Upweke haufai, kumbuka wengi wafanikiwao ni wale ambao ni engageful.Unapofil uko mpweke ni wakati wa kufanya "revolution
matokeo...
Jana Jioni tumekutana Wallet Pub - Tabata na rafiki yangu wa siku nyingi sana, ana mke na watoto watatu tayari, nilipomuuliza mbona anakunywa sana siku za hivi karibuni badala ya kunijibu akaniuliza "mbona na wewe unatembelea sana JF?"
Kisha akasema wote tunasumbuliwa na Upweke tu hakuna kitu kingine, nikaipotezea hiyo story haraka sana, sasa leo baada ya kutafakari hasa ili ku-deduce uwezekano wa mimi kuwa mpweke nikajikuta na google ili kupata details za hii kitu.
Moja ya taarifa inasema, zaidi ya nusu ya population ya dunia iko lonely,Na inasemekana lonely people end up doing things or behaving in a very awkward manner.
Na ni majuzi tu dunia imevuka record ya watu bilioni saba wanaoishi right here on planet earth.
sasa what makes us lonely?
Okay
Ninachokifikiria ni Kwamba kukimbizana na economoc interests za maisha ndio chanzo kikuu, kwamba watu wako busy sana na kufukuzana na pesa na mali ambazo by design ziko concentrated in in the hands of very few people, hivyo majority hawafanikiwi katika hili, lakini kwa sababu hawaelewi tatizo ni nini hasa kwa kasumba nyingine iliyojengeka kwamba kufanya kazi ndio kila kitu basi watu wanaendelea kufanya kazi na kufanya kazi matokeo yake wanajikuta hawana muda wa kuwa na wanafamilia wao, at critical point watu wanabaini kwamba familia si chochote si lolote bila pesa, hivyo watu wanaanza kuignore ndugu jamaa na marafiki infavor of utafutaji wa pesa, hii kitu inasababisha watu wapoteze kabisa touch ya mahusiano na watu wengine na kweli with time, watu hao wanabaini fulani hana time nao,nao wanamshiti mpaka anajikuta yuko all alone, sana sana yuko na TV pamoja na simu yake.
Mkuu,
Hivi upweke maana yake nini?
Huwa najaribu kujiuliza kijinga;
Hivi "mafanikio" ni nini hasa?
Na hayo mafanikio ni kwaajili ya nini na wapi?
Hivi kweli mtu anaanza kuchakarika akiwa abda na miaka 27 halafu "anafanikiwa" akiwa na miaka 50,kisha anakufa
Basi!!!!!!!!!
Na akisha kufa anakuwa hana tofauti na yule aliyekuwa "chapombe" na alikuwa analala barabarani?
Kweli???????
Some people are biologically disposed to be needy and lonely, you can try but you can't train a Zebra out of it's stripes.
Ni ile hali ya kupoteza mahusiano na watu?
Yaani unakuta mtu yuko katikati ya maelefu ya watu lakini kumbe yuko mwenyewe.
Nilidhani thread hii itaelekea kwenye kuonyesha mapungufu yaliyo katika jamii yetu hasa namna ya kutengeneza mahusiano lakini naona inafail, nachofikiria ni kwamba watu wengi wanakuwa lonely sababu hawajawa trained namna ya kuishi barabara.
we unaposema "akifanikiwa akiwa na miaka 50" unakuwa unamaanisha mafanikio ya namna gani?
When you said "it is Mental",I thought you are going to show how the mentally undeveloped ones are a victim of this than those who mentally developed (properly trained and knowledgeable of how to conduct themselves and relate with people and their environment-political,economical,cultural and physical).