Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,309
- 27,453
kuwa na subiraAende tu hawajaanza leo.
kuwa na subiraAende tu hawajaanza leo.
Bavichanacheza disco la Humphrey Polepole bila kujua.Anaongea madini sana huyu mtoto.
Anazungumzia jinsi wanaojinasibu kwamba wanapambana na ufisadi wasivyotaka mafisadi watajwe.
Chadema kuna watumwa?na kwanini CCM inanunua watu? biashara ya utumwa iliisha miaka mingi nyie bado mnaendelea
tuwe na subra makamanda, haya kaamua kubaki sasaKwenda zake..viti maalumu ambabaishe nani
hili swali waulize CCMChadema kuna watumwa?
Ndugu yangu inaonekana huwajui vzr ccm hakuna mtu anaehongwa hiyo HelaKinachoniuma mimi si kwa kuondoka kwa hawa watu, kinachoniuma mimi ni mafupa a walipa kodi yanayoteketea bure!!
Hakuna chizi ambaye ataamua kuachana na mil 400 ambazo angezipata in next two years Bunge likiisha eti ana uchungu na anataka kumsaidia Mwenyekiti wa CCM taifa - Hapo lazima kutakuwa na itu kizima kisichopungua 800 mil. Hapa ndipo mimi nasikia uchungu sababu hela hizi si mali yao ni mali ya umma.
Yote yatajulikana tu, hakuna siri hapa duniani ni suala la muda.
Hahaaaaa hata we the way ulivyoiweka humu ilikuwa ni njia moja tu ya kuhama! Ila nimemuelewa!!Sasa mlikua Mnaogopa nini?
Na waliomsifia ana akili, watarudi kwenye kumponda tena! Ndivyo siasa za kitanzania. Ujinga na unafiki mtupu!
Makamanda wenzio wameshammwagia matusi ya kutosha humuBinti yupo Smart sana
Viva CDM....huyu ni tunu
hiki alichokifanya Upendo Peneza ndicho alitakiwa kukifanya Naibu katibu Mkuu Mhe. Mnyika kuondoa minong'ono na kukata mzizi wa fitina. Upendo Peneza wewe huna effect kubwa kwa sasa as long as Kafulila kahamia upande ule,kama ulikuwa ukishirikishwa baadhi ya mambo najua hivi sasa ndio wakati wa kuwekwa mbali na hayo mambo maana wenziko wana walakini juu yako baada ya mmeo kuhama.