ukweliusemwekweupe
Member
- May 2, 2026
- 58
- 48
Kuna haja ya kufundishwa siasa za kistaarabu za kisomi
Kuna tatizo gani wapinzani wakikosoa kila kitu?Kuna haja ya kufundishwa siasa za kistaarabu za kisomi
kukosa agenda, kukosa pesa na kufilisika hoja ni fedheha sana kwa vyama vya siasa hasa Tanzania.Kuna haja ya kufundishwa siasa za kistaarabu za kisomi