Upendo ni kitu cha ajabu sana

Upendo ni kitu cha ajabu sana

Usinidanganye. Nikiwa na pesa nitapendwa tu. Hata kwenye mkutano wa kijiji akisimama masikini utasikia ameanza huyu hebu mshikilieni!!! Lakini akiamka mwenye pesa hata akiongea pumba utaona makofi kwa wote na kuunga mkono hoja
 
Una weza dhani upendo ni pesa lakini utagundua ya kwamba unajidanganya ,hasa pale utakapo gundua ya kuwa mapenzi wako unaye mpa pesa na vitu vyote vya thamani anavyo taka, amekusariti tena analiwa na kamtu ambako hata kula ya kenyewe ni shida.

Unaweza sema upendo ni kumridhisha mpenzi wako kitandani lakini utagundua kuwa unajidanganya hasa pale itakapo kuwa una kaa juu ya kifua chake saa zima na kumfikisha kileleni, lakini ukagundua kuwa ana kusaliti tena mshikaji anaye mla hana maajabu yeyote kitandani hata kimoja cha dakika 5 ni cha kuhangaikia.

Unaweza kudhani kumpenda mtu ni kutokana na uzuri wake lakini utagundua ya kwamba unajidanganya hasa pale utakapo zama na kuoza kwa kibinti cha kawaida sana mpaka pisi zote mitaani ukaziona miyeyosho tu.

Dah ila upendo huu.
Unaeleza kuhusu UPENDO au MAPENZI?
 
Inasikitisha sana,kama Mimi naona mambo ya mahusiano yamenishinda...bora niendelee kulima tu[emoji23][emoji23][emoji135]
Ewaaah umeona babe umeona kabisa mahusiano hupatani nayo ukiforce sana unabaki kuumia kila siku bora uwaachie tu wanayopatana nayo tuje jf huku tufurahi tuwashauri kama hivi wanaolia lia [emoji1787]
 
Ewaaah umeona babe umeona kabisa mahusiano hupatani nayo ukiforce sana unabaki kuumia kila siku bora uwaachie tu wanayopatana nayo tuje jf huku tufurahi tuwashauri kama hivi wanaolia lia [emoji1787]
Kwa kweli
 
Una weza dhani upendo ni pesa lakini utagundua ya kwamba unajidanganya ,hasa pale utakapo gundua ya kuwa mapenzi wako unaye mpa pesa na vitu vyote vya thamani anavyo taka, amekusariti tena analiwa na kamtu ambako hata kula ya kenyewe ni shida.

Unaweza sema upendo ni kumridhisha mpenzi wako kitandani lakini utagundua kuwa unajidanganya hasa pale itakapo kuwa una kaa juu ya kifua chake saa zima na kumfikisha kileleni, lakini ukagundua kuwa ana kusaliti tena mshikaji anaye mla hana maajabu yeyote kitandani hata kimoja cha dakika 5 ni cha kuhangaikia.

Unaweza kudhani kumpenda mtu ni kutokana na uzuri wake lakini utagundua ya kwamba unajidanganya hasa pale utakapo zama na kuoza kwa kibinti cha kawaida sana mpaka pisi zote mitaani ukaziona miyeyosho tu.

Dah ila upendo huu.
Nini cha kufanya sasa ili niujue upendo wa kweli?
 
Back
Top Bottom