Ummy mwalimu yupo wapi?Yuko wapi ameachana na Siasa au?
Alijuwa ataukwa nafasiUpendo Peneza Yuko wapi ameachana na Siasa au?
Na Shangazi lenu Fatma Karume yupo wapi naye ?Upendo Peneza Yuko wapi ameachana na Siasa au?
Huyu nahisi kwa mama alifika bei, waaarabu wa pemba..........................Na Shangazi lenu Fatma Karume yupo wapi naye ?

Umesikia tena Mzanzibar akitaka serikali 3?Huyu nahisi kwa mama alifika bei, watu wa njia moja hawawezi kugombana.
Waombe serikali 3 halafu hiyo Asali ya kulamba wamwachie nani?Umesikia tena Mzanzibar akitaka serikali 3?

Aliahidi yeye na Msigwa kuzunguka Tanganyika nzima kuelezea uchafu wa CHADEMA.. Labda bado wako kwenye vikaoUpendo Peneza Yuko wapi ameachana na Siasa au?
Amesha chàkazwaUpendo Peneza Yuko wapi ameachana na Siasa au?
Atakuwa yupo kwao Geita,Upendo Peneza Yuko wapi ameachana na Siasa au?
Iwapo alikubali kupenyeezwa chama kijani ili kuihujumu chama cha kizalendo chadema acha avune alichokipanda kama wanavyovuma covid wote na g55,a.k.a Chaumwa kilicho icu hivi leo!Upendo Peneza Yuko wapi ameachana na Siasa au?
Ulipiga?Atakuwa yupo kwao Geita,View attachment 3566984
Mimi namkubali sana huyu dada,na kumkubali kwangu,sio kwasababu ni pisi kali,namkubali kwasababu ni contents Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
P
Hapa mlikuwa wapi mkuuAtakuwa yupo kwao Geita,View attachment 3566984
Mimi namkubali sana huyu dada,na kumkubali kwangu,sio kwasababu ni pisi kali,namkubali kwasababu ni contents Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
P