Upweke unanitesa sio kawaida jamani

Upweke unanitesa sio kawaida jamani

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,605
Jamani mi mpweke sio kawaida sio kawaida sio kawaida namaanisha nateseka sana na upweke.

Sielewi kwanini nashindwa kupata mpenzi wa kuniliwaza.

Si ajitokeze binti yeyote anipende na mimi jamani.

Natajitoa sadaka kwa mwanamke yeyote atakayejitokeza na kunipa moyo wake na hii naweka nadhiri kwa Mungu.

Mimi ni kijana wa kawaida umri 25 years mkazi wa Dar.

Sina ubaguzi wa rangi dini au kabila binti yeyote atakayeguswa na hili ikampendeza karibu tujenge malengo, umri sio kipaumbele changu cha msingi mioyo yetu ipatane.
 
Jamani mi mpweke sio kawaida sio kawaida sio kawaida namaanisha nateseka sana na upweke.

Sielewi kwanini nashindwa kupata mpenzi wa kuniliwaza.

Si ajitokeze binti yeyote anipende na mimi jamani.

Natajitoa sadaka kwa mwanamke yeyote atakayejitokeza na kunipa moyo wake na hii naweka nadhiri kwa Mungu.

Mimi ni kijana wa kawaida umri 25 years mkazi wa Dar.

Sina ubaguzi wa rangi dini au kabila binti yeyote atakayeguswa na hili ikampendeza karibu tujenge malengo, umri sio kipaumbele changu cha msingi mioyo yetu ipatane.
Una matatizo gani Tajiri? Ebu funguka inawezekana kukosa mpenzi inatokana na ilo tatizo.
 
Unafanya kazi gani?

Kipato chako ni kiasi gani?

Maeneo yako ya kujidai ni yapi?

Una elimu gani?

Umeshawahi kuwa kwenye mahusiano kabla?

Majibu ya hayo maswali ni namna ya kwanza ya kuelewa ukubwa wa tatizo lako kabla sijalipeleka swala lako mbele.
sijaajiliwa ila nafanya internship ofisi fulani.

mi mtu wa club kias ila mda mwingi nikiwa free nafanya mazoezi na kucheza mpira then kulala.

nimewahi kuwa na mahusiano my last relationship ilikua mwez wa 6 kuna story kubwa iliyosababisha kua muoga kuingia katika mahusiano till now
 
sijaajiliwa ila nafanya internship ofisi fulani.

mi mtu wa club kias ila mda mwingi nikiwa free nafanya mazoezi na kucheza mpira then kulala.

nimewahi kuwa na mahusiano my last relationship ilikua mwez wa 6 kuna story kubwa iliyosababisha kua muoga kuingia katika mahusiano till now
Ushasema story ilkufanya kua muoga kuingia kwnye mahusiano
Sasa unatafuta binti akutoe upweke ili muingie kwenye biashara au?
 
sijaajiliwa ila nafanya internship ofisi fulani.

mi mtu wa club kias ila mda mwingi nikiwa free nafanya mazoezi na kucheza mpira then kulala.

nimewahi kuwa na mahusiano my last relationship ilikua mwez wa 6 kuna story kubwa iliyosababisha kua muoga kuingia katika mahusiano till now

Bado uko kwenye nafasi ambayo haikupi mamlaka ya kupendwa.
 
Mkuu tulia sali fanya mambo yako asikudanganye mtu kuwa wanawake wanaondoa stress, unaweza pata mwanamke pasua kichwa akakuongezea hizo stress mara kumi zaidi, tulia mwanamke wa maisha atatokea tu lakini sio kwa kuforce hivi

Wanawake huwa wanaongeza stress zaidi kama utapata mwanamke pasua kichwa tulia
 
Back
Top Bottom