Upinzani hoi! Hawana agenda tena!

Upinzani hoi! Hawana agenda tena!

Gangongine

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
3,854
Reaction score
1,776
Inasikitisha sana kwa hali hii. Lakini hakuna jinsi tena. Wapinzani wamefilisika kabisa mpaka wanatetea wenye mimba warudi mashuleni! Mpaka wanakataa Serikali isitunge Sheria za kulinda Rasilimali za Umma! Mpaka wanapinga bei ya Mafuta kushuka! Mpaka wanatetea wenye vyeti feki wasifukuzwe kazi! Mpaka wanatetea Wauza unga wasichukuliwe hatua! Mpaka wanachochea madhehebu fulani ya Kidini yafanye vurugu na kupambana na Serikali! Mbaya zaidi wanapinga kila kitu kizuri ilimradi kimefanywa na Serikali ya CCM!

Tatizo ni pale walipomeza matapishi yao wenyewe! Watu waliokataliwa na CCM wamebebwa kwa shangwe na kubatizwa "utakatifu". Inashangaza mtu aliyewahi kushika wadhifa wa juu kabisa Serikali akiwa upande ule eti anailaumu CCM kwa mambo mengi wakati alikuwa sehemu ya hicho anachodai hakifai? Wakati mwingine unashindwa kuelewa kwa nini alipewa wadhifa kama huo zama hizo maana kwa kauli zake anaonesha kiwango kidogo cha uelewa!

Katika hali kama hii ndio maana Madiwani na Viongozi wengine wenye akili na wanaoona kinachofanywa na Serikali wanaamua kujiuzulu baada ya kubaini unafiki wa Wapinzani! UKAWA SASA IMEBAKIA UKIWA. KUNTU JK! YAMETIMIA SASA MANENO YAKO!!
 
Inasikitisha sana kwa hali hii. Lakini hakuna jinsi tena. Wapinzani wamefilisika kabisa mpaka wanatetea wenye mimba warudi mashuleni! Mpaka wanakataa Serikali isitunge Sheria za kulinda Rasilimali za Umma! Mpaka wanapinga bei ya Mafuta kushuka! Mpaka wanatetea wenye vyeti feki wasifukuzwe kazi! Mpaka wanatetea Wauza unga wasichukuliwe hatua! Mpaka wanachochea madhehebu fulani ya Kidini yafanye vurugu na kupambana na Serikali! Mbaya zaidi wanapinga kila kitu kizuri ilimradi kimefanywa na Serikali ya CCM!

Tatizo ni pale walipomeza matapishi yao wenyewe! Watu waliokataliwa na CCM wamebebwa kwa shangwe na kubatizwa "utakatifu". Inashangaza mtu aliyewahi kushika wadhifa wa juu kabisa Serikali akiwa upande ule eti anailaumu CCM kwa mambo mengi wakati alikuwa sehemu ya hicho anachodai hakifai? Wakati mwingine unashindwa kuelewa kwa nini alipewa wadhifa kama huo zama hizo maana kwa kauli zake anaonesha kiwango kidogo cha uelewa!

Katika hali kama hii ndio maana Madiwani na Viongozi wengine wenye akili na wanaoona kinachofanywa na Serikali wanaamua kujiuzulu baada ya kubaini unafiki wa Wapinzani! UKAWA SASA IMEBAKIA UKIWA. KUNTU JK! YAMETIMIA SASA MANENO YAKO!!
Madiwani wamenunuliwa na CCM magufuli alikuwa Mbunge wakati wanapitisha mikataba mibovu ya madini alipitisha mikataba kwa kura ya ndiyoooo.... Acha uongo kwani Wapinzani lazima waje kukuambia kila kitu? Vipo vingi vya kuikosoa serikali mfano ununuzi wa kivuko feki, zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi wa reli, ukarabati wa reli, bomba la mafuta kwenda uganda mikataba , ujenzi uwanja wa ndege wa Chato mikataba imepelekwa bungeni kujadiliwa? Uchakachuaji Zanzibar mmemaliza kero? Udikteta mlioanza wa kuwabambikia kesi Wapinzani ili wakose mda wa kuhoji makosa ya serikali ni mwendelezo wa matukio ya ajabu
 
Inasikitisha sana kwa hali hii. Lakini hakuna jinsi tena. Wapinzani wamefilisika kabisa mpaka wanatetea wenye mimba warudi mashuleni! Mpaka wanakataa Serikali isitunge Sheria za kulinda Rasilimali za Umma! Mpaka wanapinga bei ya Mafuta kushuka! Mpaka wanatetea wenye vyeti feki wasifukuzwe kazi! Mpaka wanatetea Wauza unga wasichukuliwe hatua! Mpaka wanachochea madhehebu fulani ya Kidini yafanye vurugu na kupambana na Serikali! Mbaya zaidi wanapinga kila kitu kizuri ilimradi kimefanywa na Serikali ya CCM!

Tatizo ni pale walipomeza matapishi yao wenyewe! Watu waliokataliwa na CCM wamebebwa kwa shangwe na kubatizwa "utakatifu". Inashangaza mtu aliyewahi kushika wadhifa wa juu kabisa Serikali akiwa upande ule eti anailaumu CCM kwa mambo mengi wakati alikuwa sehemu ya hicho anachodai hakifai? Wakati mwingine unashindwa kuelewa kwa nini alipewa wadhifa kama huo zama hizo maana kwa kauli zake anaonesha kiwango kidogo cha uelewa!

Katika hali kama hii ndio maana Madiwani na Viongozi wengine wenye akili na wanaoona kinachofanywa na Serikali wanaamua kujiuzulu baada ya kubaini unafiki wa Wapinzani! UKAWA SASA IMEBAKIA UKIWA. KUNTU JK! YAMETIMIA SASA MANENO YAKO!!
ndugu yangu, nikuulize tu mpaka sasa umefaidika nini na serikali yako hii unayoipamba, yani ninamaansiha tangu ulipoanza ona jua mpaka hapo ulipo, manake kama ni kodi wanakatwa wote, hakuna siasa wala upinzani, orodhesha ambavyo serikali yetu tukufu imekufanyia na umefaidika navyo mpaka sasa, ukiondoa wale ambao ni exceptional
 
Madiwani wamenunuliwa na CCM magufuli alikuwa Mbunge wakati wanapitisha mikataba mibovu ya madini alipitisha mikataba kwa kura ya ndiyoooo.... Acha uongo kwani Wapinzani lazima waje kukuambia kila kitu? Vipo vingi vya kuikosoa serikali mfano ununuzi wa kivuko feki, zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi wa reli, ukarabati wa reli, bomba la mafuta kwenda uganda mikataba , ujenzi uwanja wa ndege wa Chato mikataba imepelekwa bungeni kujadiliwa? Uchakachuaji Zanzibar mmemaliza kero? Udikteta mlioanza wa kuwabambikia kesi Wapinzani ili wakose mda wa kuhoji makosa ya serikali ni mwendelezo wa matukio ya ajabu
inaitwa kula kwa huyu kura kwa yule
 
ndugu yangu, nikuulize tu mpaka sasa umefaidika nini na serikali yako hii unayoipamba, yani ninamaansiha tangu ulipoanza ona jua mpaka hapo ulipo, manake kama ni kodi wanakatwa wote, hakuna siasa wala upinzani, orodhesha ambavyo serikali yetu tukufu imekufanyia na umefaidika navyo mpaka sasa, ukiondoa wale ambao ni exceptional
Baba yako anajua sana kama amezaliwa miaka ya 50 na 60 au 70 Mwanzoni. Mimi mtoto wa masikini nilisomeshwa na Serikali hadi Chuo Kikuu bure. Mungu anipe nini na sasa naendesha vema maisha yangu. Wewe kwa kuwa unasota mtaani na vyeti feki ndio maana huoni chochote chema kilichofanywa na Serikali. Endelea kujidunga viroba na kudeki barabara.
 
Baba yako anajua sana kama amezaliwa miaka ya 50 na 60 au 70 Mwanzoni. Mimi mtoto wa masikini nilisomeshwa na Serikali hadi Chuo Kikuu bure. Mungu anipe nini na sasa naendesha vema maisha yangu. Wewe kwa kuwa unasota mtaani na vyeti feki ndio maana huoni chochote chema kilichofanywa na Serikali. Endelea kujidunga viroba na kudeki barabara.
baba yangu hajasomeshwa na serikali, kasomeshwa na kanisa, na kasoma shule za kanisa, kama umesoma wewe bure basi bahati yako, sasa swali, je imekufanyia nini
 
h
Madiwani wamenunuliwa na CCM magufuli alikuwa Mbunge wakati wanapitisha mikataba mibovu ya madini alipitisha mikataba kwa kura ya ndiyoooo.... Acha uongo kwani Wapinzani lazima waje kukuambia kila kitu? Vipo vingi vya kuikosoa serikali mfano ununuzi wa kivuko feki, zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi wa reli, ukarabati wa reli, bomba la mafuta kwenda uganda mikataba , ujenzi uwanja wa ndege wa Chato mikataba imepelekwa bungeni kujadiliwa? Uchakachuaji Zanzibar mmemaliza kero? Udikteta mlioanza wa kuwabambikia kesi Wapinzani ili wakose mda wa kuhoji makosa ya serikali ni mwendelezo wa matukio ya ajabu
aaaaaa utakunya kekundu hii ndo ccm
 
m
ndugu yangu, nikuulize tu mpaka sasa umefaidika nini na serikali yako hii unayoipamba, yani ninamaansiha tangu ulipoanza ona jua mpaka hapo ulipo, manake kama ni kodi wanakatwa wote, hakuna siasa wala upinzani, orodhesha ambavyo serikali yetu tukufu imekufanyia na umefaidika navyo mpaka sasa, ukiondoa wale ambao ni exceptional
mimi sifaindiki na sitarajii kufaidika ila ccm nitaichagua tu wapizzani hamna lolote kiki mahakamani mnachosha mawakili tu
 
m

mimi sifaindiki na sitarajii kufaidika ila ccm nitaichagua tu wapizzani hamna lolote kiki mahakamani mnachosha mawakili tu
poa mkuu, kila mtu na mtazamo wake, huo ni mtazamo wako, huwezi lazimisha mtu kutoka mtazamo huu kwenda mtazamo ule,
 
Hakuna free lunch katika dunia hii,elimu bure hiyo ni political slogan,kodi ya watanzania ndio iliyokusomesha sio serikali,ni wajibu wao kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom