Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Ulete tu dear..nipo kusoma na kucomment 😂Na Mimi sijui nilete Uzi wa johnny![]()
Ulete tu dear..nipo kusoma na kucomment 😂Na Mimi sijui nilete Uzi wa johnny![]()
Mimi wa kwangu nishauandika na kupost maana naona wiki hii ndio yenyeweUlete tu dear..nipo kusoma na kucomment 😂
Nakazia.Kama ulichoandika hapa kina ukweli na siyo changamsha genge basi haya ni matumizi mabaya ya mitandao.
Ulimwengu huu zipo njia nyingi sana ya kumsearch mtu kimyakimya kuliko njia hii unayotumia.
Wewe utajisikia vipi siku hapa JF atokee njemba na uzi wake wa kumsaka mpenzi wake wa zamani ambaye ndio mke wako?
Punguzeni upumbavu.
Naomba uniTag nitie neno😂Mimi wa kwangu nishauandika na kupost maana naona wiki hii ndio yenyewe
Dada mwenye tabasamu lakeNaomba uniTag nitie neno![]()

🤗😘😘Dada mwenye tabasamu lake![]()
Usisahau kuni tag mwayaaa.Mimi wa kwangu nishauandika na kupost maana naona wiki hii ndio yenyewe
Tayari,Usisahau kuni tag mwayaaa.
Hauko Siriaz.Hi!
2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana,
Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea.
Ulinichagua katika ya wanaume wengi walionizidi sifa za kihadhi, kifedha na hata kielimu.
Popote Ulipo Anastazia Benedicta jua Michael bado anakupenda,
Ulikuwa unaishi Kwa Aunt yako pale Kwenye Kota za mapolisi Moshi mjini, Nyumba yenu ilikuwa mkabala na uwanja wa mashujaa wa pale Moshi mjini.
Nimekumbuka mara ya mwisho tulivyokutana mida ya saa mbili chini ya lile sanamu la mwanajeshi pale uwanja wa mashujaa. Mpaka leo nakumbuka Marashi yako mpaka hivi leo.
Ile zawadi uliyonipa nimeitunza mpaka Leo Kama ukumbusho.
Anneth popote Ulipo nakuomba ujitokeze. Kama kuna mtu humu anamjua Aneth aliyekuwa anaishi na Aunt yake pale Kota za polisi uwanja wa mashujaa naomba amtaarifu Mick ninamtafuta Sana.
Aneth nakupenda Sana. Hata kama umeolewa, sitajali, ninachotaka nikuone roho yangu ipumzike jamani
Naona roho ya kuwasaka wapenzi wa zamani imeingia nchini muasisi akiwa KondboiKwahiyo huyo Ni aneth au anastazia?!!![]()
Kwenda Moshi kunahitaji nauli, mchawi na hela wapi na wapi. Huyu ni mchawi anataka kumchafua dada wa watu wala asichukuliwe seriousHauko Siriaz.
Moshi sio mbinguni kwanini usiende kwa anti yake uulizie?
Acha uongo
Kwenda Moshi kunahitaji nauli, mchawi na hela wapi na wapi. Huyu ni mchawi anataka kumchafua dada wa watu wala asichukuliwe serious




yamekua hayo mkuu?😂😂😂😂Naona roho ya kuwasaka wapenzi wa zamani imeingia nchini muasisi akiwa Kondboi