Upendo ni kitu cha ajabu sana

Upendo ni kitu cha ajabu sana

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
7,295
Reaction score
19,920
Una weza dhani upendo ni pesa lakini utagundua ya kwamba unajidanganya ,hasa pale utakapo gundua ya kuwa mapenzi wako unaye mpa pesa na vitu vyote vya thamani anavyo taka, amekusariti tena analiwa na kamtu ambako hata kula ya kenyewe ni shida.

Unaweza sema upendo ni kumridhisha mpenzi wako kitandani lakini utagundua kuwa unajidanganya hasa pale itakapo kuwa una kaa juu ya kifua chake saa zima na kumfikisha kileleni, lakini ukagundua kuwa ana kusaliti tena mshikaji anaye mla hana maajabu yeyote kitandani hata kimoja cha dakika 5 ni cha kuhangaikia.

Unaweza kudhani kumpenda mtu ni kutokana na uzuri wake lakini utagundua ya kwamba unajidanganya hasa pale utakapo zama na kuoza kwa kibinti cha kawaida sana mpaka pisi zote mitaani ukaziona miyeyosho tu.

Dah ila upendo huu.
 
Una weza dhani upendo ni pesa lakini utagundua ya kwamba unajidanganya ,hasa pale utakapo gundua ya kuwa mapenzi wako unaye mpa pesa na vitu vyote vya thamani anavyo taka, amekusariti tena analiwa na kamtu ambako hata kula ya kenyewe ni shida.

Unaweza sema upendo ni kumridhisha mpenzi wako kitandani lakini utagundua kuwa unajidanganya hasa pale itakapo kuwa una kaa juu ya kifua chake saa zima na kumfikisha kileleni, lakini ukagundua kuwa ana kusaliti tena mshikaji anaye mla hana maajabu yeyote kitandani hata kimoja cha dakika 5 ni cha kuhangaikia.

Unaweza kudhani kumpenda mtu ni kutokana na uzuri wake lakini utagundua ya kwamba unajidanganya hasa pale utakapo zama na kuoza kwa kibinti cha kawaida sana mpaka pisi zote mitaani ukaziona miyeyosho tu.

Dah ila upendo huu.
Unachanganya UPENDO na TAMAA

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kudhani kumpenda mtu ni kutokana na uzuri wake lakini utagundua ya kwamba unajidanganya hasa pale utakapo zama na kuoza kwa kibinti cha kawaida sana mpaka pisi zote mitaani ukaziona miyeyosho tu.
Ndiyo mana umeambiwa uzuri wa mtu uko kwenye macho ya mtazamaji.

Mwengine anapenda umbo, mwengine macho, mpangilio wa meno yake anapocheka, miguu na mengine mengi.
 
Pamoja na hayo yote uliyoandika, Bado nasiztiza kwamba PESA in nafasi/ mchango/ athari kubwa Sana katika mahusiano/ ndoa.
 
Hujapenda umewahi kufanya test tu uhalisia kupendwa nihali ya automatic penzi ambalo wote bila yakuhangaika mnapendana na kuvumiliana nakujaliana basi yaani mnapeana yote hadi basi hata kama huwezi kitandani huo ndio upendo bado hujajua pendo ladhatj likoje utakuja kujua
 
Kwahiyo vijana wafanyeje sasa we mzee
Ni lazima wajie kitofautisha kati ya kupenda na kutamani.

Wajue kutafuta wapenzi wa kufanana / kuendana nao. Unakuta kijana anakomaa na mwanamke ambaye hawaelekeani hata!

Vijana watambue umuhimu wa kuridhika na walichonacho. Unatamani kumiliki Benz ilhali hata tairi la baiskeli bado haujamiliki , utakufwa siku si zako [emoji1]

Lakini maisha ni kama mbio za marathon sio Sprint. Maisha ni hatua yanahitaji subira
 
Unachanganya mambo!
Upendo (Mapenzi) na Ngono (Tamaa ya mwili) umeviweka pamoja.
 
Ni lazima wajie kitofautisha kati ya kupenda na kutamani.

Wajue kutafuta wapenzi wa kufanana / kuendana nao. Unakuta kijana anakomaa na mwanamke ambaye hawaelekeani hata!

Vijana watambue umuhimu wa kuridhika na walichonacho. Unatamani kumiliki Benz ilhali hata tairi la baiskeli bado haujamiliki , utakufwa siku si zako [emoji1]

Lakini maisha ni kama mbio za marathon sio Sprint. Maisha ni hatua yanahitaji subira
Sijutii kukupenda ujue we mzee [emoji847] vijana waje kuchukua madini hayo
 
Una weza dhani upendo ni pesa lakini utagundua ya kwamba unajidanganya ,hasa pale utakapo gundua ya kuwa mapenzi wako unaye mpa pesa na vitu vyote vya thamani anavyo taka, amekusariti tena analiwa na kamtu ambako hata kula ya kenyewe ni shida.

Unaweza sema upendo ni kumridhisha mpenzi wako kitandani lakini utagundua kuwa unajidanganya hasa pale itakapo kuwa una kaa juu ya kifua chake saa zima na kumfikisha kileleni, lakini ukagundua kuwa ana kusaliti tena mshikaji anaye mla hana maajabu yeyote kitandani hata kimoja cha dakika 5 ni cha kuhangaikia.

Unaweza kudhani kumpenda mtu ni kutokana na uzuri wake lakini utagundua ya kwamba unajidanganya hasa pale utakapo zama na kuoza kwa kibinti cha kawaida sana mpaka pisi zote mitaani ukaziona miyeyosho tu.

Dah ila upendo huu.
Hivi kuna wanaume wenye pesa wanaumizwa na mapenzi
 
Una weza dhani upendo ni pesa lakini utagundua ya kwamba unajidanganya ,hasa pale utakapo gundua ya kuwa mapenzi wako unaye mpa pesa na vitu vyote vya thamani anavyo taka, amekusariti tena analiwa na kamtu ambako hata kula ya kenyewe ni shida.

Unaweza sema upendo ni kumridhisha mpenzi wako kitandani lakini utagundua kuwa unajidanganya hasa pale itakapo kuwa una kaa juu ya kifua chake saa zima na kumfikisha kileleni, lakini ukagundua kuwa ana kusaliti tena mshikaji anaye mla hana maajabu yeyote kitandani hata kimoja cha dakika 5 ni cha kuhangaikia.

Unaweza kudhani kumpenda mtu ni kutokana na uzuri wake lakini utagundua ya kwamba unajidanganya hasa pale utakapo zama na kuoza kwa kibinti cha kawaida sana mpaka pisi zote mitaani ukaziona miyeyosho tu.

Dah ila upendo huu.
Tayariiiii mtu kashapigwa square pipe kisogoni
 
Upendo huvumilia
upendo hufadhili
upendo hauna wivu au majivuno

Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu
Upendo hautafuti kujipendeza nafsi
haukasiriki upesi
hauweki orodha ya mabaya
Upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli
Upendo huvumilia yote
huamini yote
hutumaini yote
hustahimili yote

Upendo hauna mwisho.
 
Back
Top Bottom