Upweke usikufanye ukaumiza mioyo ya watu

Upweke usikufanye ukaumiza mioyo ya watu

Hellen23

Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
15
Reaction score
4
Habari wana MMU.

Kuna jambo linaumiza sana watu, utakuta mtu ili kuondoa upweke ametafuta boyfriend/girlfriend ambaye siye chaguo lake, watafurahi vizuri na nini na nini.

Baada ya muda mtu anamwacha girlfriend au boyfriend kisa amepata chaguo lake, anamwacha mwenzie kwenye maumivu au hata kamtundika na mimba kama ni msichana.

Is it fair jamani?

Inaumiza sana kwa kweli.
 
Habari wana MMU.

Kuna jambo linaumiza sana watu, utakuta mtu ili kuondoa upweke ametafuta boyfriend/girlfriend ambaye siye chaguo lake, watafurahi vizuri na nini na nini,. Baada ya muda mtu anamwacha girlfriend au boyfriend kisa amepata chaguo lake, anamwacha mwenzie kwenye maumivu au hata kamtundika na mimba kama ni msichana, is it fair jaman? Inaumiza sana kwa kwel.,

aisifiaye mvua ujue imemnyea..
 
Habari wana MMU.

Kuna jambo linaumiza sana watu, utakuta mtu ili kuondoa upweke ametafuta boyfriend/girlfriend ambaye siye chaguo lake, watafurahi vizuri na nini na nini,. Baada ya muda mtu anamwacha girlfriend au boyfriend kisa amepata chaguo lake, anamwacha mwenzie kwenye maumivu au hata kamtundika na mimba kama ni msichana, is it fair jaman? Inaumiza sana kwa kwel.,

Mnapeana na mimba kabisa bila Planned Preventive Measures?

Sometimes being single is the right choice..
 
Habari wana MMU.

Kuna jambo linaumiza sana watu, utakuta mtu ili kuondoa upweke ametafuta boyfriend/girlfriend ambaye siye chaguo lake, watafurahi vizuri na nini na nini,. Baada ya muda mtu anamwacha girlfriend au boyfriend kisa amepata chaguo lake, anamwacha mwenzie kwenye maumivu au hata kamtundika na mimba kama ni msichana, is it fair jaman? Inaumiza sana kwa kwel.,

pole..... chukulia ka kidonda tu.... kitauma sana kwa sasa ila baadae kitapona na utaendelea na maisha...pia jarbu kutokaa mwenyewe wakat uko idle ili kupunguza upwekr ambao utakuletea mawazo ya zaman....
 
By the time you learn the rules of life, you're too old to play the game....

Pole sana dadangu, msituchukulie serious sana, at times we're very cruel, heartless, brutal,magaidi ivoo...
 
Pole sana Hellen23, uliyeandikiwa yupo kitambo kifupi yuaja
 
kama saiv umeumizwa tafuta na wewe ambae sio chaguo lako, af ukipata wa chaguo lako, unamuacha.....kwani sh. ngapi...
 
By the time you learn the rules of life, you're too old to play the game....

Pole sana dadangu, msituchukulie serious sana, at times we're very cruel, heartless, brutal,magaidi ivoo...

gaidi kama wew du hatar hii anko anaogopwa hata na watoto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom