Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,976
- 33,597
Alafu wanaangalia kwa walioenda ccm tu, ila nyalandu hawamuoniMmeanza kula matapishi yenu uzi huu huu. Dah!
Alafu wanaangalia kwa walioenda ccm tu, ila nyalandu hawamuoniMmeanza kula matapishi yenu uzi huu huu. Dah!
Nimekuuliza kutokana na ulichoandika.Au ulikua hujui unaandika nn?hili swali waulize CCM
Coment za gazeti ama za naniHuwa nikisomaga coment zako zinanichekshaga sana
Nahisi kichwa yako inekata fuse Fulani hivi
Sina asilimia zote 100 ila namuona hivyo. Mtu kama yeye kukubali kuwa mwneyekiti wa chadema kanda kujishusha huko hakuwezi kuwa wa kinafiki.Una uhakika Sumaye yupo ki kweli kweli CHADEMA au mazingaonmbwe tu mkuu?
Labda dada Mange anajuaKumekua na hali ya Stofahamu ndani ya Chadema ikiwemo kutokuaminiani Baada yakujiuzulu kwa Dr.Godwin Moleli aliyekua Mbunge wa Siha haijulikani nani atafuata,Dr.Mollel amerejea kwnye Chama chake cha Zamani alikuja kwa Mafuriko ya Lowasa mda huo huo akaaminiwa nakuteuliwa Kua mgombea kisha akashinda ipo haja yakua na Utaratibu maalum kwa watu wanaohama vyama vyao wakati wa Uchaguzi,Je nani atafuatia baada ya Dr.Mollel hii ndio swali linalobaki bila majibu ya moja kwa moja
Wee ngoja uone nae anatimkia CCMKutoka upinzani kwenda CCM kwa kununuliwa siku yamekuwa maamuzi magumu?Hivi viti maalumu vinatakiwa kufutwa kama ilivyopendekezwa kwenye katiba mpya.
Upendo Peneza yule ana akili sana sidhani kama anaweza kujiunga CCM.
DOUGLAS SALLU,
Mbona povu! Siasa haitaki hasira. Mmeshauriwa, kama vimekaza sana dawa ni kupakwa grease.
bro tatizo ni moja...ndani ya chadema hamna uwazi katika matumizi na mapato ya chamna Mbowe a.k.a Mugabe yeye kafanya chama kama SACCOSCHADEMA na UKAWA kwa ujumla ikae kwa ujumla na wabunge wao wawaulize wabunge hao kua wangapi wanataka kuondoka kwenda CCM kuungana na mh Rais kwaajiri ya kuunga mkono juhudi za Rais( wao wanavyosema)wawaruhusu waende tuendelee na mambo mengine.
Kama zako sio?Huyu inaonyesha ana akili sana
Kakulia Manchester unitedhuyu dada mbona hajui kiswahili vizuri au hajukulia tanzania?
ha ha ha, mali kauli siyo - lakini advance si anakuwa kashavuta? shinda ni ile ya kumalizia unaweza dai hadi ukazeeka!!Ndugu yangu inaonekana huwajui vzr ccm hakuna mtu anaehongwa hiyo Hela
hao wanauziwa maneno tu
Sawa hainashida,Ninacho amini ni kwamba Peneza amelelewa na CHADEMA mwanzo mwisho, yeye na Patrobasi wataisaidia chadema zaidi wakiwa CCM kuliko ilivyo hivi sasa. Haiwezekani ikawa ni hasara mwanzo mwisho.
Naona kamanda umeedit post yako hangera...Kutoka upinzani kwenda CCM kwa kununuliwa siku yamekuwa maamuzi magumu?Hivi viti maalumu vinatakiwa kufutwa kama ilivyopendekezwa kwenye katiba mpya.
Upendo Peneza yule ana akili sana sidhani kama anaweza kujiunga CCM.
.....Binti yupo Smart sana
Viva CDM....huyu ni tunu
......Sasa hivi atatumiwa watu wa Idara ya uhamiaji nahisi watampa uraia wa Rwanda huyu dada na ni mzuri mpk kichwani asee siyo vibaya kusifia kazi za allah