Hakika Jiwe hataenda mbinguni!.
Unajipa stress zisizo na Maana. Naanza kuamini humu mna vichaa wengi sana. Anaanza kujinyanyasa mwenyewe anasingizia ccm. Tundu Lisu mwenyewe kichaa mwenzenu kakili zoezi limeenda vizuri sana sasa nyinyi mnafeli wapo.Nina uchungu sana moyoni. Hii dhuluma wanayoifanya ccm sijui adhabu gani wanastahili. Anyway acha tujinyamazie tu wafanye wanavyotaka. Wana majeshi, polisi so acha waendelee kututawala kwa mabavu mpaka pale Mungu atakapowaondosha.
Maneno ya mwisho ya kishujaa haya!Hakuna uchaguzi wa huru na haki uliofanyika Leo. Hata ya mawakala ni ushahidi tosha kuwa uchaguzi batili.
Nini kifanyike? Hili ndilo la msingi.
Mahakama msiutegemee maana ni CCM! Nguvu ya umma bado Tanzania.
What next?
Naomba usiniquote wewe mpumbavu. Huo uharamia wa kuingiza mabox ya kura yaliyopigwa unaona ndio ushindi? Pumbavu mjinga wewe.Unajipa stress zisizo na Maana. Naanza kuamini humu mna vichaa wengi sana. Anaanza kujinyanyasa mwenyewe anasingizia ccm. Tundu Lisu mwenyewe kichaa mwenzenu kakili zoezi limeenda vizuri sana sasa nyinyi mnafeli wapo.
Wapi alipokiri…?lete ushahid wa Hilo usemaloUnajipa stress zisizo na Maana. Naanza kuamini humu mna vichaa wengi sana. Anaanza kujinyanyasa mwenyewe anasingizia ccm. Tundu Lisu mwenyewe kichaa mwenzenu kakili zoezi limeenda vizuri sana sasa nyinyi mnafeli wapo.
Hakuna uchaguzi wa huru na haki uliofanyika Leo. Hata ya mawakala ni ushahidi tosha kuwa uchaguzi batili.
Nini kifanyike? Hili ndilo la msingi.
Mahakama msiutegemee maana ni CCM! Nguvu ya umma bado Tanzania.
What next?
Nyie makamanda kwani mlikuwa mna matarajio ya kuwepo uchaguzi ulio huru na wa haki?
Mnalialia kana kwamba mlikuwa hamjui what was coming!
Hapo ndipo mnapokera.
Nitoe solution gani kwa sikio la kufa?Nyani acha kukosoa tu. Toa solutions. Wapinzani unafikiri walikuwa na options zipi? Wakisusa, Shibuda na wenzie wanashiriki. Mahakamani hawawezi kwenda - ni kesi ya nyani hiyo. Kwenda msituni ni ngumu. Mass action haiwezekani kwa Watanzania waoga. Wangefanyaje akina Lissu na Maalim?
Nitoe solution gani kwa sikio la kufa?
Endeleeni na ufaala wenu na mnastahili mnachokipata.
Mshapata sababu tayari? Ningeshangaa sana kama msingekuja na sababu.Hakuna uchaguzi wa huru na haki uliofanyika Leo. Hata ya mawakala ni ushahidi tosha kuwa uchaguzi batili.
Nini kifanyike? Hili ndilo la msingi.
Mahakama msiutegemee maana ni CCM! Nguvu ya umma bado Tanzania.
What next?
mkuu kwa hivyo we unataka upinzani usishiriki kabisa uchaguzi uwaachie ma ccm yashinde 100%?!.Nyie makamanda kwani mlikuwa mna matarajio ya kuwepo uchaguzi ulio huru na wa haki?
Mnalialia kana kwamba mlikuwa hamjui what was coming!
Hapo ndipo mnapokera.
mamako!.Nitoe solution gani kwa sikio la kufa?
Endeleeni na ufaala wenu na mnastahili mnachokipata.