Upinzani hoi! Hawana agenda tena!

Upinzani hoi! Hawana agenda tena!

ccm mkitaka mtu anuke mtam mwagia hata maji ya
mavi,ili lengo lenu litimie
tu.
Kama kweli upinzani hoi
kwanini mnakataza mikutano ya siasa ?
ni juzi tu,mmesema Lisu
atavuliwa nguo kwa issue
ya ACACIA
leo mnalialia kuna walio
mshauri vibaya bwana mtukufu wenu ! sasa hoi ni wapinzani au ccm na bwana mtukufu wenu ?
Nyie sio wakuzingatiwa
kwakua hamjawahi kuwa
wakweli,wala wa hoja za nguvu,hata siku moja !
Mmejaza ubaya miyoyon
i mwenu kuliko chochote kizuri duniani ! fieni mbali
na mauongo yenu yasiyo
pimika,sio toka kwa kiongozi au mwa/chama wa kawaida.mtaumbuka tu siku zote,kwakua mmemdhihaki Mungu,
vya kutosha,kwa kudhulu
mu jasho letu,na kumwaga damu za wenzetu .Mungu tunayemuamini,Yupo kaz
ini, kuwashuhulikieni.
 
Inasikitisha sana kwa hali hii. Lakini hakuna jinsi tena. Wapinzani wamefilisika kabisa mpaka wanatetea wenye mimba warudi mashuleni! Mpaka wanakataa Serikali isitunge Sheria za kulinda Rasilimali za Umma! Mpaka wanapinga bei ya Mafuta kushuka! Mpaka wanatetea wenye vyeti feki wasifukuzwe kazi! Mpaka wanatetea Wauza unga wasichukuliwe hatua! Mpaka wanachochea madhehebu fulani ya Kidini yafanye vurugu na kupambana na Serikali! Mbaya zaidi wanapinga kila kitu kizuri ilimradi kimefanywa na Serikali ya CCM!

Tatizo ni pale walipomeza matapishi yao wenyewe! Watu waliokataliwa na CCM wamebebwa kwa shangwe na kubatizwa "utakatifu". Inashangaza mtu aliyewahi kushika wadhifa wa juu kabisa Serikali akiwa upande ule eti anailaumu CCM kwa mambo mengi wakati alikuwa sehemu ya hicho anachodai hakifai? Wakati mwingine unashindwa kuelewa kwa nini alipewa wadhifa kama huo zama hizo maana kwa kauli zake anaonesha kiwango kidogo cha uelewa!

Katika hali kama hii ndio maana Madiwani na Viongozi wengine wenye akili na wanaoona kinachofanywa na Serikali wanaamua kujiuzulu baada ya kubaini unafiki wa Wapinzani! UKAWA SASA IMEBAKIA UKIWA. KUNTU JK! YAMETIMIA SASA MANENO YAKO!!
Weka Noah bandarini tujue una agenda, vinginevyo hata ile noa ya kuchoma kg 1 kwa kila mtz itakuwa out of reach.
 
Mtu yeyote anayeitakia maisha ya kudumu au niseme maendeleo endelevu taasisi au taifa ni lazima awe muumini wa mawazo yanayotofautiana na yeye. Nikukumbushe jambo kwamba upinzani imara kipindi hasa cha JK umesababisha taifa kupata kiongozi shupavu kama JPM, lakini usifurahie kama wajenzi hawa wa hoja mbadala watamalizwa Unaweza siku moja ukajikuta umerudi Misri kutoka Kanaan, ukizingatia bado JPM hajatuahakikishia ama kwa kauli au vitendo kwamba ataitengeneza nchi ya kutegemea mifumo, bali mtu mmojammoja, USISHANGILIE WAPINZANI KUMALIZWA
 
Hakuna free lunch katika dunia hii,elimu bure hiyo ni political slogan,kodi ya watanzania ndio iliyokusomesha sio serikali,ni wajibu wao kufanya hivyo
Hata Libya walikuwa na imani hizi, kwamba kinachofanywa na serikali ni sehemu ndogo tu ya kodi na upande wa pili wangefanya makubwa zaidi endapo wangepata ridhaa....Mpaka sasa zimebaki story tu kuhusu maisha waliyokuwanayo awali na hawawezi kubadili trend....

Nawaza tu!
 
poa mkuu, kila mtu na mtazamo wake, huo ni mtazamo wako, huwezi lazimisha mtu kutoka mtazamo huu kwenda mtazamo ule,
Swali ulilouliza ni gumu, na linataka majibu ya kina kwa mtu aliye makini. Ndio maana unaambulia matusi kutoka kwa uliyemuuliza!! Kuna methali moja inasema hivi, "mjibu mpumbavu kutokana na upumbavu wake, usimjibu mpumbavu kwa hekima maana atakuona mpumbavu wewe"
 
Wewe
ccm mkitaka mtu anuke mtam mwagia hata maji ya
mavi,ili lengo lenu litimie
tu.
Kama kweli upinzani hoi
kwanini mnakataza mikutano ya siasa ?
ni juzi tu,mmesema Lisu
atavuliwa nguo kwa issue
ya ACACIA
leo mnalialia kuna walio
mshauri vibaya bwana mtukufu wenu ! sasa hoi ni wapinzani au ccm na bwana mtukufu wenu ?
Nyie sio wakuzingatiwa
kwakua hamjawahi kuwa
wakweli,wala wa hoja za nguvu,hata siku moja !
Mmejaza ubaya miyoyon
i mwenu kuliko chochote kizuri duniani ! fieni mbali
na mauongo yenu yasiyo
pimika,sio toka kwa kiongozi au mwa/chama wa kawaida.mtaumbuka tu siku zote,kwakua mmemdhihaki Mungu,
vya kutosha,kwa kudhulu
mu jasho letu,na kumwaga damu za wenzetu .Mungu tunayemuamini,Yupo kaz
ini, kuwashuhulikieni.
Wewe ni lofa
 
Mje kutafsiri kufukia mashimo kwenye maisha ya watanzania wanayoishi kila siku!
Acha upumbavu! Hakuna Serikali Afrika inagawa pesa kwa wananchi. Fanya kazi kwa kujituma utapata maisha mazuri.
 
Ipo siku mtakumbushwa kuhusu ushindi wenu,na jinsi mlivyo fanikiwa kuwafanya watanzania mabubu kwa masaa 48 ya wapambe wenu waliojigeuza mahakimu na kuziweka sheria kizuizini,mnachambua sheria zinazofaa na zisizofaa kutumika,mnatisha kila jogoo mpya au wa jirani anaetaka kuwika,mmeishona midomo yote inayotaka kuimba wimbi tofauti na wa kwenu,majigambo yenu yanajulikana "wakati ule jua limekausha kila kitu mnasema msipo lima njaa ni halali yenu iwauwe,serikali haina shamba,serikali haileti majanga, hamko huru kwa kiwango hicho nk nk". Mmesahau kuwa miaka ni sisi tuliowafikisha hapo mlipo baada ya miaka mitano mtarejea sasa sijui safari hii mtapiga samasoti? niko kimya nawasubili na kinyongo tele moyoni.
 
Back
Top Bottom