tu.
 
Waislam bwana sasa miaka 21 unatafuta majukumu kazi ya udereva unamuendesga Kanji Bhai. Tulia tafuta hela na ujijenge kimaisha. umenunua sabufa tayari akili imeoza na nyege.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini usitafute wa mitaani kwenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…