Upinzani acha kutuwekea usiku

Upinzani acha kutuwekea usiku

Zambavuni

Senior Member
Joined
May 24, 2012
Posts
118
Reaction score
26
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.

Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.

Msionyeshe uwepo wenu, tunawajua kwamba mpo na mtaendelea kuwepo.
 
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.

Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.

Msionyeshe uwepo wenu, tunawajua kwamba mpo na mtaendelea kuwepo.
Nyie ni wale wapumbavu mnaomfunga mtu kamba miguu na mikono halafu mnampiga mkimaliza mnakwenda kujigamba mtaani kwamba ni wapiganaji wazuri. Sijui ni mjinga nani atajigamba kwa ushindi wa ccm dhidi ya wapinzani wakati wapinzani wamefungiwa kufanya siasa na tena wengine wamepigwa risasi na kuvunjwa miguu na majeshi ya serikali. Ccm acheni upumbavu.
 
Nyie ni wale wapumbavu mnaomfunga mtu kamba miguu na mikono halafu mnampiga mkimaliza mnakwenda kujigamba mtaani kwamba ni wapiganaji wazuri. Sijui ni mjinga nani atajigamba kwa ushindi wa ccm dhidi ya wapinzani wakati wapinzani wamefungiwa kufanya siasa na tena wengine wamepigwa risasi na kuvunjwa miguu na majeshi ya serikali. Ccm acheni upumbavu.
"Fomu zetu {za kugombea Uraisi) tutachukulia hapa, ila mnaweza mkaamua msichukue mseme Magufuli amepita ili fedha hizo zifanyie kazi nyingine."-Rais Dkt. @MaguguliJP akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa kwenye uzinduzi wa jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Hayo ndiyo maono yangu. Na nazidi kuwaasa wapinzani wajitafakali na kufanya maamuzi sahihi kulingana na upepo wa siasa ulivyo sasa. JPM ni Jembe na watanzania wote tunamkubali isipokuwa wewe FAZIL. Acha tuijenge nchi pamoja na JPM. Waachane na mawazo ya kugombea kwa mwaka huu. Mambo ni mengi ya kufanya kwa maendeleo ya wananchi. Wajipange 2025 na Mwenyezi Mungu atawabariki sana.
 
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.

Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.

Msionyeshe uwepo wenu, tunawajua kwamba mpo na mtaendelea kuwepo.
Si huwa mnasema upinzani umekufa , sasa kitu kilichokufa kinawaletea vipi kivuli ?
 
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.

Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.

Msionyeshe uwepo wenu, tunawajua kwamba mpo na mtaendelea kuwepo.
Naunga mkono
 
Sijui ni mjinga nani atajigamba kwa ushindi wa ccm dhidi ya wapinzani
Kama ni hivi, si bora sasa kweli wakamwacha Magu apite bila kupingwa?

Moyoni unakubali upinzani watashindwa isipokuwa shida yako ni CCM majigambo Yao dhidi ya ushindi mwaka huu hayatakuwa na Maana yoyote!!

Wapinzani kweli akiri hamna, mmebaki ni vijihasira vya kijiiinga Hadi kero!!!

Sasa Kwa tarifa yako Kwa mwaka huu, si ushindi wa Kishindo pekee wa Raisi tu, Bali Hadi Kwa wabunge!!

Binafs, Siku Magufuli akihama CCM ama Uraisi wake utakapokoma, nitakuwa mpinzani rasimi

Kwa sasa ukimsema vibaya Huyu Rais panapowezekana tutakula sahani moja
 
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.

Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.

Msionyeshe uwepo wenu, tunawajua kwamba mpo na mtaendelea kuwepo.
Kwahio mlivyoshindwa kuprint form za wengine ndio mnataka mfanye hadi kwa wenzenu?? Aagh wapi
 
Kama ni hivi, si bora sasa kweli wakamwacha Magu apite bila kupingwa?

Moyoni unakubali upinzani watashindwa isipokuwa shida yako ni CCM majigambo Yao dhidi ya ushindi mwaka huu hayatakuwa na Maana yoyote!!

Wapinzani kweli akiri hamna, mmebaki ni vijihasira vya kijiiinga Hadi kero!!!

Sasa Kwa tarifa yako Kwa mwaka huu, si ushindi wa Kishindo pekee wa Raisi tu, Bali Hadi Kwa wabunge!!

Binafs, Siku Magufuli akihama CCM ama Uraisi wake utakapokoma, nitakuwa mpinzani rasimi

Kwa sasa ukimsema vibaya Huyu Rais panapowezekana tutakula sahani moja
Jifunze kuandika kwanza, kisha uwe na akili, yaani wewe huangalii maslahi mapana ya nchi unaangalia mtu, pumbavu zako, halafu unasema eti hatuna "akiri"!!!
 
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.

Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.

Msionyeshe uwepo wenu, tunawajua kwamba mpo na mtaendelea kuwepo.
Nadhani ww ndo mpumbavu wa mwisho ndani ya ccm...hakuna Kama ww ..kachukue b7 bc maisha yaendelee
 
Jifunze kuandika kwanza, kisha uwe na akili, yaani wewe huangalii maslahi mapana ya nchi unaangalia mtu, pumbavu zako, halafu unasema eti hatuna "akiri"!!!
Narudia tena, wapinzani mmebaki kama wajinga hasa wewe, unavijihasira vya kijiiinga Hadi huruma, Tema mate Chini mkuu
 
Si huwa mnasema upinzani umekufa , sasa kitu kilichokufa kinawaletea vipi kivuli ?
Kivuli kitakuwepo pale watakapo mfanya JPM aanze mizunguko ya kampeni bila sababu wakati ushindi ni wa wazi. Na si wawazi tu bali kazi aliyo ifanya JPM kwa kipindi cha miaka mitano na dalili za kuendelea kufanya vizuri zipo. Huyu Jamaa hana rafiki mzembe na mla rushwa. Hawezi kutuangusha. Kwenye maendeleo ya kweli lazima watu wengine tukubali kuumia kwa kutoka jasho wakati mwingine hata damu. Si damu kwa kuchinjwa au kupigwa risasi lakini ni maumivu tunayo yapitia katika kipindi cha mpito ili maendeleo ya kweli yapatikane. Kwa wapinzani kutogombea nafasi ya urais kwao itakuwa ni kutokwa na jasho/damu kweli kweli. Nina uhakika jasho/damu itakayowatoka hawataijutia maana makubwa yatafanyika kwa maendeleo ya nchi. Tunajua sana umuhimu wa vyama vya upinzani. Kwa kipindi hiki cha miaka mitano ijayo waitumie kwa kujiimarisha zaidi na nina imani Serikali ya JPM itatoa support sana katika hili. Yapo mengi yaliyofanyika na yaliibuliwa na wapinzani. Sasa niwakati wa kujikarabati na muwe tayari kwa ushindani wa kweli mwaka 2025. Tafakari na chukueni hatua. Mwenyezi Mungu atawabariki sana.
 
Narudia tena, wapinzani mmebaki kama wajinga hasa wewe, unavijihasira vya kijiiinga Hadi huruma, Tema mate Chini mkuu
Hahahaha sijawahi kutema mate chini, kuna sehemu za kutemea! Kuna mjinga flani hivi alikua anasifia ujinga hivi hivi kisha baadae akanifuata oogh sina nauli, sina sijui ujinga gani, maisha yamekua magumu, nikaishia kumcheka tu!
 
Kama Hilo ni kweli iweje huyo yesu wa lugola anaiogopa Tume Huru?

1595428195972.jpeg


Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.

Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.

Msionyeshe uwepo wenu, tunawajua kwamba mpo na mtaendelea kuwepo.
 
Hahahaha sijawahi kutema mate chini, kuna sehemu za kutemea! Kuna mjinga flani hivi alikua anasifia ujinga hivi hivi kisha baadae akanifuata oogh sina nauli, sina sijui ujinga gani, maisha yamekua magumu, nikaishia kumcheka tu!
Mkuu, haya ni ya mitandaoni tu mkuu, tukionana mkuu nikiwa nimetaitika sjui kama utanipita tu ingawa na Mimi namshukuru Mungu Kwa kiasi Niko tu vizuri, Ila uzuri nilonao sio sababu ya kukosa au kukumbana na shida

Heshima kwako mkuu
 
Mkuu, haya ni ya mitandaoni tu mkuu, tukionana mkuu nikiwa nimetaitika sjui kama utanipita tu ingawa na Mimi namshukuru Mungu Kwa kiasi Niko tu vizuri, Ila uzuri nilonao sio sababu ya kukosa au kukumbana na shida

Heshima kwako mkuu
NakuSoma Vyema Paul, wala usijali tuombeatuombeane uzima! At the end of the day wote tunabaki kuwa ndugu! Mungu kwanza!!
 
Nadhani unajaribu kutoonesha ni jinsi gani upumbavu wako ulivyo, yaani huoni watu wanavyolalamika mtaani? Kutokuajiriwa kwa hao mnaowaita wanyonge wakati huo huo Jesca Magufuli mtoto wenu mmemuajiri awamu hii hii tena sekta nyeti!,
Kukicha mnasema maendeleo hayana chama wakati huo huo mnaonesha ubaguzi wa kivyama wazi wazi!
Bado wanyonge wakakubali kufuata kauli mbiu yenu ya hapa kazi tu, wakajitoa kufanya kazi zenu za kimkakati na mmeamua kuwanyima pesa yao wazi wazi (TBA inadaiwa pesa kibao na walala hoi mitaani mfano Geita toka mwezi wa nne hawajalipa hela badala yake wamefunga ujenzi)
Vipi kuhusu kupanda kwa mishahara, au kwa kuwa mlisema sio kipaumbele chenu, nyie mliona bora kujenga SGR na JNHPP
Vipi ule mkakati wenu wa kuinua zao la pamba upoje kule kanda ya ziwa? Je watu wameitikia kulima tena msimu huu licha ya msimu uliopita kulipwa baada ya miezi sita mbele
Niwape pole wafanyakazi wa FASTJET baada ya kampuni kuuliwa kimkakati mpaka ikapelekea mabosi kudhani wako nje ya utaratibu ikampelekea LAURANCE MASHA kurudi CCM lakini wapii!
Vipi kuhusu korosho, harafu nilisikia mnatuhamasisha kukopa mikopo ya halmashauri, ukiachana na maelezo yenu kwenye makaratasi, uhalisia upoje huko mtaani ni kina nani wengine wanakopeshwa ukiachana na UVCCM ama UWT ?
Kifupi ipo hivi subiri kampeni zianze utaona UPINZANI utakavyokuwa unatembea na vijiji, yaani ule wingi wa wahudhuriaji kwenye mikutano yao, japokuwa kwa tume hii ya uchaguzi sina shaka kama CCM itashindwa, tumeona ZANZIBAR aliyekuwa mwenyekiti wa tume (ZEC) alitia nia CCM ilitosha kuonesha kuwa NEC na ZEC pia ni taasisi za chama.
 
Nyie ni wale wapumbavu mnaomfunga mtu kamba miguu na mikono halafu mnampiga mkimaliza mnakwenda kujigamba mtaani kwamba ni wapiganaji wazuri. Sijui ni mjinga nani atajigamba kwa ushindi wa ccm dhidi ya wapinzani wakati wapinzani wamefungiwa kufanya siasa na tena wengine wamepigwa risasi na kuvunjwa miguu na majeshi ya serikali. Ccm acheni upumbavu.
Halafu wanawatabiria wapiga kura. CCM ukiwambia tume huru hiyooo! wanakimbia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom