Sio ndiyo vizuri ili tusifanyiane fujo na tugawane viti vya u ungejua n.kUkishaona serikali inakwambia eti kosoa kwa staha basi upinzani kwishney. Kukosoa siku siku zote hakuwezi kuw kwa staha huo siyo ukosoaji. Ukosoaji lazim uwe madhubuti na strong.
Msitegemee Tena madai yakatiba mpya maana huko Ni kukosoa na kuleta vurugu ambapo serikali imesema kosoa kwa staha