- Thread starter
- #21
Pamoja na kwamba wamezuiliwa bado mi naamini kulikua na njia mbadala wa kudeal na hayo makatazo kwa njia ya amani na watawala wakawaelewa kuliko njia walizotumia za kutukana na kukejeli.
Ivi kweli Leo hii wewe mbunge wa chadema au mwanachama kamati kuu ya act wazalendo ukamkejeli mbowe au zito kabwe tuone kama atakuacha salama Basi vivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa watawala.
Kwa hiyo njia ya halali haikua ya kukejeli na kutukana.Hiyo ni sawa na enzi zile tulivyokua mashuleni tukidai kubadilshiwa vyakula hauwezi kufikisha ujumbe huo kwa kumtukana mkuu wa shule kwenye school baraza hata Kama hoja yako inamashiko lahasha kwa sababu hawezi kukusikiliza Zaid zaidi atakutimua shule kwa utovu wa nidhamu.
Ivi kweli Leo hii wewe mbunge wa chadema au mwanachama kamati kuu ya act wazalendo ukamkejeli mbowe au zito kabwe tuone kama atakuacha salama Basi vivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa watawala.
Kwa hiyo njia ya halali haikua ya kukejeli na kutukana.Hiyo ni sawa na enzi zile tulivyokua mashuleni tukidai kubadilshiwa vyakula hauwezi kufikisha ujumbe huo kwa kumtukana mkuu wa shule kwenye school baraza hata Kama hoja yako inamashiko lahasha kwa sababu hawezi kukusikiliza Zaid zaidi atakutimua shule kwa utovu wa nidhamu.