Kukosa agenda kwa vyama vya upinzani nchini, kumewasababishia Udumavu wa kisiasa

Kukosa agenda kwa vyama vya upinzani nchini, kumewasababishia Udumavu wa kisiasa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
44,008
Reaction score
36,138
Na hiyo huchangiwa zaidi na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa 100%, hali ambayo huwakosesha kabisa vyama vya siasa vya upinzani nchini agenda. Matokeo yake hali hiyo ni kwamba wapinzani wanaonekana kama matapeli tu wakisiasa wanapokua kwenye medani za siasa nchini.

Hata hivyo,
kukosa maono kwa viongozi wa upinzani, hasa wa kitaifa, kumechangia pakubwa zaidi udumavu huo wa kisiasa miongoni mwa vyama vya upinzani.

Kama mdau wa siasa nchini,
unashauri nini kifanyike ili walau udumavu wa vyama vya siasa upate nafuu?

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ni uchawa au huna macho ya kuona?siasa ipi ya kutekana kubakana kuuana inayofanywa na ccm wakishirikiana na dola.ccm ukiondoa polisi hakuna ccm.ipo kwaajili ya kulindwa na polisi
 
Ni uchawa au huna macho ya kuona?siasa ipi ya kutekana kubakana kuuana inayofanywa na ccm wakishirikiana na dola.ccm ukiondoa polisi hakuna ccm.ipo kwaajili ya kulindwa na polisi
Gentleman,
ni hizo porojo na drama ndio hupelekea upinzani kukosa agenda na kudumaa ama?🐒
 
Write your reply...NANI ANATEKA NA KUUA NANI ANAANDAA UCHAGUZI FEKI?
 
Write your reply...NANI ANATEKA NA KUUA NANI ANAANDAA UCHAGUZI FEKI?
Gentleman,
hiyo si drama ambayo imekua kisingizio cha waliokosa agenda na ambayo haina athari zozote kwa Tanzania kusonga mbele kidemokrasia?
 
Na hiyo huchangiwa zaidi na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa 100%, hali ambayo huwakosesha kabisa vyama vya siasa vya upinzani nchini agenda. Matokeo yake hali hiyo ni kwamba wapinzani wanaonekana kama matapeli tu wakisiasa wanapokua kwenye medani za siasa nchini.

Hata hivyo,
kukosa maono kwa viongozi wa upinzani, hasa wa kitaifa, kumechangia pakubwa zaidi udumavu huo wa kisiasa miongoni mwa vyama vya upinzani.

Kama mdau wa siasa nchini,
unashauri nini kifanyike ili walau udumavu wa vyama vya siasa upate nafuu?

Mungu Ibariki Tanzania
Screenshot_20260514-220943~2.png
 
Back
Top Bottom