Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Nimeuona uungwana wako, endelea utapata wenye akili wenzako.Lazima uage maana huna uwezo wa kujadili kwa akili bali kelele; sasa kona niliyokupeleka ni kwa wenye akili. Hata hivyo machache niliyokueleza yamekusaidia kuwa mstaarabu hata kwa kuaga kwa uungwana, nakushukuru sana.