Mie ni mfuatiliaji wa harakati za kisiasa nchini Tanzania, pia mkereketwa wa vyama vya upinzani, mwanzoni nilikipenda CHADEMA;
Hatahivyo siku hizi sina mapenzi kwa CHADEMA kwa vile:
1. Siasa za upendeleo
2. Siasa za Ukanda na Ujimbo
3. Upendeleo ndani ya chama
4. Matumizi mabaya ya ruzuku
5. Kuburuzwa na wafadhili
6. Kitengo cha ustawi wa kanisa
Rubbish
Chadema hakuna kitu juzi Mwanza kwenye M4C wamepata milioni 3 Mwanza nzima.
ficha ujinga wako mbele ya werevu kwakukaa kimya.Hapo nakuunga mkono mkuu, waratibu wakuu wa kitengo cha kanisa ni Halima Mdee, Zuberi Zitto Kabwe na Said Arfi. You are right by 100%
Mie nilikuwa mfuasi mzuri wakati chama kinaanzishwa, lakini baada ya uongozi kushikwa na DJ mambo yamekuwa ndivyo sivyo; Padri nae amezidi kulikoroga kwa kujipangia posho kubwa, Tshs, 12,000,000/= kwa mwezi badala ya kugharimia shughuli za chama matawini. Pia Padri kaonyesha upendeleo wa wazi kwa kumpa tenda mchumba wake bila ya ushindani. OGOPA CHADEMA, ni hatari kuliko HIV
Chadema hakuna kitu juzi Mwanza kwenye M4C wamepata milioni 3 Mwanza nzima.
Ni lini wafuasi wa CCM wanakubali ukweli? Ukisema ujenzi nafuu unawezekana kwa kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi watasema haiwezekani, ukisema Elimu bure inawezekana watasema hiyo ni ndoto ya mchana, wakibanwa wanaanza kueneza hayohayo kwa mlango wa nyuma.
Ngoja wenyewe wenye chama chao wakushukie kama mvua, kwani ukiisema CDM vibaya hata kama ni kweli wao nikubisha kubisha tu kwa hoja mfu. Kama hili liko wazi kabisa, ngoja uwasikie sasa wafuasi wake watakavyosema. Karibuni wafuasi wa CDM.
nakushauri uache siasa na ukalime, maana sitta aliwahi sema mwanasiasa inabidi awe na ngozi ngumu,wewe umeshindwa!!Mie ni mfuatiliaji wa harakati za kisiasa nchini Tanzania, pia mkereketwa wa vyama vya upinzani, mwanzoni nilikipenda CHADEMA;
Hatahivyo siku hizi sina mapenzi kwa CHADEMA kwa vile:
1. Siasa za upendeleo
2. Siasa za Ukanda na Ujimbo
3. Upendeleo ndani ya chama
4. Matumizi mabaya ya ruzuku
5. Kuburuzwa na wafadhili
6. Kitengo cha ustawi wa kanisa