nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
Mi naamini anampenda ila tusisahau kuwa kazi nayo ni muhimu,..pia naamini amempeleka kazini kzn kwa hata asingeenda kumchukua boss wake bado angelazimika kwenda kazini kutoa taarifa ,kupata kibali cha kusafiri, kuchukua pesa za kumsaidia kwa ajili ya shyghuli zote za msimba wa mkewe, ukiwa mwajiriwa mara nyingi ni lazima uende tena kazini ili ufuate taratibu zoote za kiofisi ndipo uweze kuondoka...
Naendelea kuamini kuwa anampenda mkewe ila pia ni wajibu wake kufuata taratibu za kiofisi kabla hajasafiri kwenda msibani.
Naendelea kuamini kuwa anampenda mkewe ila pia ni wajibu wake kufuata taratibu za kiofisi kabla hajasafiri kwenda msibani.