Pacbig
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 1,095
- 2,079
We Muongoo hiyo sio official account ya Mugalu. Kuna siku aliwahi kuikana hiyo account kupitia account ya Morrison akasema hiyo sio account yake. Ngoja nizisake screenshot zake nizilete hapa.Mugalu kawaambia Mashabiki wa Simba wote ni Wanafiki.
Na leo Simba wametoa Tangazo wamesema ile sio account ya Mugalu. Mugalu hana account insta