Upweke unanitesa sio kawaida jamani

Upweke unanitesa sio kawaida jamani

Jamani mi mpweke sio kawaida sio kawaida sio kawaida namaanisha nateseka sana na upweke.

Sielewi kwanini nashindwa kupata mpenzi wa kuniliwaza.

Si ajitokeze binti yeyote anipende na mimi jamani.

Natajitoa sadaka kwa mwanamke yeyote atakayejitokeza na kunipa moyo wake na hii naweka nadhiri kwa Mungu.

Mimi ni kijana wa kawaida umri 25 years mkazi wa Dar.

Sina ubaguzi wa rangi dini au kabila binti yeyote atakayeguswa na hili ikampendeza karibu tujenge malengo, umri sio kipaumbele changu cha msingi mioyo yetu ipatane.

Wewe hat shule hujamaliza unaanza kulalamika mambo ya upweke, ebu Rudi darasani kasome huko usituletee uchuro mi nilijua una miaka 40
 
Wanaume wengine mna matatizo Sana , Facebook, Instagram,mitaani kila Kona ya jiji wanawake ni wengi sna inafikia hatua mpaka wengine tunawakimbia alafu bado Kuna wtu kma nyie mnaangaika iv .....utakuwa haujiamini aisee na Hilo Ni tatizo Sana kutokujiamini kwako siku nyingine utakuja kuweka uzi hpa kuwa una upungufu wa nguvu za kiume
tumeumbwa tofauti ndo maana hata shuleni wakati mwingine analia na hesabu mwingine analia na kiswahili
 
Jamani mi mpweke sio kawaida sio kawaida sio kawaida namaanisha nateseka sana na upweke.

Sielewi kwanini nashindwa kupata mpenzi wa kuniliwaza.

Si ajitokeze binti yeyote anipende na mimi jamani.

Natajitoa sadaka kwa mwanamke yeyote atakayejitokeza na kunipa moyo wake na hii naweka nadhiri kwa Mungu.

Mimi ni kijana wa kawaida umri 25 years mkazi wa Dar.

Sina ubaguzi wa rangi dini au kabila binti yeyote atakayeguswa na hili ikampendeza karibu tujenge malengo, umri sio kipaumbele changu cha msingi mioyo yetu ipatane.
Achana nao fanya issue zingine
 
Omba ushauri wowote jf HUWEZI kosa majibu.

Naona professional psychologist na watu wa relationship wapo kazini.
 
Back
Top Bottom