Mmeanza kula matapishi yenu uzi huu huu. Dah!cc upendo Peneza . Asante sana kijana unayejitambua! . Ni ubwg kuamini kujitoa ni kuunga juhudi hata kama huajapewa pesa! Uzito wa kurudi uchaguzi kwa jasho za WalipaKodi hauna kipimo cha UJG
mbona mrema kabaki peke yake hamusemiMmmh mwishowe Mbowe atabaki mwenyewe na Mamvi wake.
anajitambuaHuyu si ndo yule mshiriki wa Maisha Plus au?
Nilimuonaga anapenda siasa sana.
Waeleze wenye vyama vyao angalau mteuliwa awe amekaa kwenye chama kwa muda usiopungua miaka miwili. Hii ndio namna ya kuwaenzi "loyal members" badala ya kuona wakuja wana sifa kuzidi walioko ndaniKumekua na hali ya Stofahamu ndani ya Chadema ikiwemo kutokuaminiani Baada yakujiuzulu kwa Dr.Godwin Moleli aliyekua Mbunge wa Siha haijulikani nani atafuata,Dr.Mollel amerejea kwnye Chama chake cha Zamani alikuja kwa Mafuriko ya Lowasa mda huo huo akaaminiwa nakuteuliwa Kua mgombea kisha akashinda ipo haja yakua na Utaratibu maalum kwa watu wanaohama vyama vyao wakati wa Uchaguzi,Je nani atafuatia baada ya Dr.Mollel hii ndio swali linalobaki bila majibu ya moja kwa moja
=> Anasema wabunge hao waliohama wangempongeza Rais Magufuli wakiwa katika vyama vyao.
Kabisa..na hii mibunge yote inayohama vyama isiruhusiwe kugombea tena.....WELL DONE PENEZA...hii ndio namna bora ya kumuunga mkono rais katika harakati za kupunguza matumizi ya hovyo.Kujiuzulu ubunge ni maamuzi ya mtu binafsi lakini tunaporudia uchaguzi ni kulibebesha Taifa gharama zisizo za lazima.Nawashauri wabunge wa upinzani wamuunge mkono rais hata wakiwa kwenye vyama vyao.
Kaa njia kuu kijana.Huyo demu ni mzuri kinoma ntampataje
na kwanini CCM inanunua watu? biashara ya utumwa iliisha miaka mingi nyie bado mnaendeleaKwa nini mnakuwa na watu wanaonunulika?? Si mtauza nchi??
Achana na kisingizio cha njaa.
Hiyo Press ilibidi amjibu Lema maana ndiye amekuwa akieneza habari za wao na Mnyika kuhama chama lakini Lema ana aminika zaidi na Mbowe na yuko karibu nao.....Oh yeah?
Ndicho alichotangaza hicho?
Wewe kijani umekuwa msemaji wa chadema??Hiyo Press ilibidi amjibu Lema maana ndiye amekuwa akieneza habari za wao na Mnyika kuhama chama lakini Lema ana aminika zaidi na Mbowe na yuko karibu nao.....
Lema ni tatizo kubwa ndani ya chadema amekuwa mbea
hahahaha huyo binti ni smart muda mrefu hata kabla ya kuitisha press ya leo...Binti yupo Smart sana
Viva CDM....huyu ni tunu
Una uhakika Sumaye yupo ki kweli kweli CHADEMA au mazingaonmbwe tu mkuu?Ni kiwa mkweli na mwaminifu kwa nafsi yangu naona Mzee Sumaye amejitolea kwa moyo wake wote. Naiona " commitment" yake haina mashaka. Ameteswa na serikali kwa ajili yetu kadri anavyoendelea kuwepo ilimradi awe msikilizaji na mshauri zaidi kuliko kuwa mwongozaji na mtoa maelekezo. Mzee Lowasa akitaka kwenda wala sitalalamika nitasema nendeni kwa amani kwa maana simuoni kama mpambanaji lakini akiamua kuulea upinzani na hasa CHADEMA itakuwa vizuri. Kwangu mimi naona amepata zaidi kutoka chadema kuliko tulivyopata kutoka kwake. Nadhani bado anao baadhi ya wafuasi walioko serikalini na CCM ambao wanaweza walao kuvujisha habari fulani fulani kutoka serikalini ambazo zinaweza kuwa za msaada kwetu.