updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

updates za msiba wa mdada aliepigwa risasi,morocco

Majambazi yana roho mbaya sana Mungu amlaze mahali pema peponi
 
Nafikiri asiejua SRC atakiwi kushiriki else akaekimya mpaka MWANA WAADAMU ATAKAPOKUJA SIKILA THREAD UNATAKIWA KUIFAHAMU ZINGINE MIMBA
 
i would like to join a 'justice for Glory movement' if there is any.....am also a lucky victim of these deadly boxer killers......kama mpo please inbox me so we get these merciless killers to justice
 
Mi kinachonisikitisha ni hili jambo la lugha kwa watanzania. Kiswahili hatujui, kiingereza hatujui. sisi tunajua nini? napata wazo kuna haja ya kuanzisha darasa la lugha humu ndani ya jamiiforums. otherwise people are writing some stuff when you read it is very hard to understand why the person is using english while he or she isnt competent? nimeongea kizungu kuonesha msisitizo. jambo moja ninaloweza msifu faiza ni kuwa anapenda sana lugha hilo tuna ushirika kwa kweli maana wenyeji wa upwa wanasema " mnyonge mnyongeni haki yake mpeni" ingawa... ashakum si matusi kuna wakati flan faizafoxy ana watu wake atawatetea tu bila hata kureason kwa sabab ya...... na mahaba pia. kwenye suala la lugha nakuunga mkono. wanaosema ndio waseme ndio walioshindwa waseme ndio pia. waliosema ndio Tumeshinda. Hoja imepita.

Watu wamejismatifonisha kirahisi kupitia tigo. Sasa hata div.5 wamo humu ndani. You can't help this. People do not want to learn. Unaona hata pale wanaposahihishwa wanavyokuja juu. Nchi za jirani wanatupita kwa mbali kwa Kiingereza na Kiswahili pia.
 
Back
Top Bottom