Upi ni unyonyaji: Tsh 1300 @ jezi au kuuza 49% ya umiliki wa klabu kwa bilioni 20 tu

canfi

JF-Expert Member
Jun 26, 2022
1,240
1,279
Tujadiliane. Kumezuka hoja kuwa Yanga wananyonywa kimapato kwa kupata Tsh 1,300 @ jezi katika mkataba wao wa jezi za msimu huu. Hoja hii haijafafanua chochote juu ya gharama za utengenezaji na hata malipo mengine yaliyoainishwa kwenye mkataba husika.

Sasa naomba tujadiliane, kati ya huo unaoitwa unyonyaji na ule uuzaji wa hisa (49%) za klabu kwa Tsh 20 bn, upi ni unyonyaji? Bilioni 20 ambazo haziwezi hata kujenga uwanja wa kuchukua watu 30k ni thamani halisi ya timu kubwa?
 
Tujadiliane. Kumezuka hoja kuwa Yanga wananyonywa kimapato kwa kupata Tsh 1,300 @ jezi katika mkataba wao wa jezi za msimu huu. Hoja hii haijafafanua chochote juu ya gharama za utengenezaji na hata malipo mengine yaliyoainishwa kwenye mkataba husika.

Sasa naomba tujadiliane, kati ya huo unaoitwa unyonyaji na ule uuzaji wa hisa (49%) za klabu kwa Tsh 20 bn, upi ni unyonyaji? Bilioni 20 ambazo haziwezi hata kujenga uwanja wa kuchukua watu 30k ni thamani halisi ya timu kubwa?
Nyie mmemuuzia GSM yanga kwa sh ngapi?
 
Embu leta kwanza hiyo mikataba tuisome tuelewe, hatuwezi kujadili kitu tusichokua na ufahamu nacho.
 
makolo wameuza klabu milele kwa kanji ambae kwa ubahili simba wake huu sijui kwakweli, kile kipindi cha nyuma zile hela alikuwa anatoa ili azichanganye kwenye ile 20 B, lengo lake limekamilika kwa sasa hana presha ya kutumia pesa kibao kama kipindi cha nyuma.
 
Embu leta kwanza hiyo mikataba tuisome tuelewe, hatuwezi kujadili kitu tusichokua na ufahamu nacho.
Suala la 49% shares kuuzwa kwa Tsh 20bn lipo wazi. Lkn hakuna uwazi juu ya mkataba wa jezi wa Yanga. Sasa waleta hoja za 1,300 @ ndo ambao wanapaswa kukuletea mkataba.
 
Hakuna uwazi juu ya mkataba wa jezi sasa ww umejuaje wanapokea 1300 ikiwa mkataba ni wa kificho? Tahira la mo hili bhana
Suala la 49% shares kuuzwa kwa Tsh 20bn lipo wazi. Lkn hakuna uwazi juu ya mkataba wa jezi wa Yanga. Sasa waleta hoja za 1,300 @ ndo ambao wanapaswa kukuletea mkataba.
 
Duuh, 1300 hata wali nyama hupati bila kusahau chips kavu
 
Vinja bei kwani anawalipa simba kiasi gani kwenye mauzo ya Jezi, tuanzie hapo
 
Vinja bei kwani anawalipa simba kiasi gani kwenye mauzo ya Jezi, tuanzie hapo
Kwa taarifa ambazo walitoa Simba pamoja na Vunjabei ni kuwa Vunja bei mkataba wake na Simba ni wa miaka 2 na wenye thamani ya 2B, hivo itakuwa 1B Kwa kila msimu

Haya tushaanzia hapo, sasa tuendelee mkuu...!
 
Hakuna uwazi juu ya mkataba wa jezi sasa ww umejuaje wanapokea 1300 ikiwa mkataba ni wa kificho? Tahira la mo hili bhana
Limeletwa hapa hamsini na wadau wa Simba. Ndo msingi wa hoja
 
Kwa taarifa ambazo walitoa Simba pamoja na Vunjabei ni kuwa Vunja bei mkataba wake na Simba ni wa miaka 2 na wenye thamani ya 2B, hivo itakuwa 1B Kwa kila msimu

Haya tushaanzia hapo, sasa tuendelee mkuu...!
Safi sana, unafikiri kwa msimu mzima Vunja Bei anaweza kuuza jezi pcs ngapi?
 
Sijui akili ya mleta mada au ndio wale wa darasa la upe. Swali dogo 49% Kwa bilion 20 kutoka kwenye thamani gani ya 100. Je thamani ya 100 ni bilion 500 kusema sasa tumepigwa kupewa 20 kwenye 49%. Kwa Utopolo inajulikana out of 35000. Mnapata 1500
 
mfano umeuza jezi kwa wanachama wako zaidi ya 5m... na ukapewa mlabaha wa 1,300/- toka kwa kila jezi, sawa na jumla ya sh. 6,500,000,000/- kama sijakosea

wakati huo jezi hizo 5,000,000 zikiuzwa kwa thamani ya sh 35,000/- kila moja, ina maana mapato yatakuwa 175,000,000,000/- yatokanayo na jezi bila kodi au gharama zingine za uzalishaji pamoja nk...

sasa baada ya kodi au kabla ya kodi yanga watapata 6.5B kama watauza jezi zipatazo 5M na mzabuni atabakiwa na kiasi cha 150B+ baada ya kodi au kabla ya kodi...

kila la kheri yanga ktk uwekezaji wenye tija na usio na tija...
 
Safi sana, unafikiri kwa msimu mzima Vunja Bei anaweza kuuza jezi pcs ngapi?
Kuna vitu vya kubashiri mkuu ila sio mauzo ya jezi, kama wahusika hawajatoa takwimu ni ngumu kujua, anyway wewe unafikiria zinaweza kuwa pc ngapi?
 
Back
Top Bottom