Upo wapi Anneth Benidicta?

Upo wapi Anneth Benidicta?

Kama ulichoandika hapa kina ukweli na siyo changamsha genge basi haya ni matumizi mabaya ya mitandao.

Ulimwengu huu zipo njia nyingi sana ya kumsearch mtu kimyakimya kuliko njia hii unayotumia.

Wewe utajisikia vipi siku hapa JF atokee njemba na uzi wake wa kumsaka mpenzi wake wa zamani ambaye ndio mke wako?

Punguzeni upumbavu.
Nakazia.
 
Hi!

2014 ulinipenda pasipo chochote, sikuwa na kitu lakini hukujali, ulinipenda na umasikini wangu, licha ya kuwa ulikuwa mrembo Sana,
Nimekumbuka sauti yako nyororo na macho yaliyolegea.

Ulinichagua katika ya wanaume wengi walionizidi sifa za kihadhi, kifedha na hata kielimu.

Popote Ulipo Anastazia Benedicta jua Michael bado anakupenda,

Ulikuwa unaishi Kwa Aunt yako pale Kwenye Kota za mapolisi Moshi mjini, Nyumba yenu ilikuwa mkabala na uwanja wa mashujaa wa pale Moshi mjini.

Nimekumbuka mara ya mwisho tulivyokutana mida ya saa mbili chini ya lile sanamu la mwanajeshi pale uwanja wa mashujaa. Mpaka leo nakumbuka Marashi yako mpaka hivi leo.

Ile zawadi uliyonipa nimeitunza mpaka Leo Kama ukumbusho.

Anneth popote Ulipo nakuomba ujitokeze. Kama kuna mtu humu anamjua Aneth aliyekuwa anaishi na Aunt yake pale Kota za polisi uwanja wa mashujaa naomba amtaarifu Mick ninamtafuta Sana.

Aneth nakupenda Sana. Hata kama umeolewa, sitajali, ninachotaka nikuone roho yangu ipumzike jamani
Hauko Siriaz.
Moshi sio mbinguni kwanini usiende kwa anti yake uulizie?
Acha uongo
 
KWA MLIOA KINA 'ANNETH'
KAMA JINA LA PILI NI BENEDICTA.

BASI KUNA MWAMBA ANAHITAJI SANA MSAADA.
 
Hauko Siriaz.
Moshi sio mbinguni kwanini usiende kwa anti yake uulizie?
Acha uongo
Kwenda Moshi kunahitaji nauli, mchawi na hela wapi na wapi. Huyu ni mchawi anataka kumchafua dada wa watu wala asichukuliwe serious
 
Naona roho ya kuwasaka wapenzi wa zamani imeingia nchini muasisi akiwa Kondboi
😂😂😂😂
Embu tuwekee na wewe tusome😛
 
Back
Top Bottom