tanzania ni nchi ya amani na inafuata siasa za demokrasia yaani utawala wa watu!!!!!!jamani mpambane chadema tunajua tuna wakati mgumu sana saizi kwa ajili kujikomboa ila kingine tumuombe kiwia mbunge wa ilemela hali yake siyo nzuri na yuko kwenye ndege saizi anapelekwa dar kwa matibabu zaidi
mbona hiyo namba haipatikani.
Saa 10 jioni