Upinzani hoi! Hawana agenda tena!

Upinzani hoi! Hawana agenda tena!

m

mimi sifaindiki na sitarajii kufaidika ila ccm nitaichagua tu wapizzani hamna lolote kiki mahakamani mnachosha mawakili tu
mahakamani wanajipeleka wenyewe? Wakataze CCM waache kuwabambikia kesi Wapinzani
 
Madiwani wamenunuliwa na CCM magufuli alikuwa Mbunge wakati wanapitisha mikataba mibovu ya madini alipitisha mikataba kwa kura ya ndiyoooo.... Acha uongo kwani Wapinzani lazima waje kukuambia kila kitu? Vipo vingi vya kuikosoa serikali mfano ununuzi wa kivuko feki, zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi wa reli, ukarabati wa reli, bomba la mafuta kwenda uganda mikataba , ujenzi uwanja wa ndege wa Chato mikataba imepelekwa bungeni kujadiliwa? Uchakachuaji Zanzibar mmemaliza kero? Udikteta mlioanza wa kuwabambikia kesi Wapinzani ili wakose mda wa kuhoji makosa ya serikali ni mwendelezo wa matukio ya ajabu
Lowasa na Sumaye walikua akina nani wakati miswaada hiyo inapitishwa na bunge?
 
Kama hawana agenda.
Awaruhusu wafanye siasa.
Acha kutetea upumbavu.
Wananchi wanasubir noah zao
Na ukiendelea kushangilia kumbuka bugdet 2016-2017 imetekelezeka kwa 33 %
 
Wafia Chama Cha Mapinduzi wamebakia kuruka mapanga na kukanyagana tu, wao kila kitu wanashangilia kiwe kizuri au kibaya ili mradi aliyeongea ni miungu ya Lumumba..
 
Kama hawana agenda.
Awaruhusu wafanye siasa.
Acha kutetea upumbavu.
Wananchi wanasubir noah zao
Na ukiendelea kushangilia kumbuka bugdet 2016-2017 imetekelezeka kwa 33 %
Spati picha siku upinzani unafanya siasa sidhani kama prezoo atalala kwa atakachokiona kwenye mukutano
 
Jamani upinzani ukifa mnadhani waliopo watakosolewa na Nani!!? Bado upinzani ni muhimu kwa taifa
 
Spati picha siku upinzani unafanya siasa sidhani kama prezoo atalala kwa atakachokiona kwenye mukutano
Akubali ata mara moja. Ndio kitakua kipimo kizuri kwamba upinzani upo kwenye ramani gani saivi.

Sizonje anajua nguvu ya upinzani na kamwe awezi kubali hilo. Akidhani tutalipenda lenyewe zee õvyo sana iliiiiii.!!!
 
Inasikitisha sana kwa hali hii. Lakini hakuna jinsi tena. Wapinzani wamefilisika kabisa mpaka wanatetea wenye mimba warudi mashuleni! Mpaka wanakataa Serikali isitunge Sheria za kulinda Rasilimali za Umma! Mpaka wanapinga bei ya Mafuta kushuka! Mpaka wanatetea wenye vyeti feki wasifukuzwe kazi! Mpaka wanatetea Wauza unga wasichukuliwe hatua! Mpaka wanachochea madhehebu fulani ya Kidini yafanye vurugu na kupambana na Serikali! Mbaya zaidi wanapinga kila kitu kizuri ilimradi kimefanywa na Serikali ya CCM!

Tatizo ni pale walipomeza matapishi yao wenyewe! Watu waliokataliwa na CCM wamebebwa kwa shangwe na kubatizwa "utakatifu". Inashangaza mtu aliyewahi kushika wadhifa wa juu kabisa Serikali akiwa upande ule eti anailaumu CCM kwa mambo mengi wakati alikuwa sehemu ya hicho anachodai hakifai? Wakati mwingine unashindwa kuelewa kwa nini alipewa wadhifa kama huo zama hizo maana kwa kauli zake anaonesha kiwango kidogo cha uelewa!

Katika hali kama hii ndio maana Madiwani na Viongozi wengine wenye akili na wanaoona kinachofanywa na Serikali wanaamua kujiuzulu baada ya kubaini unafiki wa Wapinzani! UKAWA SASA IMEBAKIA UKIWA. KUNTU JK! YAMETIMIA SASA MANENO YAKO!!

A humble request: Uncle aruhusu mikusanyiko ya kisiasa kwa wapinzani. Hapo ndipo utaweza kusema nani yu hoi.
 
Cc emu iliwahi kuchukiwa hapo nyuma (2015) ila kwa sasa hahahaah dah hata waliyokuwa hawana ufahamu na kusifia kinafiki wameshtuka sipati picha tuendako. Mtoa mada kuna siku ufahamu utakuturudia tu
 
Chezea ngosha wewe, ndio maana mbowe kajikamatia zake madam.....mwendo wa fly back to kili!
Kawaacha nyumbuz salary slp na akina darasa kupika majungu tu jf!
 
Inasikitisha sana kwa hali hii. Lakini hakuna jinsi tena. Wapinzani wamefilisika kabisa mpaka wanatetea wenye mimba warudi mashuleni! Mpaka wanakataa Serikali isitunge Sheria za kulinda Rasilimali za Umma! Mpaka wanapinga bei ya Mafuta kushuka! Mpaka wanatetea wenye vyeti feki wasifukuzwe kazi! Mpaka wanatetea Wauza unga wasichukuliwe hatua! Mpaka wanachochea madhehebu fulani ya Kidini yafanye vurugu na kupambana na Serikali! Mbaya zaidi wanapinga kila kitu kizuri ilimradi kimefanywa na Serikali ya CCM!

Tatizo ni pale walipomeza matapishi yao wenyewe! Watu waliokataliwa na CCM wamebebwa kwa shangwe na kubatizwa "utakatifu". Inashangaza mtu aliyewahi kushika wadhifa wa juu kabisa Serikali akiwa upande ule eti anailaumu CCM kwa mambo mengi wakati alikuwa sehemu ya hicho anachodai hakifai? Wakati mwingine unashindwa kuelewa kwa nini alipewa wadhifa kama huo zama hizo maana kwa kauli zake anaonesha kiwango kidogo cha uelewa!

Katika hali kama hii ndio maana Madiwani na Viongozi wengine wenye akili na wanaoona kinachofanywa na Serikali wanaamua kujiuzulu baada ya kubaini unafiki wa Wapinzani! UKAWA SASA IMEBAKIA UKIWA. KUNTU JK! YAMETIMIA SASA MANENO YAKO!!


Muongo upinzani unataka utoe sera zake wapi wakati wakisema mnawaita wachochezi ruhusu mikutano ya kisiasa alafu utajua kuwa wanasera mpya au hawana.
wanachowashauri bungeni tu nikitu chamaana kwa maslai mapana ya taifa letu
 
Cowards....Achieni wapinzani wafanye mikutano...
 
Kama kweli wako hoi waruhusuni waanze mikutano ya kisiasa nchi nzima tuthibitishe mnachosema.
 
Hivi hio hela ya kununua wabunge kila siku serikali inaitoa wapi...
watu wajiuzulu kwa upeo wao mkaseme wamenunuliwa, Leteni basi hio mikataba ya manunuzi


Na hio mikutano ya kisiasa wanahutubia nini?
waje majimboni basi kutuhutubia kuwa ahadi zenu tumezitimiza; wao hotuba zao zimejaa uchochezi tu ,mambo ya maana hawafanyi barabara zetu zimetuchachia tu mitaani humu.
 
Mkuu [HASHTAG]#Gangongine[/HASHTAG], imekuwaje kwenye orodha yako umesahau kuwa wapinzani wanadai wale wote walioshirikiana na wawekezaji matapeli kuiibia nchi hii washitakiwe ili mahakama ikiwapata na hatia waadhibiwe? Umesahau vipi kukumbuka kuwa wapinzani wanadai mabadiliko ya sheria ili marais waliopita waondolewe kinga ili kama walishiriki kutafuna visivyo halali wahukumiwe?!
Mkuu, siyo vizuri 'kusahau' kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom