Upinzani nchini

astranaut

JF-Expert Member
Jul 30, 2018
1,276
1,021
Upinzani pamoja na figisu zote wanazofanyiwa unatakiwa kubadilika na kubadili mitazamo na aina ya siasa wanazozifanya kutoka kwenye siasa za kiharakati kua siasa za ukombozi zenye hoja mubadala kwa mustakabali wa nchi na zifike kwa wananchi.

Kuendelea kung'ang'ania kudai vitu ambavyo pengine wananchi walio wengi hawajui maana yake na faida zake ni kupoteza muda.

Hapa upinzani unatakiwa uje na hoja mbadala namna gani watayabadilisha maisha ya watanzania ikiwa ni pamoja na kueleza Sera zenye nguvu na mashiko kwa wananchi:

- Waeleze namna gani wataboresha huduma ya elimu ili ilete tija kwa watanzania wote tofauti na saizi ambapo mtu unasoma huna mbele Wala nyuma pengine hata fani unayosomea haujui faida zake na matumizi yake. Mbona watu waliosoma ulaya ni simple kutoboa kimaisha tofauti na huku kwetu tatizo liko wapi hapa waje na majibu na hoja za kueleweka.

- Waeleze namna gani wataongeza au kuboreaha mazingira ya ajira nchini ili kila mtanzania hata yule ambae hana degree 4 aweze kuajilika kutokana na elimu yake hatimae ajikwamue kimaisha.

- Waeleze namna gani wataboresha huduma za afya na upatikanaji wa vifaa tiba, dawa nk. ili ikiwezekana kila Mtanzania atibiwe kama sio bure basi kwa gharama ya chini sana ambayo ni affordable

- Waeleze namna gani wataboresha shule za kata zilizojengwa na serikali ya CCM ikiwa ni pamoja na kuzipatia vifaa vya maabara vya kutosha au kuzifanya zifanane na shule kongwe nchini ambazo kipindi cha nyuma ziliaminika ni shule za vipaji maalumu.

- Waeleze namna gani wataboresha sector ya michezo ili iwe mkombozi kwa watu wenye vipaji vya michezo lakini pia namna gani watavutia wawekezaji hata kama ni wazawa ili waweze kuwekeza katika michezo hatimaye kuanzisha accademy za michezo nchini. Ambapo michezo kwa wenzetu imetumika kama njia mbadala wa ajira.

- Waeleze namna gani watawasaidia vijana ambao wako katika harakati za kujenga nyumba namna gani serikal watakayokua wameiunda itawasaidia mabati, au sehemu yote ya upauaji.

Na mengine mengi hata kama yatakuwa sio ya kutekelezeka kwa muda mfupi bali hapa lengo ni kufikisha sera kwa wananchi ili imani iliyopotea irejee sasa .Kwa sababu siasa ni kuuza sera pamoja na purukushani kutoka chama tawala lakini ukiwa mjanja unafanya siasa katika mazingira hayo hayo.

Lakini pia pamoja na kuuza sera huko wasisahau kudai demokrasia na tume huru kwa pamoja mana kufanya hivyo bila demokrasia ni sawa na kulia chakula kwenye mzinga wa nyuki.

Kwa kuongezea wapinzanu kutokana na mazingira ya siasa nchini pia inatakiwa wajifunze kula na kipofu,wanatakiwa waache kuwachukia polisi Tena kabisa inatakiwa wawapende watoe ushirikiano mzuri tu,ikiwezekana kabisa wawape ushirikiano wa kinafiki hata hao ccm.Yote hiyo ni kujitengenezea mazingira mazuri ya kutokubughudhiwa kisiasa.

Inatakiwa pale wanapokua na labuda na mikutano ya kuuza Sera Kama wakipata nafasi hiyo wafanye siasa za kistarabu tu ikiwezekana watoe barua ya mwaliko kwa mkuu wa polisi nchini kuja kusikiliza Sera za kistarabu na kutoa ulinzi.Ili kujitengenezea mazingira ya kutokubughudhiwa tu.

Wawape ushirikiano viongozi wa kiserikali na polisi pia hata Kama niwakinafki hapa lengo ni kutengeneza mazingira mazuri ya kutokubugudhiwa.Kwani Kama watu mnagonga wote bia,kukuchukua,mbuzi na kwenye mahafla flani mko wote watakusumbuaje Tena si mnakua marafiki tu automatically Tena huyo huyo anaweza akakutonya pale atakapokua ameagizwa na watu wasio kutakia mema.

Tena kabisa ikiwezekana waandae hafla ya kuwachangia ujenzi wa nyumba za askari,hata Kama itapatikana ya kutosha nyumba moja sawa tu lengo ni kutake control.

Tumieni fursa vizuri kuelekea uchaguzi mkuu mwakani na 2025 kwani hamjifunzi hata kwa mawazili Hawa wakipewa mic mbele ya mkulu ni full kusifia tu sio kwamba wote wanamkubali lahasha Bali ni katika kula na kipofu.

Pale viongozi wenu wa serikali za mitaa watakapokua wamechaguliwa wapeni ushirikiano wa kutosha waweze kufanya Mambo yanayo konga nyoyo za wananchi katika mitaa bila kuonesha viburi na kupoteza imani.

Tofauti na hapo kwa mazingira ya kisiasa nchini upande wa upinzani saizi ni ngumu kufanya siasa kwa Uhuru na ndivyo hivyo mnazidi kupoteza Imani kwa wananchi.
 
Kuendelea kung'ang'ania kudai vitu ambavyo pengine wananchi walio wengi hawajui maana yake na faida zake ni kupoteza muda.
Kwangu mimi hilo ni jukumu la msingi la vyama vya upinzani kuamsha wananchi wadai haki zao. Umeeleezea vitu vya msingi sana ambavyo unafikiri upinzani unatakiwa kuvifanya, sasa watafanikiwa vipi kama hata jukwaa la kuelezea yale wanayo yafikiri au kutaka kutenda hawana?
 
Kwangu mimi hilo ni jukumu la msingi la vyama vya upinzani kuamsha wananchi wadai haki zao. Umeeleezea vitu vya msingi sana ambavyo unafikiri upinzani unatakiwa kuvifanya, sasa watafanikiwa vipi kama hata jukwaa la kuelezea yale wanayo yafikiri au kutaka kutenda hawana?
Lakini aliekataza mikutano ya siasa alisema wabunge wako free kufanya siasa majimboni kwao na si vinginevyo kwahiyo huko huko majimboni ujumbe utafika tu regarding Kuna mitandao ya kijamii.Kwa sababu hii kusubilia sijuo kiongozi flani ulimi umeteleza Basi wanapata hoja ambazo nazenyewe hawazibebi katika muktadha ulio sahihi watachelewa sana.Cha msingi tu wanaweza kutumia mwanya huo kuboresha na kuzipatia nyama zile kauli tata za viongozi ili wao waeleweke zaidi kwa wananchi tofauti na kukejeli na kutoa lugha isiyo na staha kwa sababu hatakama ni kiongozi was upinzani akitukanwa na wafuasi wake lazima atachukia kwa kua na yeye ni binadamu
 
Lakini aliekataza mikutano ya siasa alisema wabunge wako free kufanya siasa majimboni kwao na si vinginevyo kwahiyo huko huko majimboni ujumbe utafika tu regarding Kuna mitandao ya kijamii
Sasa kama huna mbunge mahali basi wewe huna chako? Kimsingi mheshimiwa anavunja katiba kwa kutumia uchamadola.
Kumbuka Lowasa 2015 alituambia hotuba yake iko kwenye mtandao, watu tulimnanga sana ni asimilia ndogo sana ya watanzania wenye uwezo wa kuingia kwenye hii mitandao. Ujumbe wa mtanzania ni wa ana kwa ana ndio maana mheshimiwayeye full time anaruka hewani na ankuwa na mikutano ya hadhara ambayo ndani yake tunamsikia anavyo wabamiza wapinzani wake, lakini yeye hataki wengine wawe na fursa kama hizo.
Mikutano, maandamano an kurusha habari vinahitaji fedha na utaalamu hivyo sioni chama kinacho weza kufanya hivyo kila siku kama serikali inavyotaka kutuaminisha bali nia yao ni kuzuia upinzania usiwafikie wananchi.
 
Upinzani pamoja na figisu zote wanazofanyiwa unatakiwa kubadilika na kubadilika,mitazamo na aina ya siasa wanazozifanya kutoka kwenye siasa za kiharakati kua siasa za ukombozi zenye hoja mubadala kwa mustakabali wa nchi na zifike kwa wananchi.

Kuendelea kung'ang'ania kudai vitu ambavyo pengine wananchi walio wengi hawajui maana yake na faida zake ni kupoteza muda.

Hapa upinzani unatakiwa uje na hoja mbadala namna watayabadilisha maisha ya watanzania ikiwa ni pamoja na kueleza Sera zenye nguvu na mashiko kwa wananchi:

- Waeleze namna wataboresha huduma ya elimu ili ilete tija kwa watanzania wote tofauti na saizi ambapo mtu unasoma huna mbele Wala nyuma pengine hata fani unayosomea haujui faida zake na matumizi yake. Mbona watu waliosoma ulaya ni simple kutoboa kimaisha tofauti na huju kwetu tatizo liko wapi hapa wake na majibu na hoja za kueleweka.

- Waeleze namna gani wataongeza au kuboreaha mazingira ya ajira nchini ili kila mtanzania hata yule ambae hana degree 4 aweze kuajilika kutokana na elimu yake hatimae ajikwamue kimaisha.

- Waeleze namna gani wataboresha huduma za afya na upatikanaji wa vifaa tiba, dawa nk. ili ikiwezekana kila Mtanzania atibiwe kama sio bure basi kwa gharama ya chini sana ambayo ni affordable

- Waeleze namna gani wataboresha shule za kata zilizojengwa na serikali ya CCM ikiwa ni pamoja na kuzipatia vifaa vya maabara vya kutosha au kuzifanya zifanane na shule kongwe nchini ambazo kipindi cha nyuma ziliaminika ni shule za vipaji maalumu.

- Waeleze namna gani wataboresha sector ya michezo ili iwe mkombozi kwa watu wenye vipaji michezo lakini pia namna gani watavutia wawekezaji hata kama ni wazawa waweze kuwekeza katika michezo hatimaye kuanzisha accademy za michezo nchini. Ambapo michezo kwa wenzetu imetumika kama njia mbadala wa ajira.

- Waeleze namna gani watawasaidia vijana ambao wako katika harakati za kujenga nyumba namna gani serikal watakayokua wameiunda itawasaidia mabati, au sehemu yote ya upauaji.

Na mengine mengi hata kama yatakuwa sio ya kutekelezeka kwa muda mfupi bali hapa lengo ni kufikisha sera kwa wananchi ili imani iliyopotea irejee sasa kwa sababu siasa ni kuuza sera pamoja na purukushani kutoka chama tawala lakini ukiwa mjanja unafanya siasa katika mazingira hayo hayo.

Lakini pia pamoja na kuuza sera huko wasisahau kudai demokrasia na tume huru kwa pamoja mana kufanya hivyo bila demokrasia ni sawa na kulia chakula kwenye mzinga wa nyuki.
"Amlipaye mpiga zumari, ndiye achaguaye wimbo" Ushauri wako mzuri sana, ila jiulize, Je! hayo uliyo taja ndivyo vipaumbele vya mabwana wanaowatuma? Vipaumbele vya mabwana zao sio ajira, wala nini; vipaumbele ni kueneza propaganda zao za ushoga, na mila zao ili wapate jamii iliyotayari kuwategemea kwa kila kitu huku wakiinyonya vilivyo.

Ili mradi wao utimie, lazima watengeneze aina ya watu wenye kuweza kushika madaraka ili wasimamie masilahi yao hayo.

Njia ya kuwaingiza hao madarakana:
  • Ni kueneza propaganda ya neeme kupitia kile wanaita demokrasia, ambayo kimsingi haitekelezeki.
  • Kueneza chuki dhidi ya utawala usiowaunga mkono
Hayo yanaenezwa kupitia propaganda za:
  • Utawala bora
  • Demokrasia
  • Haki za binadamu, n.k
Kwa hiyo, ni vigumu sana wapinzani kujikita katika hayo unayopendekeza isipokuwa kwa hilo la katiba, tume huru ya uchaguzi maana lipo kwenye kifurushi cha matakwa ya mabwana zao,"...he who pays the piper, plays the tune..."
 
Lakini aliekataza mikutano ya siasa alisema wabunge wako free kufanya siasa majimboni kwao na si vinginevyo kwahiyo huko huko majimboni ujumbe utafika tu regarding Kuna mitandao ya kijamii.Kwa sababu hii kusubilia sijuo kiongozi flani ulimi umeteleza Basi wanapata hoja ambazo nazenyewe hawazibebi katika muktadha ulio sahihi watachelewa sana.Cha msingi tu wanaweza kutumia mwanya huo kuboresha na kuzipatia nyama zile kauli tata za viongozi ili wao waeleweke zaidi kwa wananchi tofauti na kukejeli na kutoa lugha isiyo na staha kwa sababu hatakama ni kiongozi was upinzani akitukanwa na wafuasi wake lazima atachukia kwa kua na yeye ni binadamu
Mkuu huko majimboni hakuna kufanya mikutano wakuu wa Wilaya na Maocd wamekuwa miungu watu kwa wapinzani
 
Hizi za kutekana na kuana siyo figisu tena ni vita labda kama huoni yanayofanyika
Upinzani pamoja na figisu zote wanazofanyiwa unatakiwa kubadilika na kubadilika,mitazamo na aina ya siasa wanazozifanya kutoka kwenye siasa za kiharakati kua siasa za ukombozi zenye hoja mubadala kwa mustakabali wa nchi na zifike kwa wananchi.

Kuendelea kung'ang'ania kudai vitu ambavyo pengine wananchi walio wengi hawajui maana yake na faida zake ni kupoteza muda.

Hapa upinzani unatakiwa uje na hoja mbadala namna watayabadilisha maisha ya watanzania ikiwa ni pamoja na kueleza Sera zenye nguvu na mashiko kwa wananchi:

- Waeleze namna wataboresha huduma ya elimu ili ilete tija kwa watanzania wote tofauti na saizi ambapo mtu unasoma huna mbele Wala nyuma pengine hata fani unayosomea haujui faida zake na matumizi yake. Mbona watu waliosoma ulaya ni simple kutoboa kimaisha tofauti na huju kwetu tatizo liko wapi hapa wake na majibu na hoja za kueleweka.

- Waeleze namna gani wataongeza au kuboreaha mazingira ya ajira nchini ili kila mtanzania hata yule ambae hana degree 4 aweze kuajilika kutokana na elimu yake hatimae ajikwamue kimaisha.

- Waeleze namna gani wataboresha huduma za afya na upatikanaji wa vifaa tiba, dawa nk. ili ikiwezekana kila Mtanzania atibiwe kama sio bure basi kwa gharama ya chini sana ambayo ni affordable

- Waeleze namna gani wataboresha shule za kata zilizojengwa na serikali ya CCM ikiwa ni pamoja na kuzipatia vifaa vya maabara vya kutosha au kuzifanya zifanane na shule kongwe nchini ambazo kipindi cha nyuma ziliaminika ni shule za vipaji maalumu.

- Waeleze namna gani wataboresha sector ya michezo ili iwe mkombozi kwa watu wenye vipaji michezo lakini pia namna gani watavutia wawekezaji hata kama ni wazawa waweze kuwekeza katika michezo hatimaye kuanzisha accademy za michezo nchini. Ambapo michezo kwa wenzetu imetumika kama njia mbadala wa ajira.

- Waeleze namna gani watawasaidia vijana ambao wako katika harakati za kujenga nyumba namna gani serikal watakayokua wameiunda itawasaidia mabati, au sehemu yote ya upauaji.

Na mengine mengi hata kama yatakuwa sio ya kutekelezeka kwa muda mfupi bali hapa lengo ni kufikisha sera kwa wananchi ili imani iliyopotea irejee sasa kwa sababu siasa ni kuuza sera pamoja na purukushani kutoka chama tawala lakini ukiwa mjanja unafanya siasa katika mazingira hayo hayo.

Lakini pia pamoja na kuuza sera huko wasisahau kudai demokrasia na tume huru kwa pamoja mana kufanya hivyo bila demokrasia ni sawa na kulia chakula kwenye mzinga wa nyuki.
 
Mawazo hayapigwi rungu kama kweli ccm wanaamini bado wanahoja zinazoeleweka kwa wananchi kwanini watumie mabavu yote haya?
Upinzani pamoja na figisu zote wanazofanyiwa unatakiwa kubadilika na kubadilika,mitazamo na aina ya siasa wanazozifanya kutoka kwenye siasa za kiharakati kua siasa za ukombozi zenye hoja mubadala kwa mustakabali wa nchi na zifike kwa wananchi.

Kuendelea kung'ang'ania kudai vitu ambavyo pengine wananchi walio wengi hawajui maana yake na faida zake ni kupoteza muda.

Hapa upinzani unatakiwa uje na hoja mbadala namna watayabadilisha maisha ya watanzania ikiwa ni pamoja na kueleza Sera zenye nguvu na mashiko kwa wananchi:

- Waeleze namna wataboresha huduma ya elimu ili ilete tija kwa watanzania wote tofauti na saizi ambapo mtu unasoma huna mbele Wala nyuma pengine hata fani unayosomea haujui faida zake na matumizi yake. Mbona watu waliosoma ulaya ni simple kutoboa kimaisha tofauti na huju kwetu tatizo liko wapi hapa wake na majibu na hoja za kueleweka.

- Waeleze namna gani wataongeza au kuboreaha mazingira ya ajira nchini ili kila mtanzania hata yule ambae hana degree 4 aweze kuajilika kutokana na elimu yake hatimae ajikwamue kimaisha.

- Waeleze namna gani wataboresha huduma za afya na upatikanaji wa vifaa tiba, dawa nk. ili ikiwezekana kila Mtanzania atibiwe kama sio bure basi kwa gharama ya chini sana ambayo ni affordable

- Waeleze namna gani wataboresha shule za kata zilizojengwa na serikali ya CCM ikiwa ni pamoja na kuzipatia vifaa vya maabara vya kutosha au kuzifanya zifanane na shule kongwe nchini ambazo kipindi cha nyuma ziliaminika ni shule za vipaji maalumu.

- Waeleze namna gani wataboresha sector ya michezo ili iwe mkombozi kwa watu wenye vipaji michezo lakini pia namna gani watavutia wawekezaji hata kama ni wazawa waweze kuwekeza katika michezo hatimaye kuanzisha accademy za michezo nchini. Ambapo michezo kwa wenzetu imetumika kama njia mbadala wa ajira.

- Waeleze namna gani watawasaidia vijana ambao wako katika harakati za kujenga nyumba namna gani serikal watakayokua wameiunda itawasaidia mabati, au sehemu yote ya upauaji.

Na mengine mengi hata kama yatakuwa sio ya kutekelezeka kwa muda mfupi bali hapa lengo ni kufikisha sera kwa wananchi ili imani iliyopotea irejee sasa kwa sababu siasa ni kuuza sera pamoja na purukushani kutoka chama tawala lakini ukiwa mjanja unafanya siasa katika mazingira hayo hayo.

Lakini pia pamoja na kuuza sera huko wasisahau kudai demokrasia na tume huru kwa pamoja mana kufanya hivyo bila demokrasia ni sawa na kulia chakula kwenye mzinga wa nyuki.
 
Hivi hujui hata huko wanakatazwa kufanya hivyo na polisi?
Lakini aliekataza mikutano ya siasa alisema wabunge wako free kufanya siasa majimboni kwao na si vinginevyo kwahiyo huko huko majimboni ujumbe utafika tu regarding Kuna mitandao ya kijamii.Kwa sababu hii kusubilia sijuo kiongozi flani ulimi umeteleza Basi wanapata hoja ambazo nazenyewe hawazibebi katika muktadha ulio sahihi watachelewa sana.Cha msingi tu wanaweza kutumia mwanya huo kuboresha na kuzipatia nyama zile kauli tata za viongozi ili wao waeleweke zaidi kwa wananchi tofauti na kukejeli na kutoa lugha isiyo na staha kwa sababu hatakama ni kiongozi was upinzani akitukanwa na wafuasi wake lazima atachukia kwa kua na yeye ni binadamu
 
Wewe unaandika upupu gani?Upinzani bila hata ya kuwa na hoja zenye mashiko tayari wananchi wameshaichoka CCM.Wametawala karibu miaka 60 kwa ahadi zilezile zisizo na utekelezaji.Wananchi wanachohitaji ni nchi kuwa na demokrasia ya kweli.Wajichagulie viongozi bila kulazimishwa.Upinzani hata uje na Sera nzuri kiasi gani ,CCM bado hawatakubali kuachia madaraka.Kama Sera za upinzani zilizopo ni mbovu na CCM wanauhakika wanazo Sera nzuri waweke Mazingira sawa ya kufanya siasa na uchaguzi huru,tuone nini kitatokea!
 
"Amlipaye mpiga zumari, ndiye achaguaye wimbo" Ushauri wako mzuri sana, ila jiulize, Je! hayo uliyo taja ndivyo vipaumbele vya mabwana wanaowatuma? Vipaumbele vya mabwana zao sio ajira, wala nini; vipaumbele ni kueneza propaganda zao za ushoga, na mila zao ili wapate jamii iliyotayari kuwategemea kwa kila kitu huku wakiinyonya vilivyo.
Kwani mkuu CCM wanatumwa na mabwana zao wepi hao?
 
Upinzani pamoja na figisu zote wanazofanyiwa unatakiwa kubadilika na kubadilika,mitazamo na aina ya siasa wanazozifanya kutoka kwenye siasa za kiharakati kua siasa za ukombozi zenye hoja mubadala kwa mustakabali wa nchi na zifike kwa wananchi.

Kuendelea kung'ang'ania kudai vitu ambavyo pengine wananchi walio wengi hawajui maana yake na faida zake ni kupoteza muda.

Hapa upinzani unatakiwa uje na hoja mbadala namna watayabadilisha maisha ya watanzania ikiwa ni pamoja na kueleza Sera zenye nguvu na mashiko kwa wananchi:

- Waeleze namna wataboresha huduma ya elimu ili ilete tija kwa watanzania wote tofauti na saizi ambapo mtu unasoma huna mbele Wala nyuma pengine hata fani unayosomea haujui faida zake na matumizi yake. Mbona watu waliosoma ulaya ni simple kutoboa kimaisha tofauti na huju kwetu tatizo liko wapi hapa wake na majibu na hoja za kueleweka.

- Waeleze namna gani wataongeza au kuboreaha mazingira ya ajira nchini ili kila mtanzania hata yule ambae hana degree 4 aweze kuajilika kutokana na elimu yake hatimae ajikwamue kimaisha.

- Waeleze namna gani wataboresha huduma za afya na upatikanaji wa vifaa tiba, dawa nk. ili ikiwezekana kila Mtanzania atibiwe kama sio bure basi kwa gharama ya chini sana ambayo ni affordable

- Waeleze namna gani wataboresha shule za kata zilizojengwa na serikali ya CCM ikiwa ni pamoja na kuzipatia vifaa vya maabara vya kutosha au kuzifanya zifanane na shule kongwe nchini ambazo kipindi cha nyuma ziliaminika ni shule za vipaji maalumu.

- Waeleze namna gani wataboresha sector ya michezo ili iwe mkombozi kwa watu wenye vipaji michezo lakini pia namna gani watavutia wawekezaji hata kama ni wazawa waweze kuwekeza katika michezo hatimaye kuanzisha accademy za michezo nchini. Ambapo michezo kwa wenzetu imetumika kama njia mbadala wa ajira.

- Waeleze namna gani watawasaidia vijana ambao wako katika harakati za kujenga nyumba namna gani serikal watakayokua wameiunda itawasaidia mabati, au sehemu yote ya upauaji.

Na mengine mengi hata kama yatakuwa sio ya kutekelezeka kwa muda mfupi bali hapa lengo ni kufikisha sera kwa wananchi ili imani iliyopotea irejee sasa kwa sababu siasa ni kuuza sera pamoja na purukushani kutoka chama tawala lakini ukiwa mjanja unafanya siasa katika mazingira hayo hayo.

Lakini pia pamoja na kuuza sera huko wasisahau kudai demokrasia na tume huru kwa pamoja mana kufanya hivyo bila demokrasia ni sawa na kulia chakula kwenye mzinga wa nyuki.

Crap.
Wata Air vipi sera zao ilihali Intarahamwe wamewazuia, Dawa ni ku deal kwanza na Intarahamwe
 
Wapinzani wa Tanzania wanafanya makosa obvious sana yanayowapunguzia credit hivyo kutoaminika Mbele ya jamii

1. wanahubiri democrasia halaf kwenye vyama vyao hawana hiyo democrasia

2. wanahubiri utawala wa sheria na kuheshim katiba wakati wao hawafati sheria na katiba za vyama vyao

3. wanahubiri sera za kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya pesa wakat wao wanawakumbatia mafisadi na waliwapa hadi kugombea urais na kila mwaka wanapata hati chafu za CAG

4. wanapinga ukomo wa kugombea urais ila wao wameruhusu mwenyekiti wao asiwe na ukomo kugombea uenyekiti

5. hawana misimamo na kila siku wanaunga mkono juhudi sasa nani atawaamini
 
Back
Top Bottom