Ujinga na kutokuelewa jambo ni vitu viwili tofauti..........mfano hii...Duh! Konda kusubiri gari liondoke ndio akimbilie ni ujinga sawa na kumwamsha mgonjwa usingizini ili umpe dawa ya usingizi. Hapa nikutokuelewa, lakini kwakuwa nia nikucheka, basi tucheke. Salute.