realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,417
Weeeee!miaka 27š¤£
Mimi miezi mitatu bhaaasi
Weeeee!miaka 27š¤£
Huu ni uongoš¤£miaka 27š¤£
Hongera mimi ndio naiendea hivyoWeeeee!
Mimi miezi mitatu bhaaasi
Nini shida?Hongera mimi ndio naiendea hivyo
Kuacha moja kwa moja ngumi, niliweza miaka sita kwasababu misuli ya uume ilikuwa inavunjika mala kwa mala , hadi ilipopatika tiba ya kudumu ndio nikaanza mdogo mdogoMiaka sita ni mingi sana, ungeacha tu moja kwa mojaš
sasa unabisha ulikuepo mkuuHuu ni uongoš¤£
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£me ndo nimeanza mwaka huu bado mgeniWeeeee!
Mimi miezi mitatu bhaaasi
Kongole mkuusasa unabisha ulikuepo mkuu
Kaachika, hukumbuki kuna uzi wake hapa wa machozi š š šNini shida?
Mzee kasafiri au?
Au twende gym š
Nipo single nitafanya na nani sasaNini shida?
Mzee kasafiri au?
Au twende gym š
Hivi unajuaga zile siku zetu zikiwa zinakaribia lile Joto lake š au ni kwangu tu.š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£me ndo nimeanza mwaka huu bado mgeni
Sijaachika nimeacha mkuuKaachika, hukumbuki kuna uzi wake hapa wa machozi š š š
Akishindwa kuna mavijana ya hovyo humu yatamsaidia kukaa bila kufanya
šNipo single nitafanya na nani sasa
Niseme Nini?Si useme tu
Nicheki PMNipo single nitafanya na nani sasa
Huko gym ndio wanapatikana wachakataji?Nini shida?
Mzee kasafiri au?
Au twende gym š
Mazoezi tu ya viungo.Huko gym ndio wanapatikana wachakataji?